mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,744
Wanasema zubaa uchekwe na Ujanja ni kupata/kuwahi,
Unaweza ukawa uliisha isikia redio inaitwa TONE RADIO (TONE MEDIA COMPANY) Hawa jamaa waliibuka mnamo mwaka 2012 wakiwa na namna ya urushaji wao wa matangazo kwa njia ya mtandao (online), hawa walikuwa wanapatikana Kijitonyama Tone House Umoja Street.
Ni moja kati ya Media zilizoanza kwa mchecheto sana na kwa sisi walevi wa Redio ilikuwa huchoki kuisikiliza kwa sababu tu, watangazaji waliopo pamoja na vipindi vilisukwa haswaa na kupewa majina yanayovutia, redio hii ulikuwa huwezi ipata kwenye frequeecy, yes huwezi kuipata, ni Online pekee lakini baadae ilikuja kupotea/kufail sababu zake za kufail sinozizungumza leo ni story ya siku ingine.
Ni jinsi gani sasa TONE RADIO Iliibomoa, huwa nasema kuigalagaza vibaya SAHARA MEDIA GROUP (Kiss fm & RFA) ,Kuhama kwa watangazaji zamani ilikuwa jambo ambalo halitiliwi maanani saana kwa sababu ilikuwa biashara ya kawaida kwa sasa ni jambao ambalo watu wanalizingatia sana kama usajili wa wachezaji wa mpira,
Mwaka 2012 TONE RADIO Ilinyakua sahihi za watangazi ambao nasema ni kiini cha SAHARA MEDIA GROUP nakuwasajili kwenye mjengo wa TONE pale Kijitonyama huku wakiwa wameahidiwa donge nono la mshahara nk, huku nyuma ndio kama mlango ulibaki wazi na wengine wakaanza kusepa,
walionyakuliwa na TONE RADIO ni:
Sandu George-Kidbwoy
Fredrick Bundala-Sky walker
John Karan-JK
Yunus Karsan
Claudia Maynka
Irene Tillya
Baada ya hawa wapwa kuondoka SAHARA MEDIA ililega sana, na baadae wengine wakasepa
Yahya Mohamed-Azam TV
Baruan Muhuza-Azam TV
Muhsin Mambo-TV One
Ivona Kamuntu-Azam TV
Raymond Nyamwihula-Azam TV
Fredwaa-Times Fm
Godfrey Kusolwa-Clouds TV
Ezden Jumanne-Times fm
Sam Kiama-Anko Sam-...
TONE RADIO ndio walikuwa kama wameleta uchuro kwa SAHARA MEDIA, N a hivo ndivo jinsi iliivoibomoa, baada ya hiyo miamba kuondoka Ushawishi huku nyuma ukawa mkubwa sana kila mtu anataka kusepa kwenda kwenye keki ilionona
Tchaooo...
Unaweza ukawa uliisha isikia redio inaitwa TONE RADIO (TONE MEDIA COMPANY) Hawa jamaa waliibuka mnamo mwaka 2012 wakiwa na namna ya urushaji wao wa matangazo kwa njia ya mtandao (online), hawa walikuwa wanapatikana Kijitonyama Tone House Umoja Street.
Ni moja kati ya Media zilizoanza kwa mchecheto sana na kwa sisi walevi wa Redio ilikuwa huchoki kuisikiliza kwa sababu tu, watangazaji waliopo pamoja na vipindi vilisukwa haswaa na kupewa majina yanayovutia, redio hii ulikuwa huwezi ipata kwenye frequeecy, yes huwezi kuipata, ni Online pekee lakini baadae ilikuja kupotea/kufail sababu zake za kufail sinozizungumza leo ni story ya siku ingine.
Ni jinsi gani sasa TONE RADIO Iliibomoa, huwa nasema kuigalagaza vibaya SAHARA MEDIA GROUP (Kiss fm & RFA) ,Kuhama kwa watangazaji zamani ilikuwa jambo ambalo halitiliwi maanani saana kwa sababu ilikuwa biashara ya kawaida kwa sasa ni jambao ambalo watu wanalizingatia sana kama usajili wa wachezaji wa mpira,
Mwaka 2012 TONE RADIO Ilinyakua sahihi za watangazi ambao nasema ni kiini cha SAHARA MEDIA GROUP nakuwasajili kwenye mjengo wa TONE pale Kijitonyama huku wakiwa wameahidiwa donge nono la mshahara nk, huku nyuma ndio kama mlango ulibaki wazi na wengine wakaanza kusepa,
walionyakuliwa na TONE RADIO ni:
Sandu George-Kidbwoy
Fredrick Bundala-Sky walker
John Karan-JK
Yunus Karsan
Claudia Maynka
Irene Tillya
Baada ya hawa wapwa kuondoka SAHARA MEDIA ililega sana, na baadae wengine wakasepa
Yahya Mohamed-Azam TV
Baruan Muhuza-Azam TV
Muhsin Mambo-TV One
Ivona Kamuntu-Azam TV
Raymond Nyamwihula-Azam TV
Fredwaa-Times Fm
Godfrey Kusolwa-Clouds TV
Ezden Jumanne-Times fm
Sam Kiama-Anko Sam-...
TONE RADIO ndio walikuwa kama wameleta uchuro kwa SAHARA MEDIA, N a hivo ndivo jinsi iliivoibomoa, baada ya hiyo miamba kuondoka Ushawishi huku nyuma ukawa mkubwa sana kila mtu anataka kusepa kwenda kwenye keki ilionona
Tchaooo...