Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
JINSI MAMA ALIVYOWAPIGA CHENGA YA MWILI WAPIGA KELELE WA MITANDAONI....
Baada ya Mama kutangaza kuwa angeteua hata wa upinzani kuitumikia serikali...vijana wa Chadema na ACT humu mitandaoni wakaanza kuota Ndoto za mchana..!!
Waliamini kuwa hao watakaoteuliwa toka upinzani basi watatoka vyama hivi vikubwa...Chadema na ACT Wazalendo..!!
Wakawa wanausubiria kwa hamu uteuzi huu wa Wakuu wa mikoa....na leo mama kalipua bomu...!!kamteua Mama Queen Sendiga kutoka chama kidogo sana cha ADC kuwa mkuu wa mkoa wa Iringa
Ni habari mbaya sana kwa wapinzani wetu hawa wa mitandaoni..ambao jana tu walikua wakishangilia kutenguliwa kwa DC Sabaya
Kwanza Walianza kumshinikiza Mama avunje baraza mawaziri ili awateme mawaziri wote walioteuliwa na JPM.Mama hakuwasikiliza..!!
Wakahamia kwa Wakuu wa Mikoa...wakaanza kumshinikiza tena Mama awapige chini Wakuu wa mikoa wote walioteuliwa na JPM..wakidai walikua wakiendesha hiyo mikoa kwa mihemko na mashinikizo kutoka kwa JPM
Mama leo kawaonesha wapinzani wetu kuwa Yeye na JPM ni kitu kimoja...kaamua kufanya kazi na wakuu wa mikoa karibia wengi wa JPM.
Ali Happi na Chalamila ndio wakuu wa mikoa wakiosubiriwa kwa hamu na wapinzani watenguliwe...haijawa hivyo,Mama kawahamisha mikoa waendelee kuwatumikia wananchi...
Huyu ndiye Mama tunayemfahamu...anang'ata huku akipuliza..!!!
Baada ya Mama kutangaza kuwa angeteua hata wa upinzani kuitumikia serikali...vijana wa Chadema na ACT humu mitandaoni wakaanza kuota Ndoto za mchana..!!
Waliamini kuwa hao watakaoteuliwa toka upinzani basi watatoka vyama hivi vikubwa...Chadema na ACT Wazalendo..!!
Wakawa wanausubiria kwa hamu uteuzi huu wa Wakuu wa mikoa....na leo mama kalipua bomu...!!kamteua Mama Queen Sendiga kutoka chama kidogo sana cha ADC kuwa mkuu wa mkoa wa Iringa
Ni habari mbaya sana kwa wapinzani wetu hawa wa mitandaoni..ambao jana tu walikua wakishangilia kutenguliwa kwa DC Sabaya
Kwanza Walianza kumshinikiza Mama avunje baraza mawaziri ili awateme mawaziri wote walioteuliwa na JPM.Mama hakuwasikiliza..!!
Wakahamia kwa Wakuu wa Mikoa...wakaanza kumshinikiza tena Mama awapige chini Wakuu wa mikoa wote walioteuliwa na JPM..wakidai walikua wakiendesha hiyo mikoa kwa mihemko na mashinikizo kutoka kwa JPM
Mama leo kawaonesha wapinzani wetu kuwa Yeye na JPM ni kitu kimoja...kaamua kufanya kazi na wakuu wa mikoa karibia wengi wa JPM.
Ali Happi na Chalamila ndio wakuu wa mikoa wakiosubiriwa kwa hamu na wapinzani watenguliwe...haijawa hivyo,Mama kawahamisha mikoa waendelee kuwatumikia wananchi...
Huyu ndiye Mama tunayemfahamu...anang'ata huku akipuliza..!!!