Jinsi ninavyotangaza na kuvuta followers kwenye biashara yangu Instagram

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,200
12,692
Habari.

Tumeanzisha Application ambayo tunauza vitabu vya kiswahili. Sasa kupata install kwenye app ni kazi ngumu sana. Tukaanzisha account instagram ambayo tunaweka vitabu na kuvipromote. Shida inakuwa kupata followers instagram, nayo ni kazi ngumu. Tukatumia mbinu hii.

1. Tunatafuta account zinazouza vitabu mle instagram, hasa vitabu vya kiswahili. Tunaenda kwenye wale watu wanaofollow ile account. Tunaamini hawa wako interested na habari za vitabu.

2. Tunaanza kuwafollow wale watu. Baada ya muda wanaanza kutufollow back. Hapo tunajipatia followers, tena wale ambao wako interested na biashara yetu.

3. Instagram wanalimit mwisho kufollow watu 7500. Hatujafika hiyo limit lakini tukifika tutaweza kuunfollow baadhi ya watu na kuanza tena kufollow wengine.

4. Nimeona watu wana aacount za biashara insta lakini ana follow watu 100 tu. Kwa mtindo huo huwezi pata followers na huwezi kujitangaza kirahisi.

Kwa sasa account yetu tunafollow watu kama 6500 na tumepata followers kama 1500 ndani ya miezi miwili na kila siku wanaongezeka

Unaweza kutumia hii mbinu kwa business yoyote, kama unauza nguo, viatu, movies na kingine chochote.
 
Habari.

Tumeanzisha Application ambayo tunauza vitabu vya kiswahili. Sasa kupata install kwenye app ni kazi ngumu sana. Tukaanzisha account instagram ambayo tunaweka vitabu na kuvipromote. Shida inakuwa kupata followers instagram, nayo ni kazi ngumu. Tukatumia mbinu hii.

1. Tunatafuta account zinazouza vitabu mle instagram, hasa vitabu vya kiswahili. Tunaenda kwenye wale watu wanaofollow ile account. Tunaamini hawa wako interested na habari za vitabu.

2. Tunaanza kuwafollow wale watu. Baada ya muda wanaanza kutufollow back. Hapo tunajipatia followers, tena wale ambao wako interested na biashara yetu.

3. Instagram wanalimit mwisho kufollow watu 7500. Hatujafika hiyo limit lakini tukifika tutaweza kuunfollow baadhi ya watu na kuanza tena kufollow wengine.

4. Nimeona watu wana aacount za biashara insta lakini ana follow watu 100 tu. Kwa mtindo huo huwezi pata followers na huwezi kujitangaza kirahisi.

Kwa sasa account yetu tunafollow watu kama 6500 na tumepata followers kama 1500 ndani ya miezi miwili na kila siku wanaongezeka

Unaweza kutumia hii mbinu kwa business yoyote, kama unauza nguo, viatu, movies na kingine chochote.
Hiyo Njia ni nzuri sana, Mimi pia naitumia kwa muda mrefu na mpaka sasa Ninafolowers wakutosha.
 
Wapo walinifollow nika accept alafu sikuwafollow

Mi ndo nawakomeshaga kwa style hio
 
mtafute boss list mfollow kisha follow wale anaowafollow
subiri dakika kumi chungulia tena followers wako watakuwa wameongezeka, njia nyingine ni kutangaza biashara yako kwenye comment za post za wengine.
kwa mfano kwa viatu vizuri njoo kwenye page yangu
 
Habari.

Tumeanzisha Application ambayo tunauza vitabu vya kiswahili. Sasa kupata install kwenye app ni kazi ngumu sana. Tukaanzisha account instagram ambayo tunaweka vitabu na kuvipromote. Shida inakuwa kupata followers instagram, nayo ni kazi ngumu. Tukatumia mbinu hii.

1. Tunatafuta account zinazouza vitabu mle instagram, hasa vitabu vya kiswahili. Tunaenda kwenye wale watu wanaofollow ile account. Tunaamini hawa wako interested na habari za vitabu.

2. Tunaanza kuwafollow wale watu. Baada ya muda wanaanza kutufollow back. Hapo tunajipatia followers, tena wale ambao wako interested na biashara yetu.

3. Instagram wanalimit mwisho kufollow watu 7500. Hatujafika hiyo limit lakini tukifika tutaweza kuunfollow baadhi ya watu na kuanza tena kufollow wengine.

4. Nimeona watu wana aacount za biashara insta lakini ana follow watu 100 tu. Kwa mtindo huo huwezi pata followers na huwezi kujitangaza kirahisi.

Kwa sasa account yetu tunafollow watu kama 6500 na tumepata followers kama 1500 ndani ya miezi miwili na kila siku wanaongezeka

Unaweza kutumia hii mbinu kwa business yoyote, kama unauza nguo, viatu, movies na kingine chochote.
Je hao followers wanaipact katika biashara yako au wanaishia ku like tu?
 
Hii ndo point muhimu. Wanafunzi laki 2 wakikufollow ,bidhaa zako unauza laki kwenda juu, hapo utahesabuuna wateja?
Tumia adsmanager ya Facebook, hapo utauza. Hapa JF hawaruhusu link, nicheki kwa 0713039875 upate link
Je hao followers wanaipact katika biashara yako au wanaishia ku like tu?
 
Back
Top Bottom