Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

mkuu venus unaongea kitu ambacho si rahisi mtu mwenye akili ya kawaida kuelewa...ww ulikutana na alien..na chombo chao kinaitwa ufo, wana technolojia kali sana na wako mbele yetu mno..chombo chao kinatumia electromagnetic na kinatembea speed sana kinakata kona 90 degree na kinaweza kusimama angani..mm nimekiona juzi angani...wanataka sana kutufundisha ila nadhani hofu yao ni kwamba tunaeza kutumia technologia kumalizana...
Interested .
 
Kwa asilimia kubwa watu tunapoanza kufundishwa na Kupata akili ya kuyajua mambo ya dunia, tunazalisha mental problem inayoitwa:
FEAR OF UNKNOWN
Tunapoanza kukua tunaanza kuingiziwa taarifa kwenye memory.
Utapewa jina, utaambiwa jinsia yako, utaelezwa miiko, utaambiwa faida na hasara utafundishwa vitu vingi tu.

Kile ninachotaka kufanya siyo kufuta taarifa tulizokusanya kwenye memories zetu bali ninataka tuzione kuwa ni picha tukizozikusanya kutokana na maishe yetu hapa duniani.

Kuna zoezi la kwanza kabisa ambalo ninajaribu kuwaambia watu wajaribu kulifanya. But tunajikuta tuna concentrate na kutaka kujua which is right and which is wrong.

FEAR OF UNKNOWN
watu wanakuwa na hofu ya kitu wasichokijua kwasababu miili na akili zimesha trigger kitu ambacho sio sawa kinaweza kutokea naamini miili yetu na akili zetu huwa zinaona na kuchukua hatua kwa vitu ambavyo kwa uelewa wa kawaida wa kwetu hatuvijui maana hatuwezi kucontrol huo uwezo wa akili

Na ikitokea mtu ukaweza kuelewa nini akili yako inakusemesha huenda huenda ikawa ni hatari maana utakuwa na uwezo wa kucontrol wengine pia "DANGER!"

Na kutake control ya akili ya mtu na ufahamu wake (unachoenda kufanya) na ukawa incharge kama huna huruma utakuwa unawaendesha watu kwa personal interest au vikundi vyenu wenye hiyo mission (ndio ambayo wanajipanga kuhusu AI)

Sasa na wewe bwana mzee nini dhumuni la mafundisho yako watu wakishajua?
 
Asante ndugu.
Hapo kuwa tunajifunza kidogo kidogo.
Hata nikikuuliza wewe leo ASILI YAKO NI NINI!? Hutaweza kunijibu zaidi sana utanijibu kulingana na ulivyofundishwa.

Ngoja nitaeleza vizuri issue hii.
ila hujibu maswali ya hapo juu kiongozi?
 
Asante ndugu.
Hapo kuwa tunajifunza kidogo kidogo.
Hata nikikuuliza wewe leo ASILI YAKO NI NINI!? Hutaweza kunijibu zaidi sana utanijibu kulingana na ulivyofundishwa.

Ngoja nitaeleza vizuri issue hii.
Mimi nilitaka kukuamini ila naona unapoteza maboya watu.
 
Hivi unafikiria nini na kuyaonaje maisha dhumuni letu la kuwa hapa tulipo ni nini na kwanini maana umefika sehemu nyingine na kuonana na viumbe vingine huenda una uelewa japo mdogo wa sisi kuwa hapa?

Napia kufundisha watu namna mambo yanavyo fanywa na viumbe vingine haitokuwa na matatizo au kuvuruga mfumo wa taarifa zisizopatikana na zilizopo kwa mtu wa kawaida?

Maana unataka ufundishe kitu ambacho watu wa kawaida hatuna taarifa nayo na huenda wengine ndio mara ya kwanza tunaona sio kwamba utapelekea kuathiri asili ya ufikiriaji wa mtu juu ya hii ardhi ya dunia nadhifu na nzuri kabisa?
Kuna haya maswali huku kama utaweza kujibu sio mbaya
 
Nakuomba uweke alarm toka kwenye simu yako ili uweze kuamka saa nane kisha ukae nusu saa sehemu Fulani kisha rudi kulala.

