Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Nafuatilia
Kweli wewe ni kiazi yaani unasafirishwa kama parcel,nategemea mwendelezo wa story yako utaonesha jinsi ulivyoingiliwa kimwili kwa nguvu huko kwa wasomali
Ashura Mara nyingi huko Ni Shia ,alshababu Sunni kwa uelewa wangu,Ni sawa na kusema ukute msaudi akiitwa Ali,inakuwa ngumu
Ilikuwa mwezi wa 11/2019 nikiwa zangu kwenye mitandao ya kijamii,hasa Instagram, kuna mdada alini-follow lakini nikamsoma jina ila sikumjua ni nani, nikahisi haya ni mambo ya mtandao kila mtu anajivinjari kwa raha zake.
Baada ya wiki moja yule mdada anaitwa Husna alinitext basi nami nikareply, basi tukaanza kuchat nikamwambia nipo Tanzania yeye akaniambia yupo Mombasa, tukawa tunachat kawaida kama marafiki wa mitandaoni na kupeana namba za WhatsApp.
Siku moja akanitumia SMS WhatsApp, akanambia kuna mchongo wa hela kama unaweza nikushirikishe maana huu mchongo hauhitaji pesa kutoka kwako yaani ni wewe tu, na wala si kazi ya kuuza mwili lah! Hasha ni kazi fulani hivi ya kufanya kazi kwenye kampuni ya Fulani hapa Mombasa.
Ghafla akanitumia picha zake akiwa kwenye nyumba fulani ya kiwango na gari akiniambia kutokana na kazi anayofanya kwenye hiyo kampuni ya usafirishaji sasa hivi ana magari 3 ya kutembelea, nyumba tatu za kiwango na moja ipo Tanga.
Baada ya siku kama tatu hivi akanitumia sh laki moja za Kitanzania kwa airtel money, na akanambia kwa vile wewe shost yangu kila wiki hasa jumamosi lazima anitumie laki 120000 ya kula, nikawa naanza kumwamini huyo mdada.
Tarehe 23 mwezi Desemba aliniomba niende tukutane Arusha, ila kwa sababu ya shughuli za hapa na pale nikamwambia fanya tarehe 3 January, basi akakubali, kama tarehe 28 hivi Desemba akanitumia laki 3 nauli.
Tarehe 1 nikawa Arusha, nilipofika Arusha nikamtext nimeanza safari, na yeye akasema basi na mimi ngoja nianze safari.
Kesho yake asubuhi akaniambia hawezi akaja Arusha mjini badala yake tukutane Namanga, nikakubali,akaniuliza kama nimefika Arusha mjini nikamwambia nimefika.
Asubuhi nikachukua usafiri nikafika Namanga, akaniambia nivuke boda niende upande wa pili, nikaenda tukakutana naye ila alikuwa na wadada wawili wenye asili ya kisomali, basi tukapanda kwenye gari lake tukaondoka kama km 2 hivi tukaingia hotel moja hivi.
Akaagiza supu ya nyama kuku tukawa tunakula pale basi tukizidi kufahamiana zaidi, akanambia wale wadada wengine ni marafiki zake wanaofanya kazi kampuni moja ila wao wanakaa Nairobi Estate Nairobi city.
Naye akanitambulisha kwao, akawambia ni rafiki yangu Mtanzania anakaa Mwanza kwa sababu ni rafiki yangu nataka tumuingize kwenye kampuni yetu si ndio jamani, wale wakaitikia ni kweli Manager hamna shida.
Tukiwa tunaendelea na ile breakfast Dada mmoja akapokea simu, akawa anaongea kisomali nikawa nasikia maneno kama Nairobi, Kisumayu na Lamu na salamu ya asalam allekhum.
Baadae wakaanza kuongea hicho Kisomali, nikawa najiuliza kwa nini hawaongei Kiingereza na huku ni Wakenya au Kiswahili lakini sikupata jibu.
Wakanigeukia mimi, mmoja anaitwa Ashura akaniambia sasa sister tutaenda Nairobi na wewe ili tukafanye mpango wa kukuingiza kazini, na ukishaingia kazini manager atakupa pesa utarudi Tanzania ili ufanye mpango wa kuhamia Mombasa kikazi, nikasema hamna shida.
Yule Husna akatoa nauli, akampa Ashura sh elfu 50 za Kenya akampa Aisha sh elfu 45 na mimi akanipa elf 30, yeye akadai kuna mambo anayaweka sawa hapo Namanga, ila akawambia kwa kuwa mimi sina passport inabidi nisiwe muongeaji sana kwenye basi, na mtu akaniuliza nisijibu, hao wengine watanijibia, nisiwe na wasiwasi.
Itaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe unaoneka unapenda safari nitakutumia tiketi uje IRAN KutembeaWewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia...www.jamiiforums.com
Namba ya Husna naikumbuka nikupeKabla hujaendelea naweza kupata namba za hao wadada tafadhali.
Hahaha,jamaniNAUSUBIRI KWA HAMU HUU MCHONGO INAWEZA KUWA FURSA HII
Mwaka huu 2020Mtandao huu huu? Ukutane na MTU akusafirishe hadi Kenya? Tukutane Arusha? Sawa, Tukutane Namanga? Sawa! Tukutane upande wa pili, sawa! Panda gari; sawa! Tunywe supu; sawa!
Dah una hatari aiseeeee. Sawa nafuatilia kwa karibu! Weka basi January ya mwaka gani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu ,nimekomaCute Love unapenda sana kusafiri safiri kuonana na memba mbalimbali wa JF dah!
Next time aisee ufunge safari uje tu unitembelee na mimi kwa sababu hakuna namna sasa
Ila uzi wako huu hapa chini ulinifurahisha sana siyo kama wa hawa wachovu wa Alshabab...Na una bahati sana kwa sababu wangekuwa watu wabaya wangeweza kukufanya cho chote wanachotaka. Wangekuwekea sumu kwenye chakula ukapoteza fahamu ungekuja kupata fahamu uko kwenye kambi zao Mogadishu. Jaribu kuwa mwangalifu na hizi safari zako za mara kwa mara kwenda kukutana na watu usiowajua...
Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'
Ingawa uwiano wa maambukizi ya HIV inaonyesha wanawake ndio walioambukizwa zaidi kuliko wanaume, ila nimegundua wanaume wanacheza rafu sex sana. Mwaka 2018 January nilkutana na mwanaume humu, tukakubaliana kuwa wapenzi, yeye akiishi Dodoma Mimi nikiwa Bukoba. Siku ya kwanza ku-sex naye...www.jamiiforums.com
Upo tayari nikupe nambaBila picha za hao wadada plus namba zao za simu, huu uzi ni takataka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleza hadithi.... Na hongera kwa kupambana kusaka fursa Al Shabaab ni ajali kazini
Nilkuwa natafuta mwenyejiWewe mtoa mada mbahili sana aisee....Ulipewa laki tatu ya nauli ukaja hapa jf kuanza kutafuta mtu mwenye ndinga anayetoka Mwz kwenda chuga.... Aisee acha ubahili... Wewe unaweza kupewa hela ya sukar ukapiga chai bilabila.
Ndo majina waliyonambia sasa kama ni halisi au lah sjui
Kama unatunga hadithi jaribu uifanye iwe na uhalisia kidogo
Majina hayo matatu wasomali hawana kabisa unge Google ujiridhishe na majina at least
Nimecheka sana eti ASHURA msomali
Ashura huyu huyu mnyamwezi?
Sent from my iPhone using Tapatalk