Jinsi Osama alivyokamatwa while Obama watches from The Situation Room

Mapenzi na ushabiki na udini tuache, jamaa kafa. Hata waarabu wenyewe wamekubari, wewe mubongo una lipi kama si ubishi? Tugange yaliyopo na yajayo!!
 
<!--[if gte mso 9]><xml> <w:WordDocument> <w:View>Normal</w:View> <w:Zoom>0</w:Zoom> <w:Compatibility> <w:BreakWrappedTables/> <w:SnapToGridInCell/> <w:WrapTextWithPunct/> <w:UseAsianBreakRules/> </w:Compatibility> <w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel> </w:WordDocument> </xml><![endif]--><!--[if !mso]><object classid="clsid:38481807-CA0E-42D2-BF39-B33AF135CC4D" id=ieooui></object> <style> st1\:*{behavior:url(#ieooui) } </style> <![endif]--><!--[if gte mso 10]> <style> /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; font-family:"Times New Roman";} </style> <![endif]--> Osama Bin Laden ni agent wa Marekani na power elite ya dunia ambaye pamoja na tukio la September 11 alitumiwa kutengeneza "enemy"-image kwa raia wa wamarekani na dunia nzima ili waunge mkono serikali ya US kwenda vitani mara mbili. Nadhani unaamini kuwa kuna power elite ambayo inamiliki asilimia kubwa ya rasilimali za dunia. Miongoni mwa power elite hiyo kuna baadhi ya wanasiasa lakini ilianza kupata nguvu yake kwa kuwekeza ktk mafuta (Rockefeller Dynasty), chuma (Carnegie steel empire), mfumo wa mabenki (e.g. Chase Manhattan), vyombo vya habari na [amini, usiamini] - silaha.

Tangu vita vya baridi (&Vietnam) ambapo tulidanganywa kwamba kuna tishio la Kikomunisti, mauzo ya silaha yamepungua sana. Vita vina faida nyingi kwa
baadhi ya watu - hasa power elite hiyo ambao tangu enzi za Prescott Bush, John D. Rockefeller, P.J. Morgan, Rothschild dynasty... wamekuwa wakijipatia utajiri kupitia umiliki kamili wa rasilimali zote muhimu duniani. Miongoni mwa faida hizo ni mapato kutokana na silaha na wingi wa mafuta unaotumika vitani (kumbuka ni wanasiasa wangapi wa serikali ya awamu ya Bush walikuwa wamiliki wakubwa wa biashara ya mafuta duniani (e.g. Standard Oil, Texaco, Mobil, Exxon... in fact, kuna oil tanker moja wa kampuni ya Exxon yenye jina "Condoleezza"). Faida nyingine ni kuwepo kwa sababu "halali" ya uwepo wa jeshi katika "bustani" ya adui na hivyo kuweza kudhibiti resistance na rasilimali zake.

Hivyo, wakajitungia sababu za kwenda vitani - hata WW1 na WW2 (e.g. Meli ya Lusetania, Pearl Harbor, na sasa 9/11). : Ndio hao hao waliofaidika na vita hivyo vinavyoendelea kutafuna mabilioni ya Dollar kila mwaka. Ulishasikia makampuni kama Halleburton au Carlyle Group wanaowekeza kwenye usalama? Baadhi ya members unawajua? Nakutajia wachache: Dick Cheney, Donald Rumsfeld, George W. Bush, Muhammad Karzai... Familia ya Bin Laden ni miongoni mwa familia tajiri zaidi duniani, kwa sababu kwa miaka mingi wamekuwa wakipata tenda zote za kujenga military bases za wamarekani Uarabuni.


Siri hizi ni nyingi na kila mwaka unaopita, skendo nyingine zinagundulika na tunajifunza jinsi vizazi vilivyopita vilivyodanganywa na kukubali wanaume wao kupoteza uhai kwa faida ya wachache. Kwa sasa, serikali ya US inaona dhahiri kuwa haina tena uwezo wa kifedha wa kuendeleza vita hivyo. Kwa hiyo, wakaamua kumaliza mchezo wa kujifanya kumtafuta Osama, wakampata akiwa "amekufa" na kujaribu kunyamazisha maelfu ya wamarekani
wasomi wanaoandamana kudai ukweli wa 9/11.
 
Hiyo picha ya illustration ni pumba na speculation, Wamarekani wameshasema Bin Laden hakuwa na bunduki wala silaha yoyote. Tuwe wavumilivu kidogo, watarelease details when appropriated.
 