Zoezi hilo ni hatua ya kwanza. I am serious. Then hatua moja baada ya nyingine tutaendelea kuelezana.
Nitajitahidi leo
 
Kwa asilimia kubwa watu tunapoanza kufundishwa na Kupata akili ya kuyajua mambo ya dunia, tunazalisha mental problem inayoitwa:
FEAR OF UNKNOWN
Tunapoanza kukua tunaanza kuingiziwa taarifa kwenye memory.
Utapewa jina, utaambiwa jinsia yako, utaelezwa miiko, utaambiwa faida na hasara utafundishwa vitu vingi tu.

Kile ninachotaka kufanya siyo kufuta taarifa tulizokusanya kwenye memories zetu bali ninataka tuzione kuwa ni picha tukizozikusanya kutokana na maishe yetu hapa duniani.

Kuna zoezi la kwanza kabisa ambalo ninajaribu kuwaambia watu wajaribu kulifanya. But tunajikuta tuna concentrate na kutaka kujua which is right and which is wrong.

FEAR OF UNKNOWN
Fear of unknown .. Interested
 
Ndugu zangu.
Najua watu wanataka kutambua vitu Vingi.
Kusema kweli inahitaji muda na nafasi. Haya mambo siyo ya kuongea tu. Ni kufanya vitu kwa vitendo.

Yes when you know the truth shall set you free.

Watu wataweza kuniuliza kuhusu what is the truth. Truth ninayoiongelea hapa ni kufahamu kwa vitendo kwamba the kingdom of everything is within you.

I am not talking about the truth of things, condition etc. Mimi naongelea truth about yourself. Naongelea kuhusu wewe.

If you have power to control other, utafanya jambo hilo for your own will. The power within you does not know good or bad. Kujitambua haimanishi kuwa unatakiwa kufanya mazuri au mambaya.

Utakapotambua Jambo moja itakuwa ni mlango wa kutaka kujua mengi zaidi. Our existence is very huge.
Physical existence is very beautiful maana ndio tuna reveal na kufanya makubwa mno tukijua na kuelewa who we are.

We have ability to go to other levels of existence. But kuna some existence, waliopo kule hawawezi kuingia kwenye Physical existence.

Our existence is very beautiful.
 
NAENDELEA...

Ninachoomba tuelewane kwanza hiki ninachokifanya ni kuweka msingi wa formula. Je nikiweka formula tu tutaelewa kweli!?

E = Existence
P = Physical experience
R = Realm
S = Source of Nature
SP = Spiritual body
C = Causality
F = Vibration of Void

Katika calculation nitakazozileta nitakuwa natumia hizo letters.
Physical experience ->causality -> SP
 
Ndugu zangu.
Najua watu wanataka kutambua vitu Vingi.
Kusema kweli inahitaji muda na nafasi. Haya mambo siyo ya kuongea tu. Ni kufanya vitu kwa vitendo.

Yes when you know the truth shall set you free.

Utakapotambua Jambo moja itakuwa ni mlango wa kutaka kujua mengi zaidi. Our existence is very huge.
Physical existence is very beautiful maana ndio tuna reveal na kufanya makubwa mno tukijua na kuelewa who we are.


Our existence is very beautiful.
 
Ndugu zangu.
Najua watu wanataka kutambua vitu Vingi.
Kusema kweli inahitaji muda na nafasi. Haya mambo siyo ya kuongea tu. Ni kufanya vitu kwa vitendo.

Yes when you know the truth shall set you free.

Watu wataweza kuniuliza kuhusu what is the truth. Truth ninayoiongelea hapa ni kufahamu kwa vitendo kwamba the kingdom of everything is within you.

I am not talking about the truth of things, condition etc. Mimi naongelea truth about yourself. Naongelea kuhusu wewe.

If you have power to control other, utafanya jambo hilo for your own will. The power within you does not know good or bad. Kujitambua haimanishi kuwa unatakiwa kufanya mazuri au mambaya.

Utakapotambua Jambo moja itakuwa ni mlango wa kutaka kujua mengi zaidi. Our existence is very huge.
Physical existence is very beautiful maana ndio tuna reveal na kufanya makubwa mno tukijua na kuelewa who we are.

