Jinsi Vodacom walivyojinasua kwenye hasara kabla ya laini kufungwa

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Watumiaji wa Vodacom wamebaini kuwa kabla ya wiki mbili zilizopita huduma ya SONGESHA,na MPAWA zilisimamishwa kwa muda

Baadhi ya wateja wamesema walitumiwa SMS na huduma kwa wateja kuwa mfumo wa huduma hizo umeharibika kwa muda

Hata hivyo wachunguzi wamebaini kuwa hakuna mfumo ulioharibika bali wamekwepa hasara ambayo wangepata baada ya laini kufungwa

Nadhani kuanzia kesho huduma za Mpawa na Songesha zitarudi hewani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndilo lililo jiri...
IMG-20191223-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu ni uongo dhahili, songesha nimeitumia majuzi na ikiwa sijasajili

labda kwa wengine ila kwangu ni uongo
Ni muongo hao ndo wanaodanganyana kwenye magroup ya WhatsApp.
Jana tu nimetumia songesha ya 7800 na laini yangu haiijui NIDA
 
Dear customer, your SONGESHA request could not be completed. Please complete your biometric registration to enjoy our services.
 
*Laini yangu ya Vodacom*

*BALANCE*

1. Salio la kawaida Tsh 0.00
2. Salio la M-PESA Tsh 0.00
3. Salio la M-PAWA Tsh 0.00

*MADENI*

1. Nipige tafu deni Tsh 3000/=
2. M-Pawa deni Tsh 58000/=
3. SONGESHA deni Tsh 76500/=

_Laini haijasajiriwa kwa alama za vidole🌚, Sina namba ya NIDA 😁 nasubiri maamuzi ya TCRA, nipo tayari kwa lolote_
 
*Laini yangu ya Vodacom*

*BALANCE*

1. Salio la kawaida Tsh 0.00
2. Salio la M-PESA Tsh 0.00
3. Salio la M-PAWA Tsh 0.00

*MADENI*

1. Nipige tafu deni Tsh 3000/=
2. M-Pawa deni Tsh 58000/=
3. SONGESHA deni Tsh 76500/=

_Laini haijasajiriwa kwa alama za vidole🌚, Sina namba ya NIDA 😁 nasubiri maamuzi ya TCRA, nipo tayari kwa lolote_
We kwel komando vitan😂😂😂
 
Mm m pawa na songesha zinagomesha ,nimesajr juzi.jana nimechati na huduma kwa wateja walichonijib huduma ya m pawa na songesha haipo mafundi wanatengeneza
 
Watumiaji wa Vodacom wamebaini kuwa kabla ya wiki mbili zilizopita huduma ya SONGESHA,na MPAWA zilisimamishwa kwa muda

Baadhi ya wateja wamesema walitumiwa SMS na huduma kwa wateja kuwa mfumo wa huduma hizo umeharibika kwa muda

Hata hivyo wachunguzi wamebaini kuwa hakuna mfumo ulioharibika bali wamekwepa hasara ambayo wangepata baada ya laini kufungwa

Nadhani kuanzia kesho huduma za Mpawa na Songesha zitarudi hewani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe!! Ndio maana hata huduma ya timiza nayo inagoma!!
 
Back
Top Bottom