famicho
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,158
- 2,699
Mkuu hebu elezea vizuri ilikuaje ukaibiwa?
Muongeze mfanyakazi mshahara asikuibie. Kiukweli hii biashara nimeifanya mwaka mmoja sasa. Tena mi mwenyewe ila j3 ya tar3/08/2020 sitokaa niisahau katika maisha yangu. Kaja mtu kaiba mtaji wote sasa nna mpango wa kuuza line na baadhi ya vitu vya ndani nikatafute maisha mkoanj