Jinsi panya wanavyofundishwa kugundua mabomu SUA Morogoro kitengo cha APOPO

Jamani mnazungumza vitu gani?.. au labda mimik ndio sielewi!
Lini panya wakategua mabomu?.. navyojua mimi panya hutumiwa kunusa harufu ya TNT au DNT, na kwa sababu panya hawana uzito wa hilo bomu haliwezi kulipuka wanaposimama juu yake kisha mhusika wa kutegua ndo huja akategua lile bomu.
 
Mkandala,
Usiwe na wasiwasi juu ya uelewa wako juu la suala hili mkuu,ni kweli panya hunusa harufu ya TNT au DNT ambayo ndio milipuko (explosive material) iliyomo ndani ya mabomu na engineers kutegua.

Ushiriki wa panya katika kuonyesha bomu lilipo tu si kutegua bomu,kazi ya kutegua bomu ni kazi ambayo inahitaji,ujuzi umakini wa hali ya juu na akili timamu.

Na pia ifahamike kuwa kuna njia njingi za kutegua mabomu,na sequence of actions katika uteguaji wa bomu,panya hawezi kukamata au kufuata sequence of actions
Njia hii ya kutumia panya ni njia yenye gharama nafuu ukilinganishwa na njia nyingine kama Ground penetration Radar,mbwa,na mine detectors.
 
Last edited:
Panya wa mabomu wapo. Yule mtu aliyeanzisha hiyo idea ni Belgian,mpaka siku za karibuni alikuwepo Sokoine University.

Huyu mtu ni scientist,na Pia ni Budhist monk.Halafu anaongea Kiswahili huyu mtu,yaani hata abstruse Bhuddist terminology,anaweza kuzifasiri Kiswahili.

Hawa panya wanagundua mabomu,pia wanatumika kugundua bugs wa T. B.
 
Hivi wale panya waliotangazwa kuwa wana uwezo wa kutegua mabomu ni kweli walikuwepo/wapo au au yalikuwa mambo ya wanasia tuuu...??? Kama wapo kwa nini wasipelekwe Mbagala wakafanye kazi yao...? Saidia mimi jamani.

Hussein Mwinyi kala wote na Wamakonde wenzake kwenye libeneke la kufuturisha Ntwala ...mtu mwenyewe hata sura yake imekaa kipanyapanya tu...bora angejiuzulu Mwarabu feki huyu kaa baba ake alivyofanya enzi za Nyerere
 
Panya wa mabomu wapo. Yule mtu aliyeanzisha hiyo idea ni Belgian,mpaka siku za karibuni alikuwepo Sokoine University.
Huyu mtu ni scientist,na Pia ni Budhist monk.Halafu anaongea Kiswahili huyu mtu,yaani hata abstruse Bhuddist terminology,anaweza kuzifasiri Kiswahili.
Hawa panya wanagundua mabomu,pia wanatumika kugundua bugs wa T. B.

Una maana gani?
 
Wale nadhani wamespecialise katika maeneo ambayo hakuna makazi ya watu kama mbagala...mbagalakuna kambi ya jeshi, mabomu, na watu.....sad indeed.
...Ndio maana wanasema wangechanganyikiwa!!!
 
Heheheheh, hii kali tena inakabia kuwa kalikiti.

Kweli wee Mgonjwa na si wa Ukimwi ila unatakiwa kuwa Dodoma kule.

Kwani hujasikia Mbwa wanapata ranking kama POLISI?

Ndiyo matatizo ya MIPINGO. Ukiona mnyama unafikiri "hana akili", ukiona mtoto unafikiri "hana akili", mafisadi wakiona Watz wanasema "haina akili" na hii itaenda hadi siku moja watu wawakamate na kuwa ********

Ningeliweza ningelikutumia Gongagonga mje mgawane ukiwmi.... na hapo ningeliona kama utaendelea kucheka heheheeeeee......

Ni kweli hao Panya hawategui mabomu, ila wanasaidia kuonyesha yako wapi. Ila kusomeshwa, wanasomeshwa na si wao tu, kuna wanyama wengi hupata shule. Hata wewe pia ulipata shule na sasa unaandika hapa JF.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=8OLGwqPJECM&feature=related[/ame]
 
Back
Top Bottom