We have ability to go to other levels of existence. But kuna some existence, waliopo kule hawawezi kuingia kwenye Physical existence.

Our existence is very beautiful.
ya n we ni wakupiga makofi kabixaa. yana tangu uzi uanze hakuna cha maana inacho andikaa unaruka rukaaa tu. haya jana umesema kuna kuwa na meeting saa 7 night ivo tu. ungetakiwa useme kutakuwa na spiritual meeting in a spiritual world kwa muda fulani.
kaa tulia andika kitu kieleweke shusha mzigo wote hapo.
 
Watu wengi kwa imani zao mbalimbali wanatafuta maisha baada ya kufa.

Hiki jambo linawafanya watu wazidi kutafuta maisha baada kifo. Watu wanafanya tafiti kila siku kutafuta life after death. Hii inatokana na wengi kuona kuwa maisha ni magumu, kuogopa kuaibika etc.

Jambo kubwa ninalotaka tufanye sasa so as we can reveal our selves ni:-

1. Throw away our memories
2. Talking to our high self
3. Communicating each other through high level
4. Revealing our inner power.

Throw away our memories
Hii sasa ni hatua ya mwanzo kabisa.
Naomba tuaenze kufanya kwa vitendo. Tafuta kila siku muda wa siku si chini ya 30.

Tumia muda wa dakika 30. Kaa sehemu ambayo imetulia. Anza kutafakari matukio yaliyo kutokea wakati unaanza kujitambua. Weka hivyo kwa step.
1. Ukiwa na mika 5 - 10
2. 11 - 20
Na kuendelea.

Fikiri kuhusu rafiki, wapenzi, biashara, matukio nk.

Baada ya muda huo utakuwa umeanza kujua hizo ni picha zimehifadhiwa kwenye memory.
I tell you utaanza Kupata freedom.
 
Watu wengi kwa imani zao mbalimbali wanatafuta maisha baada ya kufa.

Hiki jambo linawafanya watu wazidi kutafuta maisha baada kifo. Watu wanafanya tafiti kila siku kutafuta life after death. Hii inatokana na wengi kuona kuwa maisha ni magumu, kuogopa kuaibika etc.

Jambo kubwa ninalotaka tufanye sasa so as we can reveal our selves ni:-

1. Throw away our memories
2. Talking to our high self
3. Communicating each other through high level
4. Revealing our inner power.

Throw away our memories
Hii sasa ni hatua ya mwanzo kabisa.
Naomba tuaenze kufanya kwa vitendo. Tafuta kila siku muda wa siku si chini ya 30.

Tumia muda wa dakika 30. Kaa sehemu ambayo imetulia. Anza kutafakari matukio yaliyo kutokea wakati unaanza kujitambua. Weka hivyo kwa step.
1. Ukiwa na mika 5 - 10
2. 11 - 20
Na kuendelea.

Fikiri kuhusu rafiki, wapenzi, biashara, matukio nk.

Baada ya muda huo utakuwa umeanza kujua hizo ni picha zimehifadhiwa kwenye memory.
I tell you utaanza Kupata freedom.
Haya
 
CAUSALITY

Ili tuweze kwenda ndani zaidi na tuweze kuelewa formula niliyoiweka ni muhimu tukajua causality jinsi ilivyo.

Kwanza kabisa napenda kuongelea kuhusu milango ya fahamu na namna inavyo athili hii formula na hatimaye kuathili genome.

MEMORY

Kwenye miili yetu kuna memory za aina mbili:


  • Brain Memory
  • DNA Memory
Kwa wale wanaotumia computer wanaweza kuelewa ninachoongelea. Kwenye computer kuna taarifa zinakuwa zinehifadhiwa kwenye HDD, ROM na RAM. Vivyo hivyo kwenye miili yetu kuna taarifa ambazo huhifadhiwa maeneo tofauti tofatu.

Taarifa hizo zinaweza kuongezwa, kufutwa au kubadilishwa. Hatua hiyo inategemea taarifa hizo zinazofutwa au kuongezewa zinakuwa na umuhimu gani.

DNA Memory

Hizi ni taarifa zinazohifadhiwa na zinaweza kupitishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kingine. Hizi taarifa zinakuwa zimehifaziwa na kama ninavotendelea kuongea kuhusu genome.

