Wakati mnafanya ujinga na sabaya akili yenu ilikuwa ya kipumbavu mkiamini Magufuli Ni mungu na mpo juu ya sheria na hakuna wa kuwachukulia hatua na Ndiyo nyinyi mliharibu twaswira ya Magufuri kwa wapenda Haki.huyo mshenzi mwezako hadi picha za video zinamuumbua na bado unatetea ushenzi .mpumbavu sana wewe
We tafuta bwana mwenzio anakojolewa na vumbi la mkongo limeshapelekwa kisongoWe mbona wanakukojolea mdomoni kila siku
Proof beyond reasonable doubt
Akipeleka uji asisahau pampas, sabuni na taulo ndogo.We mpelekee mwenzio uji huko gerezani,hizi blah blah haziwazaidii chochote wew na Sabaya
Tulie we ngiri jike hao madhalimu watoe mrejesho wa utawala wa lile jitu liovu.Dogo, hizi ni mada za kitoto au unajichetua?
Hayo ni ya Arusha pekeeKilicho nishangaza eti makosa yote kayafanya January 2021..
Fanya kazi wewe au wewe ni kula kulala?Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'
Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?
Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.
Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.
My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya