Asking for a friend.Amen Amen nawaambia, 7ya sasa hivi amelala usingizi wa mang'amu ng'amu kutokana na chawa wanaojitaftia rizki!
Hivi jela Kuna mablanket na mashuka, vitanda na magodoro?0
Asking for a friend.Amen Amen nawaambia, 7ya sasa hivi amelala usingizi wa mang'amu ng'amu kutokana na chawa wanaojitaftia rizki!
Akili gani unazotaka, au hoja gani nikujibu, Sabaya anakabiliwa na makosa kibao, wewe unakuja na hicho kimstari,Tumia akili kujibu hoja.
Sihitaji heshima yako hata sekunde moja! Kesi iko mahakamani wewe unakuja kupiga bla bla hapa! Unadhani utabadilisha kitu? Kwanza ndiyo imeanza na mwelekeo wake bado kabisa kujulikana.Kaa kimya bro, nakuheshimu humu Jf. Kaa kimya.
Kwahiyo ofisa wa serikali ndio uvamie na Bastola mkononNimefuatilia kwa ukaribu jinsi shahidi wa kwanza katika kesi inayomkabili Ole Sabaya, askari mwavuri aliyecheza na Mbowe mpaka akapotea kwenye siasa za wilaya Hai...
Msamehe bure huyu, wallet yake imekauka anatafuta hurumaSabaya ni hawara yako au??subiri kesi inaendelea..acha kupapatika..tulia yani.tanua miguu utulie
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kwaiyo aliposikia Sabaya akajua huyo Jambazi ndo kaenda kutoa ushahidi kuwa hivo?Nimefuatilia kwa ukaribu jinsi shahidi wa kwanza katika kesi inayomkabili Ole Sabaya, askari mwavuri aliyecheza na Mbowe mpaka akapotea kwenye siasa za wilaya Hai...
Sasa mfanyakazi wa dukani aliempigia Simu shahidi mwenye duka, naye si atakua shahidi aliemuona Sabaya akifanya uhalifu?Nimefuatilia kwa ukaribu jinsi shahidi wa kwanza katika kesi inayomkabili Ole Sabaya, askari mwavuri aliyecheza na Mbowe mpaka akapotea kwenye siasa za wilaya Hai...
Aliporaje? Mporaji huwa anajitambulisha?Hili no inga kweli. Hujui ht Askari yeyote mwenye haki ya kubeba silaha akiiitumia kupora mali za watu anaitwa jambazi? Embu karudishe akili zako huko ulikozisahau. Usituchefue na huyo jambazi lako.
Toka lini serikali inachukua hela kwa utaratibu wa Sabaya? Ni ujambazi kwa kutumia nguvu za dolaNimefuatilia kwa ukaribu jinsi shahidi wa kwanza katika kesi inayomkabili Ole Sabaya, askari mwavuri aliyecheza na Mbowe mpaka akapotea kwenye siasa za wilaya Hai.
Shahidi anadai alipigiwa simu na ndugu zake kuwa Sabaya na wenzake waliingia dukani na kujitambulisha kuwa ni maafisa wa Serikali, shahidi huyo pia anadai aliogopa kwenda dukani baada ya kusikia Sabaya na wenzake wapo dukani. Kwa hiyo ushahidi wake ni kusikia sio wa kuona.
Premafacie evidence inaonyesha kuna mchezo mbaya Ole Sabaya kafanyiwa. Maana ni jambazi gani mwenye siraha ya moto anayeweza kujitambulisha?
My take: Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.