Matukio mbalimbali yanayotokea yanaweza kuathili genes na kufanya zipite mpaka kwa kizazi kinachokuja.

Kuna vitu vingi vinaweza vikaathili kufanya information ziweze kupelekwa mpaka kwenye kizazi kingine vitu hivyo:-


  • Tamaduni
  • Hali ya hewa
  • Aina ya vyakula
  • Mazoea ya tabia fulani
  • Mlipuko wa magonjwa
Vitu hivyo vinaweza kuathili taarifa zinazohifadhiwa kwenye genome na kufanya zipitishwe toka kizazi kimoja kwenda kwenye kizazi kingine.

Ikitokea utajijegea tamaduni ambazo zinakuwa na negative impact kwako; siku baada ya siku itasababisha modification kwenye genome sequence. Ukifanya kitu mfululizo kwa muda wa siku 7 utajenga mazoea na mazoea yakikomaa itakuwa tabia na hiyo tabia ikiendelea kuwepo itasababisha modification kwenye genome na ukitokea ukazaa mtoto baada ya tabia hiyo uwezekano wa mtoto kuwa na tabia hiyo ni 50%.

Wazungu wameweza kweli kutuathili sisi waafrika katika suala hili na limeweza kupita kwenye vizazi vyetu. Wametuzoeza kuwa tegemezi kwao; sasa inakuwa ngumu sana kwetu sisi watu weusi kuweza kufanya mambo kwa kujiamulia sisi maana ipo kwenye DNA zetu. Kinachotakiwa ni kuanza kufanya mazoezi ya kujitegemea na kuwa wewe na ndipo tutazalisha kizazi cha watu wenye uelewa mkubwa.

NInajaribu kuongea kwa kifupi ili tuweze kujua causality namna gani inavyofanya. Pale tutakavyo improve causality positively tunaongeza uwezo wa Physical Experience. Lakini causality pekee haiwezi kukamilisha hicho maana lazima factors zote tatu ziende kwa pamoja. Causality ikiwa negative inapunguza P.

BRAIN MEMORY

Brain memory imegawanyika katika makundi mawili.


  • Temporary memory
  • Permanent memory
Sitaki niongelee sana kuhusu hili swala, maana watu wengi tunalijua. Lakini ninachotaka kuongelea hapa ni mambo mawili:

  • Intellectual
  • Intelligence
Ninataka niongelee masuala haya katika context hii ya causality. Kwahiyo sasa Intellectual ni speed ya kuchukua taarifa kutoka kwenye memory na kuziweka wazi. Intelligence ni uwezo wa kuafuta namna ya kuzitumia taarifa zilizohifadhiwa kwenye memory.

Katika Context hii tunaweza kujifunza mambo yote haya mawili namna ya ku improve na kufanya causality iweze kuongezeka.

Inatakiwa kujua ni taarifa gani tunazozihifadhi kwenye Brain. Kama ni taarifa negative kwahiyo kitakacho tokea ni kupata taarifa za namna hiyo.

Kuna milango sita ya fahamu: -


  • Macho
  • Masikio
  • Ulimi
  • Ngozi
  • Pua
  • Fikra(Thought)
Hii milango ya fahamu tunatakiwa kuitumia vizuri maana vinaigiza taarifa kwenye brain na zingine zinahifadhiwa permanently. Mtu akijizoeza kuingiza kwenye brain vitu vibaya automatically vitu hivyo vinaweza vikaathili namna ya anvyoishi.

Hata katika hili wazungu wamefanya kitu kikubwa katika kuhakikisha wanatufanya tuathilike katika matukio ya kila siku.

Mfano: Mtu anapokuwa mpenzi sana wa mpira always atakuwa amehifadhi mambo hayo.

Jinsi ya kuweza kujitibu sisi wenyewe ni kuanza kujizoesha kufanya vitu vingine vinavyokuwa na positive. Nitapo anza kuongelea SP nitagusia haya maana SP nayo kwa sehemu huwa inatumia milango ya fahamu. Nitaongelea namna ya kuodoa negative data zilizohifadhiwa kwenye ubongo.

Sasa basi ninapoongelea causality ninaogelea physical activities vinavyoathili mwenendo wa Maisha.



