Ulishawahi kutendwa na rafiki?Pole SUZANE pole sana. Na kutokana na haya ndio sababu sina na sintakuwa na rafiki mimi na kama ni madhara basi yanipate lakini ni miaka mingi sana sijapungukiwa na sintapungukiwa!
Pole SUZANE pole sana.
Na kutokana na haya ndio sababu sina na sintakuwa na rafiki mimi na kama ni madhara basi yanipate lakini ni miaka mingi sana sijapungukiwa na sintapungukiwa!
Ucpate wasiwasi..amini hakuna awezae funga tumbo lako ambalo mungu mwenyewe alilibariki na kulitakasa na kulipa mamlaka ya kuwa kitanda cha mwana wake akiwa mchanga....muombe kwa njia zote atakufungua na mtoto wako wa kwanza muite DAUDI(mwanaume) au MARIA(wa kike)
daaaa imeniuma nakunishtusha nimeumia zaidi uliposema huyo rafiki yako amekuchezea tumbo usiweze kupata watoto aisee naumia sana dada SUZZANE nimekumbuka ule uzi niloandika kuwa nahitaji dawa za asili za kuzuia mimba isiingie na nikakumbuka ulicomment kwamba wew unaomba usiku na mchana uipate lakin wapi. Nimeumia sana jaman nimejuta sana kwani nadhan nilikuumiza sana na ule uzi duuu mungu anisamehe bure. Nakuombea kwa mwenyezi mungu baba wa rehema akujalie uweze kupata mtoto nawe uwe na furaha maishani. Amen