Jinsi nilvyoweza anza biashara yangu na kuaacha kazi

Mndali ndanyelakakomu

JF-Expert Member
Dec 14, 2016
13,992
31,695
habar

Hii ni ya kweli nitaondoa baadhi ya vitu ili iwe fupi kidogo

Mwaka 2005 niliajiliwa kampuni X kama kibarua mwaka 2007 niacha kazi kampuni X na kuenda kampuni N
Hii yote nikutafuta maslahi bora lakini nilipata matokeo tofauti na matarajio yangu

Mwaka 2009 niliamua kutafuta njia ya kuiongezea kipato hapa ndio nilianza kufanya utafiti wa biashara gani nifanye

Kulikuwa na biashara nyingi zilizo nivutia

Duka la mahitaji majumbani

Duka la urembo

Duka la vifaa vya simu

Duka la nguo za mtumba

Duka la viatu vya mtumba

katika kufanya kwangu tafiti toka 2009 nilikuja kugundua zote zinahitaji mtaji mkubwa tofauti na matarajio yangu na hela niliyo kuwa nayo kwa wakati huo

Mwaka 2010 nilichagua biashara ya vifaa vya simu maana hii niliona inafaida kubwa na nirahisi kuiendesha hata nikiwa kazini

Nianza kutafuta frem kwaajili ya biashara yangu nilibahatika kupata frem maeneo mazuri na yanayo faa kwa biashara yangu

katika fremu niliyo panga ilihitaji marekebisho makubwa kidogo hapa paliongezea kukomba kamtaji kangu

Mpaka namaliza kukarabati chumba nilikuwa nimebakiwa na laki na nusu na hii ndio ilikuwa mtaji wangu wa kwaanza nao biashara

na niliamua kuchukua vifaa vya hela hiyo hiyo na hapo ndio mwanzo wa biashara yangu

Na hapo ndipo nilipo weka malengo ya kila mwezi kutoa kiasi cha sh. 30,000/ (elfu thelathini ) kila mwezi ili kuipa nguvu biashara yangu

mwaka 2011 mwanzoni niliamua kuajiri mtu kwaajili ya kuuza hapa sikuajiri ili nipate faida bali niliajiri ili watu waone kuwa mahali pale panapatikana bidhaa fulani

Mwaka huo huo nilipata pigo la kuibiwa karibu robo tatu ya duka lote na mzigo ulio baki ulikuwa ni kidogo sana

Hapa nilijikuta nimekata tamaa ya kiwango cha juu Asikwambie mtu kuwa na kitu gafla huna hapa unaweza kujikuta unatamani kufa

Nilikaa kama miezi mitatu nikajikusanya kusanya kidogo nikaanza tena upya maana niliona kukubali kushindwa ni kuogopa sanamu ya kuchongwa

baada ya miezi minne niliacha kazi kampuni N na kwenda kutafuta kazi kampuni D yenye fani tofauti na niliyo kuwepo

Kampuni D nilienda kwa malengo mawili kwanza ni kujifunza fani mpya
Pili ni kusafiri mikoa tofauti tofauti na kujifunza mazingira na fursa mpya za huko mikoa mingne

Hii kampuni ilinifanya nizunguke karibu tanzania nzima na nje ya nchi na kujifunza zaidi biashara niliyo kuwa nayo

huko nilifanya kazi kwa miezi kumi na nane(18) hapa niliamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri rasmi na kufanya shughuli zangu

Nilikuwa tayari kidogo ninacho kipata nawekeza kwenye biashara yangu


Kwa kipindi nafanya kazi nilikuwa bado nimeajiri mtu ninavyo acha kazi Tuliendelea kuwa pamoja na mfanya kazi wangu ila tu kuna kazi nilimpa ambayo nilimwambia ni kama yake ila ilikuwa ndani ya ofisi yangu



baada ya hapo nilitafuta badhii ya baishara shirikishi ndani ya ofisi yangu

Niliweka MPESA hii iliniongezea katika kukuza mtaji

toka nimejiajiri sijawahi kujuta na wala kujilaumu


Ila tambua unapo amua kujiajiri unapaswa kujituma zaidi ya ulipo kuwa umeajiriwa


Fursa zipo nyingi chagua moja tembea nayo

Baada ya kuacha kazi yapo mengi niliyo fanya ili kuongeza kipato Changu na kujipa uhakika wa ajira yangu

