gidlameck
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 618
- 524
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa sana la ndoa sogea tuishi hali iliopelekea kupoteza na kuondoa heshima na ladha ya ndoa kwa ujumla.
Unakuta binti jioni yupo kwao asubuhi mnaamka mnamwona kwa John ukiuliza utaambiwa kaolewa unajiuliza mbona ndoa zimekuwa rahisi hivi kumbe sogea tuishi.
Baada ya mwezi unamuona karudi kwao na hana shida kabisa kana kwamba hakuna kilichotokea zamani japo sio mhenga lakini niliona baba zetu wakitaka kuoa garama zilihusika tena kubwa mtu anatoa ng'ombe 15
Hii ilichangia ndoa kuwa na heshima kwa kiwango kikubwa lakini leo maneno tu yanatosha kuanza maisha Mungu ibariki Tanzania hasa wakati huu wa kuondokewa na mpendwa wetu.
Unakuta binti jioni yupo kwao asubuhi mnaamka mnamwona kwa John ukiuliza utaambiwa kaolewa unajiuliza mbona ndoa zimekuwa rahisi hivi kumbe sogea tuishi.
Baada ya mwezi unamuona karudi kwao na hana shida kabisa kana kwamba hakuna kilichotokea zamani japo sio mhenga lakini niliona baba zetu wakitaka kuoa garama zilihusika tena kubwa mtu anatoa ng'ombe 15
Hii ilichangia ndoa kuwa na heshima kwa kiwango kikubwa lakini leo maneno tu yanatosha kuanza maisha Mungu ibariki Tanzania hasa wakati huu wa kuondokewa na mpendwa wetu.