KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,882
- 4,508
Let me declare my interest,Mimi ni Shabiki wa Yanga Mabingwa mara 27 (in Manara's voice 🤣🤣🤣🤣).
Binafsi huwa napenda sana kuona timu yangu ikipata ugumu kupata point kutoka timu pinzani maana ndo utamu wa Soka.Siyo timu inajipigia tu,Nafurahi pia Simba ikihangaika kupata point toka kwa mpenzani maana ndo utamu wa soka.
Kuna tabia imeibuka kwa marefa kuanzia msimu uliopita kuzibeba hizi timu mbili.Binafsi inaniboa sana.Yaan radha ya mpira inaisha,Natamani siku moja siku moja hata Police Tanzania wabebe kombe ili viburi vya watu viishe.
Sijawahi kuikubali ile penalty ya Fei dhidi ya Namungo na leo tena Geita wamenyimwa goli waziwazi.
Hizi timu zinabebwa kuanzia waandishi wa habari,Marefa,Tff,Bodi ya ligi n.k.
Timu inapozikazia hizi timu mbili basi ndo utaona inaanza either kufatilia na watu au kuzungumzwa na wachambuzi.
Ifike sehemu tuweke ushabiki pembeni tudeal na hawa marefa uchwara
Yote kwa yote Geita wameupiga mwingi na Refa ndo man of ze mechiiiii na kwa mpira ule wa Simba December 11 tutaona mengi🤣🤣🤣
Binafsi huwa napenda sana kuona timu yangu ikipata ugumu kupata point kutoka timu pinzani maana ndo utamu wa Soka.Siyo timu inajipigia tu,Nafurahi pia Simba ikihangaika kupata point toka kwa mpenzani maana ndo utamu wa soka.
Kuna tabia imeibuka kwa marefa kuanzia msimu uliopita kuzibeba hizi timu mbili.Binafsi inaniboa sana.Yaan radha ya mpira inaisha,Natamani siku moja siku moja hata Police Tanzania wabebe kombe ili viburi vya watu viishe.
Sijawahi kuikubali ile penalty ya Fei dhidi ya Namungo na leo tena Geita wamenyimwa goli waziwazi.
Hizi timu zinabebwa kuanzia waandishi wa habari,Marefa,Tff,Bodi ya ligi n.k.
Timu inapozikazia hizi timu mbili basi ndo utaona inaanza either kufatilia na watu au kuzungumzwa na wachambuzi.
Ifike sehemu tuweke ushabiki pembeni tudeal na hawa marefa uchwara
Yote kwa yote Geita wameupiga mwingi na Refa ndo man of ze mechiiiii na kwa mpira ule wa Simba December 11 tutaona mengi🤣🤣🤣