Aaah.Nakuja weekend hii
Hapana tuko wachaga, wapare, wamasai, wasambaa na makabila mengine.......Ona sasa unavyowasingizia wamasai Kwa sifa zenu za kipuuzi
Kilimanjaro ni ya wachaga na wapare.
Au nilete picha nyingine
Bukoba vijijini nyumba 17 tu ndiyo nzuri