SUZANE JF-Expert Member Oct 26, 2010 740 500 Dec 12, 2013 Thread starter #221 shabani hassani said: hii humekopi Click to expand... paste na ww basi...
SUZANE JF-Expert Member Oct 26, 2010 740 500 Dec 12, 2013 Thread starter #222 mnyikungu said: nimegundua we mwongo mwongo tu .... ila hongera maana una kipaji cha kutunga story Click to expand... dah, sishangai kwani alikuepogi mtu mmoja jina lake Tomaso...
mnyikungu said: nimegundua we mwongo mwongo tu .... ila hongera maana una kipaji cha kutunga story Click to expand... dah, sishangai kwani alikuepogi mtu mmoja jina lake Tomaso...
mnyikungu JF-Expert Member Jul 26, 2009 1,960 2,464 Dec 12, 2013 #223 SUZANE said: dah, sishangai kwani alikuepogi mtu mmoja jina lake Tomaso... Click to expand... yap alikuwa na scientific argument....... hakukubali kuaminishwa kitu ambacho kiakili unaona hakiwezekani....so uthibitisho muhimu
SUZANE said: dah, sishangai kwani alikuepogi mtu mmoja jina lake Tomaso... Click to expand... yap alikuwa na scientific argument....... hakukubali kuaminishwa kitu ambacho kiakili unaona hakiwezekani....so uthibitisho muhimu
SUZANE JF-Expert Member Oct 26, 2010 740 500 Dec 12, 2013 Thread starter #224 mnyikungu said: yap alikuwa na scientific argument....... hakukubali kuaminishwa kitu ambacho kiakili unaona hakiwezekani....so uthibitisho muhimu Click to expand... so unataka uthibitisho wa aina gn??
mnyikungu said: yap alikuwa na scientific argument....... hakukubali kuaminishwa kitu ambacho kiakili unaona hakiwezekani....so uthibitisho muhimu Click to expand... so unataka uthibitisho wa aina gn??
V Vandullahvic Member Mar 4, 2013 24 3 Dec 12, 2013 #225 basi Bwana awe nawe na bibi awe name.... Nitakutaafutia Mdhamini uigize mchezo wako wa KUISHIA KWA MCHUNGAJI MWANA WA MUNGU....
basi Bwana awe nawe na bibi awe name.... Nitakutaafutia Mdhamini uigize mchezo wako wa KUISHIA KWA MCHUNGAJI MWANA WA MUNGU....
honeypay Member Oct 10, 2013 41 22 Dec 12, 2013 #226 Hadi mwili umenisisimka jaman kweli mungu ni kila kitu
Raia mdogo JF-Expert Member Jan 5, 2018 1,344 1,435 Dec 24, 2019 #227 Wanasema "kikulacho ki nguoni mwako". Sent using Jamii Forums mobile app
mica capacitor Senior Member Dec 20, 2019 182 202 Dec 25, 2019 #228 Kabuli limefukuliwa tena Sent using Jamii Forums mobile app