Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
- Thread starter
- #61
Sawa, naomba unielekeze unaabudu wapi nije?Mk
Mkuu unayo NAFASI ya KUTUB.MUNGU HAJAKUTUPA MJA WAJE WAKE
Sawa, naomba unielekeze unaabudu wapi nije?Mk
Mkuu unayo NAFASI ya KUTUB.MUNGU HAJAKUTUPA MJA WAJE WAKE
Tunafukuza chawaaaaaaaIla mabandiko yako ya hivi karibuni yanatia shaka sana kama ni wewe kweli au kuna kiumbe ka hack akaunti yako. Tunaweza kuja sikia kumbe umehamia CCM. Muda utaamua....
Tunafukuza chawaaaaaaa
Huyo Mchungaji mnafanana akil
Unaonekana bado hujabadirika, umeambiwa utubu nafasi bado unayo, wewe unamuuliza anaabudu wapi ili uende!? Dah..!Sawa, naomba unielekeze unaabudu wapi nije?
Wakati wa Mungu ni wakati sahihiUnaonekana bado hujabadirika, umeambiwa utubu nafasi bado unayo, wewe unamuuliza anaabudu wapi ili uende!? Dah..!
Yaacheni magugu yaote pamoja na ngano..yatapepetwa siku ya mavuno.Mwaka 2017 nilipata neema ya wokovu, niliombewa sala ya toba na nikakaribishwa rasmi kundini, kwenye kuitenda kazi ya BWANA.
Maisha yangu kabla ya wokovu yalikuwa ni maisha meusi, ulevi, umalaya, uvutaji wa mioshi mbalimbali, uhuni, udhalimu, uporaji, udhulumaji, na ubazazi usiolezeka.
Maisha yangu yalinifanya nichukiwe na wengi, ila wengi waliniogopa na waliogopa kunisema na kunikosoa.
Ukiwa mwovu, fanya urafiki na polisi, hii ilikuwa ndio njia yangu kubwa ya kupata ulinzi.
Ukinipeleka polisi utalala mahabusu wewe huku Mimi mtuhumiwa nikikuletea chai na bigijii.
Maisha yangu ya mwanzo ya wokovu yalikuwa mazuri, hakika hata Mimi mwenyewe nikajiona hakika nimebadilika.
Hamna kitu kibaya kwenye maisha ya mwanadamu kama mazoea. Siku zilienda na Mimi nikazoea wokovu, nikalizoa na jina la YESU.
Taratibu taratibu nikaanza ku slide back na kuurudia utu wangu wa kale.
Kanisani nikaacha kutoa sadaka, nikawa naiba sadaka nikipewa zamu ya ukisanyaji. (Nilipewa uzee wa kanisa)
Nikaanza kunyandua binti mmoja baada ya mwingine. Nikaanza kuwafundisha mabinti walokole kunywa pombe, wengine nikawafundisha na uvutaji wa sigara na mioshi mingine, nikawafundisha maisha ya starehe za usiku.
Miingoni mwa mabinti niliowapeleka puta ni binti wa mchungaji, mwanafunzi wa kidato cha tatu tu.
Nikaanza kuwatapeli waumini wa kanisa. Wengine niliwadanganya kwamba Mimi naweza kuwaagizia Magari mazuri kupitia kampuni ya SBT.
Waliponipa pesa zao nikazitumia.
Wengine niliwauzia Beach plots feki wilayani Mkuranga na Bagamoyo.
Mchungaji nilimrubuni anipe milioni 50 nimletee mganga kutoka Nigeria atakayempa nguvu za kuvuta watu wengi na kutenda MIUJIZA mikubwa. Licha ya kukataa sana, mwisho wa siku nikafanikiwa kumrubuni na akakubali.
Jina langu likaanza kupata rangi nyeusi, Mambo mengi niliyoyatenda sirini yakaanza kuonekana hadharani.
Mabinti wanne walitengwa na kanisa kwa kushika ujauzito nje ya ndoa, zote zikiwa ni mimba zangu.
Kanisa nikawa nimelichafua kwelikweli. Nikaacha kusali na nikabadilisha namba za simu.
Wito wangu kwa umma usiwaamini watu haraka haraka. Hata Biblia inasema msiziamini kila roho ila mzichunguze
Yaacheni magugu yaote pamoja na ngano..yatapepetwa siku ya mavuno.
Mrudieni Mungu.
Jina la Yesu lihimidiwe.
#MaendeleoHayanaChama
Wala sio mremboWe sio mtu mzur
Story hii haimhusu yeye. Anakuza genge tu huyu ndugu yangu.Huyu jamaa Ana tustori fulani hivi twa kusukumia karanga. Tutamuuu
SawasawaStory hii haimhusu yeye. Anakuza genge tu huyu ndugu yangu.