NITAENDELEA…
Naomba nichek pm
 
Nakuomba uweke alarm toka kwenye simu yako ili uweze kuamka saa nane kisha ukae nusu saa sehemu Fulani kisha rudi kulala.

Zoezi hilo ni hatua ya kwanza. I am serious. Then hatua moja baada ya nyingine tutaendelea kuelezana.
Mkuu sorry, je ni lazima nilale na kuamka saa nane? Vipi nikikaa macho mpaka saa nane nasu then ndiyo nikalala inaruhusiwa pia?
 
Watu wengi kwa imani zao mbalimbali wanatafuta maisha baada ya kufa.

Hiki jambo linawafanya watu wazidi kutafuta maisha baada kifo. Watu wanafanya tafiti kila siku kutafuta life after death. Hii inatokana na wengi kuona kuwa maisha ni magumu, kuogopa kuaibika etc.

Jambo kubwa ninalotaka tufanye sasa so as we can reveal our selves ni:-

1. Throw away our memories
2. Talking to our high self
3. Communicating each other through high level
4. Revealing our inner power.

Throw away our memories
Hii sasa ni hatua ya mwanzo kabisa.
Naomba tuaenze kufanya kwa vitendo. Tafuta kila siku muda wa siku si chini ya 30.

Tumia muda wa dakika 30. Kaa sehemu ambayo imetulia. Anza kutafakari matukio yaliyo kutokea wakati unaanza kujitambua. Weka hivyo kwa step.
1. Ukiwa na mika 5 - 10
2. 11 - 20
Na kuendelea.

Fikiri kuhusu rafiki, wapenzi, biashara, matukio nk.

Baada ya muda huo utakuwa umeanza kujua hizo ni picha zimehifadhiwa kwenye memory.
I tell you utaanza Kupata freedom.
kwahiyo ndo tayarii😅😅. mzee shusha vitu mwanzo mwisho , sio unaandika vitu kwa mdokexo kama gazeti la udaku. apo bado bado hamna ulicho andikaa bado
 
Mkuu sorry, je ni lazima nilale na kuamka saa nane? Vipi nikikaa macho mpaka saa nane nasu then ndiyo nikalala inaruhusiwa pia?
Mili yetu huwa ipo controlled na ubongo. Ukilala sehemu ya ubongo unakuwa haifanyi kazi. Mwili unawekwa katia hali ya paralyze ili kuzuia movement ya mwili.

Unapoamka usiku unajaribu kuudanganya ubongo kuwa umeamka basi sehemu ya ubongo inakuwa katika hali ya kuamka.

Unaporejea kulala, kuna part ya ubongo unauweka mwili katika hali ya kulala na ubongo unaotunza kumbukumbu unakuwa upo active. Kwahiyo matukio yote yanayotokea kwenye nafsi utaanza kuwa unayarecord.

Sasa ukiwa upo macho muda wote utakuwa huja cheat ubongo ili uweze ku access some information.

Naweza nikaishia hapo kwa sasa. Hiki kitendo kinasaidia sana.
 
kwahiyo ndo tayarii😅😅. mzee shusha vitu mwanzo mwisho , sio unaandika vitu kwa mdokexo kama gazeti la udaku. apo bado bado hamna ulicho andikaa bado
Sawa ndugu yangu. Mimi ninachokifanya hapa ni kuwasaidia watu kadha wa kadha watakaoona inafaa.

Haya mambo yanahitaji kufanya kwa vitendo. Tangu ukiwa mdogo umekuwa ukipata taarifa nyingi tu. Hujawahi hata kujitambua who you are.
 
Sawa ndugu yangu. Mimi ninachokifanya hapa ni kuwasaidia watu kadha wa kadha watakaoona inafaa.

Haya mambo yanahitaji kufanya kwa vitendo. Tangu ukiwa mdogo umekuwa ukipata taarifa nyingi tu. Hujawahi hata kujitambua who you are.
Naamini kuna kitu unataka kutueleza il umekosa mtiririko mzuri, umekua unaruka ruka unasema hili halijaisha unaenda hili. Hii inafanya watu kukosa mvuto wa kufuatilia uzi huu na ku concetrate
 
Back
Top Bottom