Yapo niliyo yaacha ili kuweka fupi kidogo

Manyanyaso ya waajiri pamoja na mishahara ya kukatwa bila ridhaa ya mfanya kazi

Mungu awabariki wote
 
habar

Hii ni ya kweli nitaondoa baadhi ya vitu ili iwe fupi kidogo

Mwaka 2005 niliajiliwa kampuni X kama kibarua mwaka 2007 niacha kazi kampuni X na kuenda kampuni N
Hii yote nikutafuta maslahi bora lakini nilipata matokeo tofauti na matarajio yangu

Mwaka 2009 niliamua kutafuta njia ya kuiongezea kipato hapa ndio nilianza kufanya utafiti wa biashara gani nifanye

Kulikuwa na biashara nyingi zilizo nivutia

Duka la mahitaji majumbani

Duka la urembo

Duka la vifaa vya simu

Duka la nguo za mtumba

Duka la viatu vya mtumba

katika kufanya kwangu tafiti toka 2009 nilikuja kugundua zote zinahitaji mtaji mkubwa tofauti na matarajio yangu na hela niliyo kuwa nayo kwa wakati huo

Mwaka 2010 nilichagua biashara ya vifaa vya simu maana hii niliona inafaida kubwa na nirahisi kuiendesha hata nikiwa kazini

Nianza kutafuta frem kwaajili ya biashara yangu nilibahatika kupata frem maeneo mazuri na yanayo faa kwa biashara yangu

katika fremu niliyo panga ilihitaji marekebisho makubwa kidogo hapa paliongezea kukomba kamtaji kangu

Mpaka namaliza kukarabati chumba nilikuwa nimebakiwa na laki na nusu na hii ndio ilikuwa mtaji wangu wa kwaanza nao biashara

na niliamua kuchukua vifaa vya hela hiyo hiyo na hapo ndio mwanzo wa biashara yangu

Na hapo ndipo nilipo weka malengo ya kila mwezi kutoa kiasi cha sh. 30,000/ (elfu thelathini ) kila mwezi ili kuipa nguvu biashara yangu

mwaka 2011 mwanzoni niliamua kuajiri mtu kwaajili ya kuuza hapa sikuajiri ili nipate faida bali niliajiri ili watu waone kuwa mahali pale panapatikana bidhaa fulani

Mwaka huo huo nilipata pigo la kuibiwa karibu robo tatu ya duka lote na mzigo ulio baki ulikuwa ni kidogo sana

Hapa nilijikuta nimekata tamaa ya kiwango cha juu Asikwambie mtu kuwa na kitu gafla huna hapa unaweza kujikuta unatamani kufa

Nilikaa kama miezi mitatu nikajikusanya kusanya kidogo nikaanza tena upya maana niliona kukubali kushindwa ni kuogopa sanamu ya kuchongwa

baada ya miezi minne niliacha kazi kampuni N na kwenda kutafuta kazi kampuni D yenye fani tofauti na niliyo kuwepo

Kampuni D nilienda kwa malengo mawili kwanza ni kujifunza fani mpya
Pili ni kusafiri mikoa tofauti tofauti na kujifunza mazingira na fursa mpya za huko mikoa mingne

Hii kampuni ilinifanya nizunguke karibu tanzania nzima na nje ya nchi na kujifunza zaidi biashara niliyo kuwa nayo

huko nilifanya kazi kwa miezi kumi na nane(18) hapa niliamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri rasmi na kufanya shughuli zangu

Nilikuwa tayari kidogo ninacho kipata nawekeza kwenye biashara yangu


Kwa kipindi nafanya kazi nilikuwa bado nimeajiri mtu ninavyo acha kazi Tuliendelea kuwa pamoja na mfanya kazi wangu ila tu kuna kazi nilimpa ambayo nilimwambia ni kama yake ila ilikuwa ndani ya ofisi yangu



baada ya hapo nilitafuta badhii ya baishara shirikishi ndani ya ofisi yangu

Niliweka MPESA hii iliniongezea katika kukuza mtaji

toka nimejiajiri sijawahi kujuta na wala kujilaumu


Ila tambua unapo amua kujiajiri unapaswa kujituma zaidi ya ulipo kuwa umeajiriwa


Fursa zipo nyingi chagua moja tembea nayo

Baada ya kuacha kazi yapo mengi niliyo fanya ili kuongeza kipato Changu na kujipa uhakika wa ajira yangu

Yapo niliyo yaacha ili kuweka fupi kidogo

Manyanyaso ya waajiri pamoja na mishahara ya kukatwa bila ridhaa ya mfanya kazi

Mungu awabariki wote
Goood boy keep it up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom