Nafikiri kwa sasa ile mihemuko yako ya kutaka kutafuta mabadiliko nje ya chama tawala itakuwa imetulia kidogo. Kwa sababu huchelewi kuja na uzi mwingine tena hapa jukwaani na kuanza kumlalamikia tena.
Atakuwa kafarijika na uwepo bado wa Chalamila.
Nafikiri kwa sasa ile mihemuko yako ya kutaka kutafuta mabadiliko nje ya chama tawala itakuwa imetulia kidogo. Kwa sababu huchelewi kuja na uzi mwingine tena hapa jukwaani na kuanza kumlalamikia tena.
Huyu Veronica France ndo bingwa wa hizo nyuzi za kijinga jinga!Kufa kwa Covid tena kizembe ni ushujaa? Hakuna jizi lolote la kura linakufa kishujaa.
Wenzako kila siku wanaanzisha uzi kuwa mama anafanya maamuzi kufuata maoni ya mitandaoni. Kila anapogusa waovu wenzake na Magu, kilio ni kuwa mama anamsaliti dhalimu.
Heeeeee... Imeshaanza tena kumsifia mtu uliyeshinda week nzima ukimwanzishia nyuzi za kumpondaJINSI MAMA ALIVYOWAPIGA CHENGA YA MWILI WAPIGA KELELE WA MITANDAONI....
Baada ya Mama kutangaza kuwa angeteua hata wa upinzani kuitumikia serikali...vijana wa Chadema na ACT humu mitandaoni wakaanza kuota Ndoto za mchana..!!
Waliamini kuwa hao watakaoteuliwa toka upinzani basi watatoka vyama hivi vikubwa...Chadema na ACT Wazalendo..!!
Wakawa wanausubiria kwa hamu uteuzi huu wa Wakuu wa mikoa....na leo mama kalipua bomu...!!kamteua Mama Queen Sendiga kutoka chama kidogo sana cha ADC kuwa mkuu wa mkoa wa Iringa
Ni habari mbaya sana kwa wapinzani wetu hawa wa mitandaoni..ambao jana tu walikua wakishangilia kutenguliwa kwa DC Sabaya
Kwanza Walianza kumshinikiza Mama avunje baraza mawaziri ili awateme mawaziri wote walioteuliwa na JPM.Mama hakuwasikiliza..!!
Wakahamia kwa Wakuu wa Mikoa...wakaanza kumshinikiza tena Mama awapige chini Wakuu wa mikoa wote walioteuliwa na JPM..wakidai walikua wakiendesha hiyo mikoa kwa mihemko na mashinikizo kutoka kwa JPM
Mama leo kawaonesha wapinzani wetu kuwa Yeye na JPM ni kitu kimoja...kaamua kufanya kazi na wakuu wa mikoa karibia wengi wa JPM.
Ali Happi na Chalamila ndio wakuu wa mikoa wakiosubiriwa kwa hamu na wapinzani watenguliwe...haijawa hivyo,Mama kawahamisha mikoa waendelee kuwatumikia wananchi...
Huyu ndiye Mama tunayemfahamu...anang'ata huku akipuliza..!!!
Una uhakika ni Covid? Au unahara prapraaaaaaaKufa kwa Covid tena kizembe ni ushujaa? Hakuna jizi lolote la kura linakufa kishujaa.
Wenzako kila siku wanaanzisha uzi kuwa mama anafanya maamuzi kufuata maoni ya mitandaoni. Kila anapogusa waovu wenzake na Magu, kilio ni kuwa mama anamsaliti dhalimu.
Una uhakika ni Covid? Au unahara prapraaaaaaa
Samia anabariki UOVU