Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Wandungu mambo vipi civilians wenzangu?
Jana kuna jambo lilinitokea nkachukulia kawaida. I did not think it through, lakini baada ya kutulia na kuwasha flashback nikapata picha halisi.
In short jana nilienda pale Rock Garden Mwanza kuulizia bei ya boti kwenda Sanane island, sasa pale kuingia kwenye kigarden wameweka bango kiingilio ni Tsh1000/= ingawa hakuna uzio.
Lakini ile nafika kabla ya kuingia nikaona wazungu wawili wa kike wakiingia nao pia walikuwa wanaulizia boat, waliingia pale na kuanza kaongea direct na wahusika kwa muda wa kama dakika 15. Mimi nikawa nimesimama pale nje ya garden nasubiria wamalize wazungu na mimi niulizie.
Walipomaliza wazungu wakaondoka na mimi nikaingia kuulizia, ile naingia nikawaita wahusika na kuanza kuelezea shida kuwa sijaja kujivinjari hapa garden bali nina shida ya kukodi boat, waliniangalia juu chini halafu wakasema tafadhali tunakuomba usimame kwa nje kwakuwa hujalipia kiingilio, bila hiyana nikatoka nje na kumuita tuongelee kwa nje.
Tukaongea na kisha nikaondoka. Kwa kweli ile situation nilichukulia kawaida lakini leo nimekaa nikawaza na kukumbuka wale wazungu hawakulipa lakini waliingia direct na kuulizia mle ndani kama dakika 15 nzima bila kulipishwa.
Nikagundua na kuunganisha matukio ya zamani kuwa hizi sehemu za starehe, utalii, mabenki au mahotel makubwa huwa kuna ubaguzi wa chini chini na wabongo walioajiriwa pale.
Unakuta ukiingia hotelini au sehem ya Starehe kama ni mbongo walinzi wanakufuata na kukuuliza mara mbili mbili kama vile umepotea lakini wazungu wakija wanapokelewa kwa karibu nyingi kama kwao vile.
Inaniuma sana hapa Tanzania wote weusi tunadharauliana na kubaguana na kuendelea kuwaabudu Wazungu.
Jana kuna jambo lilinitokea nkachukulia kawaida. I did not think it through, lakini baada ya kutulia na kuwasha flashback nikapata picha halisi.
In short jana nilienda pale Rock Garden Mwanza kuulizia bei ya boti kwenda Sanane island, sasa pale kuingia kwenye kigarden wameweka bango kiingilio ni Tsh1000/= ingawa hakuna uzio.
Lakini ile nafika kabla ya kuingia nikaona wazungu wawili wa kike wakiingia nao pia walikuwa wanaulizia boat, waliingia pale na kuanza kaongea direct na wahusika kwa muda wa kama dakika 15. Mimi nikawa nimesimama pale nje ya garden nasubiria wamalize wazungu na mimi niulizie.
Walipomaliza wazungu wakaondoka na mimi nikaingia kuulizia, ile naingia nikawaita wahusika na kuanza kuelezea shida kuwa sijaja kujivinjari hapa garden bali nina shida ya kukodi boat, waliniangalia juu chini halafu wakasema tafadhali tunakuomba usimame kwa nje kwakuwa hujalipia kiingilio, bila hiyana nikatoka nje na kumuita tuongelee kwa nje.
Tukaongea na kisha nikaondoka. Kwa kweli ile situation nilichukulia kawaida lakini leo nimekaa nikawaza na kukumbuka wale wazungu hawakulipa lakini waliingia direct na kuulizia mle ndani kama dakika 15 nzima bila kulipishwa.
Nikagundua na kuunganisha matukio ya zamani kuwa hizi sehemu za starehe, utalii, mabenki au mahotel makubwa huwa kuna ubaguzi wa chini chini na wabongo walioajiriwa pale.
Unakuta ukiingia hotelini au sehem ya Starehe kama ni mbongo walinzi wanakufuata na kukuuliza mara mbili mbili kama vile umepotea lakini wazungu wakija wanapokelewa kwa karibu nyingi kama kwao vile.
Inaniuma sana hapa Tanzania wote weusi tunadharauliana na kubaguana na kuendelea kuwaabudu Wazungu.