Umedanganywa ukadanganyikaHii je?
Jinsi mizimu ya ukoo ilivyonifanyisha Mambo ya kustaabisha baada ya kukataa kupokea mikoba ya waungwana.
Mwaka 2005 nikiwa nimezama kwenye imani kali ya ulokole, hapo nikiwa kiongozi wa Ukwata na pia kiongozi wa kiroho kwa vijana wa mtaani kwetu (nilikuwa napita majumbani, naongea na wazee waniruhusu niwafundishe maadili mema watoto wao ikiwemo kazi za nyumbani na za kitaaluma). Kutokana na tabia...www.jamiiforums.com
Anakwendea kwa mganga kimya kimyaNawaogopa sana watu wanajifanya wameokoka,au watu wanaojifanya wanamjua Mungu mkizinguana kidogo tu utackia namwachia Mungu pasipo kutambua Mungu ni Mungu wa haki
HahahaahahahaSijui kama ni satire ila nimecheka sana.
sawa ila unaweza ukatupatia nini kilikufanya ufanye " u " turn. Ulistuka nini. na ilikuchukua muda gani.Naichuchumilia taji
Ahsante kwa kunifungua akiliAnakwendea kwa mganga kimya kimya
Sana na watu wataingia wakiwa hoiMbingu ni ngumu sana
Mwenyez Mungu atuhurumieSana na watu wataingia wakiwa hoi
MUNGU atusaidie kwa kweliMbinguni Tutaingia tukiwa tumechoshwa sana Best Tanzania
Haha haha hahaBujibuji Simba Nyanaume a.k.a Osiofo. Nimecheka sana. Eti unavuta sigara na mioshi mbalimbali
Story ni ndefu, njtakutmia audii book usikilizeusawa ila unaweza ukatupatia nini kilikufanya ufanye " u " turn. Ulistuka nini. na ilikuchukua muda gani.
Nimenunua boksa hainienei .Bado kuna nafasi ya kutubu
NimekumissNimenunua boksa hainienei .
Cha mlevi huliwa na mgemaWatu wema wanaishi mtaani kwa wema mkuu. Huko makanisani mmejazana wachawi na majambazi watupu PUMBAVU ZENU. Hamna huruma na pesa zetu sisi wafyatua matofali.