TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
- Thread starter
- #181
Endelea....
Tulikaa mlimani usiku wote tukingoja kuona mtego utakavyonasa hayo majini yaliyofukiwa huko kijijini Morogoro.
Baada ya mganga kumaliza kutega yeye alirudi kijijini akatuacha kule mlimani na wasaidizi wake yeye alirudi nyumbani kwake na kuahidi atarudi kabla hakujakucha kukamilisha zoezi.
Ilipofika asubuhi ya alfajiri ghafla tukaletewa repoti na mtu kutoka kijijini kwamba mganga amefariki dunia,yaani ilikuwa kama maigizo tukaona huyo mganga anataka kuleta mapicha picha hapa hakuna lolote wala si chochote itawezekanaje mtu atoke tu aende nyumbani harafu afariki huu ni utani.
Tulikaa mlimani usiku wote tukingoja kuona mtego utakavyonasa hayo majini yaliyofukiwa huko kijijini Morogoro.
Baada ya mganga kumaliza kutega yeye alirudi kijijini akatuacha kule mlimani na wasaidizi wake yeye alirudi nyumbani kwake na kuahidi atarudi kabla hakujakucha kukamilisha zoezi.
Ilipofika asubuhi ya alfajiri ghafla tukaletewa repoti na mtu kutoka kijijini kwamba mganga amefariki dunia,yaani ilikuwa kama maigizo tukaona huyo mganga anataka kuleta mapicha picha hapa hakuna lolote wala si chochote itawezekanaje mtu atoke tu aende nyumbani harafu afariki huu ni utani.