Wakikujibu vizuri hili nitagnimependa ulivyo andika kwa ufafanuzi mzuri. toa ufafanuzi kwa faida ya wote watakao taka kufanya biashara hii, mbona bei ni 600,000 kwa belo la kg100 grade A huko china wkt hapa hapa bongo kwa grade hiyo hiyo na uzito huo huo wanauza 340,000? ufafanuzi pls!!!
MUNGU amlipe Sana Yan Kama mm nilipata jamaa anafanya KAZI silent lkn hayupo tayari kunisaidia kwa kuwa ananijua nipo ofisini flan, hawazi kujiajiri ndo kila kitu sahivi.We jamaa ni mtu wa peponi
Pole sana mkuuMUNGU amlipe Sana Yan Kama mm nilipata jamaa anafanya KAZI silent lkn hayupo tayari kunisaidia kwa kuwa ananijua nipo ofisini flan, hawazi kujiajiri ndo kila kitu sahivi.
Cc diranqhe naomba muongozo hapa.Wakuu naomba kujua vijora / Madera kwenye Alibaba nayapata kwa ku search jina gani?
Cc Oranoo muongozo please.Wakuu naomba kujua vijora / Madera kwenye Alibaba nayapata kwa ku search jina gani?
Mkuu Mwl.RCT naomba pitia hii comment yangu then Sema kitu.Wakuu naomba kujua vijora / Madera kwenye Alibaba nayapata kwa ku search jina gani?
-Abaya Dressesvijora / Madera kwenye Alibaba nayapata kwa ku search jina gani?
Asante sana Mwl. Uko faster sana, sio kwa speed hii.-overruns branded clothing
-Abaya Dresses
-deera dira african stitched
Tumia hizo keywords
Mi nachukua kwa dada mmoja yeye yupo arusha huwa anauza mtumba mzuri sana kwa dar sehemu nyingi ni magumashi japo wapo pia wanaouza mtumba mzuri inagemea na nguo unayoitakaWabongo wengi kwny swala la quality sijawahi kuwapa 100%, hata wachina pia nao siwezi kuwapa 100% ila angalau ntaamini mzgo unaopitia kwny sorting factory nakupangwa. Kuliko ambao ushanunuliwa kutoka nje afu ukatua hapa bongo na muuzaji akasema kua ni grade A na nkamuamini. Unauziwa mzgo grade B kisa una hali nzuri unaamini ni Grade A yashainikuta.😔
Anakufanyia kwa bei gani belo moja la jeans za kike za marekani?Mi nachukua kwa dada mmoja yeye yupo arusha huwa anauza mtumba mzuri sana kwa dar sehemu nyingi ni magumashi japo wapo pia wanaouza mtumba mzuri inagemea na nguo unayoitaka
Yeye anauza skin za uk,canada na uturuki usa anazo balo za nguo za watoto kama sijakoseaAnakufanyia kwa bei gani belo moja la jeans za kike za marekani?