Nijuavyo ni kuwa Osama alikufa kitambo tuu ila jamaa wakaamua kutunga mission tuu!
Niwajauvyo USA wangeanika kila stage ya uuaji huo but twaletewa picha za kucholwa apa mbona sadam wakati wanamnyonga walirusha kama ilivyo.
Nina wasi wasi kifo chake kitaamsha hasira toka kwa wafuasi wake kuna haja ya kuwa standby on that

Usituletee pumba zako hapa. Kama wewe huamini basi sisi tunaamini kuwa huyo mbwa bin laden ameuawa kwenye hilo tukio. Waliobaki kama wataendelea na ugaidi hatimaye nao wasubiri kusulibishwa kama kiongozi wao yaliyomkuta chumbani kwake alikoamini kuwa ni mbali na mkono wa USA.
 
Hiyo picha ya illustration ni pumba na speculation, Wamarekani wameshasema Bin Laden hakuwa na bunduki wala silaha yoyote. Tuwe wavumilivu kidogo, watarelease details when appropriated.

duh! kweli kuna watu na viatu, kwa hiyo watugee pumba kwa manufaa ya nani?
 
Huo ni usanii ili wajinga wasijue sio kweli kabisaaaaaaaa it's well arranged ili kuhadaa ulimwengu obama kachemsha huo ni ujanja wa kupata kura baada ya kuanguka kwenye midterm election tunataka picha ya osama akiwa mfu sio usanii wa kuweka passport size na kuuhadaa ulimwengu,saddam,udei na qusei waliweka picha cnn,bbc,aljazeera wakapiga hata za mazishi wakapiga tukaona,iweje za osama hakuna kazikwa shuta shuta fasta fasta hapo mwerevu ajue mjinga akubali
 
hatutaki picha za dawa,kama camera ilikuwa kwenye helmet ya soldier sasa mbona mnatuonesha dawa?
 
<!--[if gte mso 9]><xml> <w:WordDocument> <w:View>Normal</w:View> <w:Zoom>0</w:Zoom> <w:Compatibility> <w:BreakWrappedTables/> <w:SnapToGridInCell/> <w:WrapTextWithPunct/> <w:UseAsianBreakRules/> </w:Compatibility> <w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel> </w:WordDocument> </xml><![endif]--><!--[if !mso]><object classid="clsid:38481807-CA0E-42D2-BF39-B33AF135CC4D" id=ieooui></object> <style> st1\:*{behavior:url(#ieooui) } </style> <![endif]--><!--[if gte mso 10]> <style> /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; font-family:"Times New Roman";} </style> <![endif]--> Osama Bin Laden ni agent wa Marekani na power elite ya dunia ambaye pamoja na tukio la September 11 alitumiwa kutengeneza "enemy"-image kwa raia wa wamarekani na dunia nzima ili waunge mkono serikali ya US kwenda vitani mara mbili. Nadhani unaamini kuwa kuna power elite ambayo inamiliki asilimia kubwa ya rasilimali za dunia. Miongoni mwa power elite hiyo kuna baadhi ya wanasiasa lakini ilianza kupata nguvu yake kwa kuwekeza ktk mafuta (Rockefeller Dynasty), chuma (Carnegie steel empire), mfumo wa mabenki (e.g. Chase Manhattan), vyombo vya habari na [amini, usiamini] - silaha.

Tangu vita vya baridi (&Vietnam) ambapo tulidanganywa kwamba kuna tishio la Kikomunisti, mauzo ya silaha yamepungua sana. Vita vina faida nyingi kwa
baadhi ya watu - hasa power elite hiyo ambao tangu enzi za Prescott Bush, John D. Rockefeller, P.J. Morgan, Rothschild dynasty... wamekuwa wakijipatia utajiri kupitia umiliki kamili wa rasilimali zote muhimu duniani. Miongoni mwa faida hizo ni mapato kutokana na silaha na wingi wa mafuta unaotumika vitani (kumbuka ni wanasiasa wangapi wa serikali ya awamu ya Bush walikuwa wamiliki wakubwa wa biashara ya mafuta duniani (e.g. Standard Oil, Texaco, Mobil, Exxon... in fact, kuna oil tanker moja wa kampuni ya Exxon yenye jina "Condoleezza"). Faida nyingine ni kuwepo kwa sababu "halali" ya uwepo wa jeshi katika "bustani" ya adui na hivyo kuweza kudhibiti resistance na rasilimali zake.

Hivyo, wakajitungia sababu za kwenda vitani - hata WW1 na WW2 (e.g. Meli ya Lusetania, Pearl Harbor, na sasa 9/11). : Ndio hao hao waliofaidika na vita hivyo vinavyoendelea kutafuna mabilioni ya Dollar kila mwaka. Ulishasikia makampuni kama Halleburton au Carlyle Group wanaowekeza kwenye usalama? Baadhi ya members unawajua? Nakutajia wachache: Dick Cheney, Donald Rumsfeld, George W. Bush, Muhammad Karzai... Familia ya Bin Laden ni miongoni mwa familia tajiri zaidi duniani, kwa sababu kwa miaka mingi wamekuwa wakipata tenda zote za kujenga military bases za wamarekani Uarabuni.


