Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,531
Kheri wapendwa wakubwa kwa wadogo
Leo ni siku nyingine tena tuutazame mzunguko wa maisha yetu ya kila siku
Nianze kwa kusema tu baadhi yetu tumekuwa na tabia au mazoea ya kufanya mambo kwa kujiona Wajanja kumbe ni kujitafutia mikosi na laana bure unakuta mtu miaka na miaka anafanya biashara hata Maendeleo hakuna kumbe anafanya vitu vya hovyo kabisa
1. Wauza maziwa hawa tabia zao ni kuweka maji kwenye maziwa hii laana tosha kabisa unafanya biashara isivyo
2. Mama ntilie hawa tabia zao zinajulikana kutuwekea hamira kwenye chakula haramu hiyo mafanikio utayasikia tu
3. Mdereva taxi mmekuwa mkitoza tozo kinyume na uhalali na mkifika vijiweni mnaanza kujisifia kuwa kuna abiria umempiga radi mkiwa na maana ya kuwa umemtoza bei kubwa kuliko
4. Wauza samaki dagaa mboga mboga baadhi yenu na nyie siyo waaminifu hata kidogo mnatulisha uchafu ili nyie mpate pesa
5. Makonda wa magari na nyie siyo waaminifu hata kidogo
Mko wengi sana ambao siyo waaminifu mtakalia hivyo hivyo mpaka kifo badilikeni laana zingine mnajitafutia tu
Leo ni siku nyingine tena tuutazame mzunguko wa maisha yetu ya kila siku
Nianze kwa kusema tu baadhi yetu tumekuwa na tabia au mazoea ya kufanya mambo kwa kujiona Wajanja kumbe ni kujitafutia mikosi na laana bure unakuta mtu miaka na miaka anafanya biashara hata Maendeleo hakuna kumbe anafanya vitu vya hovyo kabisa
1. Wauza maziwa hawa tabia zao ni kuweka maji kwenye maziwa hii laana tosha kabisa unafanya biashara isivyo
2. Mama ntilie hawa tabia zao zinajulikana kutuwekea hamira kwenye chakula haramu hiyo mafanikio utayasikia tu
3. Mdereva taxi mmekuwa mkitoza tozo kinyume na uhalali na mkifika vijiweni mnaanza kujisifia kuwa kuna abiria umempiga radi mkiwa na maana ya kuwa umemtoza bei kubwa kuliko
4. Wauza samaki dagaa mboga mboga baadhi yenu na nyie siyo waaminifu hata kidogo mnatulisha uchafu ili nyie mpate pesa
5. Makonda wa magari na nyie siyo waaminifu hata kidogo
Mko wengi sana ambao siyo waaminifu mtakalia hivyo hivyo mpaka kifo badilikeni laana zingine mnajitafutia tu