Dar ya ss tofauti sana na zamani unaongelea Regency ya 2000 hii story ni 1975-1990'sWewe endelea na stori yako mkuu...
Lakini sasa kwa wale wanaoifahamu Dar es Salaam miaka nenda rudi, hiyo mikanganyiko inakuwa inavuruga uhalisia...
Rekebisha hilo basi
Mkuu achana na hao watoto! Turudi kwenye story! Anayeona ni uongo akate pua aunge wajihi.Dar ya ss tofauti sana na zamani unaongelea Regency ya 2000 hii story ni 1975-1990's
Zamani hakukuwapo na Regence ilikuwapo Hindu Mandal na Zanaki ambazo ndio unaweza fanya kama rejea yako walikuwa wanatembea kutoka Zanaki mpaka Hindu Mandal kwa mwendo kama wa 2Km kama sijakosea.
Unabisha uwapo wa mtaa ulioitwa Kariakoo au Kariakoo ndogo ndani ya mtaa wa Keko Magurumbasi labda utakuwa haujawai kuishi Dar maana huo ni mtaa maarufu kwa kuuza pombe zote za kienyeji kwa kipindi hicho sijuhi kwa ss km bado upo.
Endelea kushusha visa mhenga, nilitamani tu kuwekana kumbukumbu sawa hapo...Dar ya ss tofauti sana na zamani unaongelea Regency ya 2000 hii story ni 1975-1990's
Zamani hakukuwapo na Regence ilikuwapo Hindu Mandal na Zanaki ambazo ndio unaweza fanya kama rejea yako walikuwa wanatembea kutoka Zanaki mpaka Hindu Mandal kwa mwendo kama wa 2Km kama sijakosea.
Unabisha uwapo wa mtaa ulioitwa Kariakoo au Kariakoo ndogo ndani ya mtaa wa Keko Magurumbasi labda utakuwa haujawai kuishi Dar maana huo ni mtaa maarufu kwa kuuza pombe zote za kienyeji kwa kipindi hicho sijuhi kwa ss km bado upo.
Endelea..