Siri hizi ni nyingi na kila mwaka unaopita, skendo nyingine zinagundulika na tunajifunza jinsi vizazi vilivyopita vilivyodanganywa na kukubali wanaume wao kupoteza uhai kwa faida ya wachache. Kwa sasa, serikali ya US inaona dhahiri kuwa haina tena uwezo wa kifedha wa kuendeleza vita hivyo. Kwa hiyo, wakaamua kumaliza mchezo wa kujifanya kumtafuta Osama, wakampata akiwa "amekufa" na kujaribu kunyamazisha maelfu ya wamarekani
wasomi wanaoandamana kudai ukweli wa 9/11.
Dah! Dankie sana kunifungua macho mkuu
 
umejuaje?na wewe ni nani hadi ujue kuwa osama alikuwa ashakufa? kila stage si hiyo hapo imeanikwa?au unataka nini zaidi ya hapo muungwana

Mzee, utaumia kichwa bure. wenzio wanarelate na ya kwetu na balali. wenzetu ni tofauti na hawawezi danganya kwa vitu kama hivyo hata kidogo. ni ukweli kafa na hawakuonyesha picha kwa sababu ingeweza ongeza hasira kwa wapenzi wake na wakizitoa watakuwa wamefanya editing kubwa na pia angezikwa kawaida angeweza kuwa hata mtakatifu bdae na watu kutembelea kaburi lake kama shujaa vile. wenzetu wanaona mbali.
 
duh! kweli kuna watu na viatu, kwa hiyo watugee pumba kwa manufaa ya nani?

Hiyo picha itakuwa imetoka from some crap website or tabloid newspaper imekaa kibiashara zaidi.

Osama bin Laden was not armed but did put up resistance when U.S. forces entered the compound he was in, then killed him, White House spokesman Jay Carney said Tuesday.
 
Ubishi wa nini? Lazima tukubali marekani taifa kubwa pia hawakurupuki kutoa tamko kama hapa kwetu tz. Tumeona obama alivyochelewa kutoa tamko jiulize sababu nini?Alitaka aseme kitu chenye ukweli.
Ni kweli uyasemayo Marekani taifa kubwa sana, na wala hawakurupuki, na ndio maana wamefanikiwa kukamata siraha za maangamizi kule Iraq. zei a veri jinihasi!
 
Kwa wapenzi wa Google Earth, eneo linaonekana hivi:

attachment.php


Osama Compaound.JPG
 
kwani hujaona picha hapo? Au hujazielewa?just say/asks i if you need explanation. We are here for all of us

Ameona kila kitu na ameelewa kitu, ila anasikiliza mafundisho aliyoambiwa na Imamu wake wa msikiti wa kwa Mtoro. ogopa watu ambao wako brain washed.
 
Hiyo picha itakuwa imetoka from some crap website or tabloid newspaper imekaa kibiashara zaidi.

weka hizo website hapa hatutaki longolongo..sisi tumekuwekea picha , wewe kwa nini unakuwa mbishi?
soma hapo chini
Akizungumza kwa njia ya simu na Shirika la Habari la Ufaransa, AFP, mmoja kati ya wanamtandao hao, amesema hawakuamini waliposikia taarifa za kifo cha kiongozi wao. Amesema, hata hivyo, aliwasiliana na wenzao wa Pakistan ambao walithibitisha kifo hicho.
 
Haya ndio mafundisho ya msikiti wa mwembe chai. pole sana, sijui kwa nini haukutuambia tangu hizo siku nyingi kwamba Osama ameshakufa! haya ndio madhara ya kuwa brain washed.
Ilo neno brain washed ndio msamiati wako mpya nini. Kwi kwi kwikwi kwikwi kwikwi kwi!
 
umejuaje?na wewe ni nani hadi ujue kuwa osama alikuwa ashakufa? kila stage si hiyo hapo imeanikwa?au unataka nini zaidi ya hapo muungwana

Ni aibu sana mtu mzima ukadanganywa na wewe ukakubali kudanganywa huku anayakudanganya akijua wazi kuwa anakudanganya. Kwa kifo hiki cha kufikirika ni kuwa "HADITHI NJOO UTAMU KOLEA"
 
Nijuavyo ni kuwa Osama alikufa kitambo tuu ila jamaa wakaamua kutunga mission tuu!
Niwajauvyo USA wangeanika kila stage ya uuaji huo but twaletewa picha za kucholwa apa mbona sadam wakati wanamnyonga walirusha kama ilivyo.
Nina wasi wasi kifo chake kitaamsha hasira toka kwa wafuasi wake kuna haja ya kuwa standby on that

unajua kupitia au kutoka wapi??? hivi kwa nini mna vichwa vigumu kama jiwe? mhh ndo maana YESU alisema wanangu wataangamia kwa kukosa maarifa..nayaona hayo sasa
 
Back
Top Bottom