Haha...ni mfano tu...kaka...haha nilitaka.watu wapate uhalisia...samahani aiseeh
Mama saga mifupaaaaaa. Achana nao hawa magu kawakazia wanajifanya wameokoka hapa.
look at you.....
Unasema magu akazie hapo hapo aliposhika?? Wameanza kuimba nyimbo zenye kila mapambio????
Hahahhababah you have made my night aiseeeHahaaaaa kweli mwanaume akifulia anajifanya kaokoka in short wanaume wakiwa na hela na nguvu za kiume huzidi bora tu ufanye dhambi na mwenye hela, yani nizini na mtu hanipi hela na dhambi nipate over my dead body
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siku hizi wanaume wote ni watiifu kwa wake zao. Shikamoo magufuli walah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha dah we jamaa unaanza kutoa siri zangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe si ndio yule babu wa mabinti wa humu??? Unajirusha akili kwa papuchi kikongwe???🤣🤣🤣🤣🤣
Nimefanikiwa kutoroka na nguo za babu. Nipe lokeshen acha maneno mingimingiNimeambiwa bibi wa kichaga aka mkeo mdogo ameloweka nguo zako hadi dakika hii bado uko migombani unaria mbege.....
Aisee we jamaa kama utakuwa hujatumbuliwa basi utakuwa ushakuwa balozi unayesubiria kupangiwa kituo cha kaziAsprin unanidhalilisha aisee.....ukuu wa wilaya??? Pyuu... hicho cheo nilikuwa nacho miaka hiyoo tukipambana hapa. Imagine by now nitakuwa wapi!!
hahahaahahaha.... najua namna ya kukaa na systemAisee we jamaa kama utakuwa hujatumbuliwa basi utakuwa ushakuwa balozi unayesubiria kupangiwa kituo cha kazi
Nimefanikiwa kutoroka na nguo za babu. Nipe lokeshen acha maneno mingimingi
Noted with thanksBbabuuuu, lokesheni inabidi niitoe kwa code ili isije vamiwa na Asprin bandia na Kasie bandia.
Yule nlokwambia atakwambia basi wacha nimwambie uko tayri kwa ajili ya maikutano......
See you soon.