Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Wakati mnafanya ujinga na sabaya akili yenu ilikuwa ya kipumbavu mkiamini Magufuli Ni mungu na mpo juu ya sheria na hakuna wa kuwachukulia hatua na Ndiyo nyinyi mliharibu twaswira ya Magufuri kwa wapenda Haki.huyo mshenzi mwezako hadi picha za video zinamuumbua na bado unatetea ushenzi .mpumbavu sana wewe

wewe ni sawa na mke mwenza mwenye uchungu wa kuporwa mume,tulia kwanza iache akili yako ifanue kazi.

kwahiyo leo mama samia ni wa kuwafunga wakosajibwa serikali ya awamu ya 5!!!!tena waliokuwa viongozi wa uma!!
 
These ideas might have come from Sabaya's great beneficiary. For heaven sake, CHADEMA wamehusika vipi? Ikumbukwe Kuna watu wanajisahau kuwa cheo ni dhamana. Watu hao pindi wanapopata madaraka huyatumia kuumiza watu. Yeye Sabaya sio kiongozi wa kwanza kuchepuka kwenye ethics za uongozi. Wapo wengi tu mfano, Brigedia Maliyamungu, aliyekuwa mwambata wa Idd Amin. Chonde, msihusishe udhalimu wa mtu na Chama Cha upinzani. Upinzani haujashika Dola utawezaje kunyanyasa raia?
 
Kwahiyo victim kutokusema au kutolalamika kwa wakati ndiyo kunaiondoa jinai husika?

Duniani wanapigwa 'bangili' hadi marais wastaafu na kupelekwa ngome, sembuse huyo ex-DC?!!

Jinai haina expiry date mjomba.

Wacha huyo Sabaya wako naye 'achezee' kidogo. Ndiyo maisha mzee baba... Leo Imaam, kesho mwanaharamu!

-Kaveli-
 
Nakiri kula sahani moja na sabaya kwa maana ya chakula na aliyewai kuwa mkuu wa wilay ya hai ..iko HV mwaka Jana Kat ya mwez wa tano jpm alikuwa anatokea kwao chato kwenda ddom baada ya korona kutawanywa kwa maombi bwana yule sabaya alipitia singida bas akampigia rafiki ake waonane nae. Wkt huo mim Niko na rfk Ake maeneo fln HV tanesco tukipata moja barid bas mida ya saa tatu HV jamaa akatuita ...tulienda pale tukamkuta ndipo alipo tununulia kuku wa nne wa kuchoma nilikula had kuangalia mezani minyamaa tu hakika nilifaid siku hyo .. bas asbh akaondoka zake kumuwai jpm alikuwa Ana mazungumzo nae ......



Ifatayo nitafungua Uzi kuonesha siku alivyo fika dar kufanya interview na clouds
 
Acha alipe udhalinu aluofanya....miaka 3 rumande akili itakuja tu ....majuto na kutubu sasa bado mpya kiburi dharau subiria tu....
 
Analala nalo dudu jamani kisongo akiwa mjanja atahamishwa selo aende wamasai wenzake aanze ulokole ndio faraja pekee mule hapo wameshamla angalau week 1......jeuri huku tu akiwa nmbunduki....issuewale vijana atawasaidia au atapambana kivyake ? Aliwaaminisha anavyojua yeye sasa vijana wananyea ndoo.....yeye ana cash aluzoiba wale je
 
Kwa staili hii nadhani ni busara sasa UVCCM ikasukwa upya. Kama vijana wake Ndio hawa humu JF kwa kweli ni hatari si tu kwa chama Bali kuwa taifa kwa ujumla. Hasa ni italahamwe.
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Fanya kazi wewe au wewe ni kula kulala?
 
Mkuu umeharibu kinoma,
Unashangaa kwa nn polisi hawakudeal nae wakati unajua baba enu meko aliwafanya wasiguswe!!!
Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom