Jinsi nilivyofilisika

Vitendea kazi vipo niliuzaga mashine moja tu ila haiathir sana uzalishaji, soko la ndani lipo vizuri bado japo mm siku base sana na la ndan maana niliona ushindani mkubwa na huwa sipend competition so nilijikita na kutafuta nje zaidi
Nimefuatilia nyuzi zako za nyuma nanimejua ulikuwa unatengeneza bidhaa gani.

Nimevutiwa endapo kama tutaweza kufanya kazi wote bila kuathiri mtaji wangu. Ila endapo kama mtaji utakuwa ndani ya uwezo wangu. Au hiyo biashara umeichoka.
 
Nimefuatilia nyuzi zako za nyuma nanimejua ulikuwa unatengeneza bidhaa gani.

Nimevutiwa endapo kama tutaweza kufanya kazi wote bila kuathiri mtaji wangu. Ila endapo kama mtaji utakuwa ndani ya uwezo wangu. Au hiyo biashara umeichoka.
Nashukuru mkuu kwa kufatilia nyuzi zangu za nyuma, binafs biashara bado sijaichoka kwakua sijatimiza hata 10% ya nilichoona biashara inaweza kunifikisha,ukiachana na hyo bidhaa kwenye hiyo sector nzima unaweza kutengeneza bidhaa zaidi ya 5 na ukiachana na faida ya hela pia unatoa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania na kurahisisha maisha ya watu maana hakuna binadamu anayeweza kuzikwepa hizo bidhaa
 
Wahenga walisema mbuzi wa masikini hazai hata akizaa ana zaa dume, ni msemo wa mda mrefu ila naamin unaishi,

Mwaka 2016 nilifanikiwa kumaliza kidato cha 6 ila matokeo yalivyotoka sikufanikiwa kuwa na pass mark za kunifanya niendelee mbele katika kipindi hiko nilihisi kuchanganyikiwa kwasababu nyumban mimi ndo mkubwa na wazazi walikua wameweka mategemeo makubwa kwangu na kwakua nyumbani hata msosi msosi ulikua wa kuunga unga hivyo sikua na option ya kuendele atena mbele kuhusu maswala ya elimu

Kipindi bado niko shule nilipokua nikirud likizo kuna rafiki angu alikua chuo kuna bidhaa X alikua nauza so baada ya yeye kuona sina ishu ya kufanya na kipindi hiko alikua yuko mwaka wa 3 aliniambia nikimbize ile biashara yeye kwa kipindi hiko alikua na mambo mengi ya kufanya akiwa chuon hivyo asingeweza kuwafikia wateja kwa urahisi

Japo haikua rahis ila nilikimbiza ile biashara kiasi cha kwamba ilikua kwa haraka na pale nyumbani mchango wangu ukawa unaonekana kwa 70% badae nikaja kupata wazo badala ya kwenda kununua hizo bidhaa X kwann nisi fanye production mwenyewe nikajaribu kufanya utafiti wa vifaa na kuanz kununua mdogo mdogo basic tools zote

Wateja wangu kwa 97% nilikua nawapata online kipindi nawatafuta wateja nilipata kufahamiina na jamaa mmoja yeye alikua anatoka mkoa Y ambapo aliniambia yeye anaweza kuzitengeneza hizo bidhaa hivyo wakati nafikiria kuzalisha mwenyewe nilijua kuna mtu ntaungana nae mwisho wa siku alifanikiwa kuja dar dar tukafanya kazi pamoja

Kazi ya uzalishaji haikua rahis kama nilivyotarajia maana ilikua na changamoto nyingi na inabidi uwe smart sana kuwez kui manage upande wa production kuja usimamizi wa kazi mpaka unapokuja kuuza na mwisho wa siku uione faida yako baada ya kutoa matumizi yote,mtaji na kuweka faida pembeni nashukuru niliweza kumudu vizuri kwa muda wa miaka 2 biashara ikawa imekua kubwa pia nilikua nmeshaanza kupata wateja nje ya nchi kama INDIA,BRAZILI,USA,OMAN NK kwa nchi za Africa nchi zote za SOUTHEN AFRICA(SA,BOTSWANA,NAMIBIA,ZIMBABWE,ZAMBIA) nan chi nyingine z hapa jirani

Mikosi ilipoanza

W
akati biashara ipo kwenye peak nilipata mteja mmoja aliyekua nchi Z alikua ni m tz ila makazi yake pamoja na biashara yake yalikua huko tulianza biashara vizuri na alikua mteja wangu wa nguvu sana kabla ya kuwa ananunua kwangu alikau anatoa Kenya hizo bidhaa ila alipoanza kwangu wateja wake walizipenda sana so speed ya jamaa kuagiza mzigo kwangu ilikua kubwa mpaka nikaamin huko kuna fursa kubwa ya kutoboa zaid kwa biashara yangu ikabid nionge na jamaa akakubali kua atanipokea

Kabla sijatoka huku kulikua na jamaa angu ambae alikua nilikua nafanya nae kazi nikampanga yeye abaki mm nikifika kule nitacheki mazingira yakiwa mazuri mimi nirudi yeye aende ili tuwe tunakimbiza huku na kule jamaa alikubali ila kwakua hakuna anayejua kesho kumbe nilikua najichimbia shimo kubwa mbelke yangu

Safar ikaanza ya kwenda kule miaka miwili iliyopita nikafika salama na nikapokelewa vizuri nilienda na bidhaa kidogo ili kuangalia mazingira yapoje, baada ya kufika nikaona kwa nature ya biashara ilivyo ili kujitofautisha na wengine siwezi kuuzia chini maana ntapunguza value ya bidhaa pia nikacheki nikaona kuna uwezekano wa kupata fremu bei ilikua 200USD kwa mwezi almost 460000 ya kitanzania na sio kubwa sana kulinganisha na huku kwetu za street ambapo huku unapata kwa 70K ambayo haipo center ila kwa kule ya ukubwa huo utapata kwa 500USD kwa mwezi na kwa nature ya biashara yangu kutoa 200USD sikuwaza maana nilijua nikiuza bidhaa 20 tu nmepata hela ya kodi na hizo naweza uza hatakwa mtu mmoja

Changamoto ilianza kuja baada ya jamaa niliyemuacha huku alikua anashindwa ku manage vzuri pia tulianza process ya kumtafutia passport huku ila mchakato ulikua mrefu sana hivyo mpaka mda wa mm kurud huku baada ya miez mi 3 ya kukaa kule ilikua bado hajapata, nilifanikiwa kurudi japo kwa njia za panya maana nilizidisha siku za kukaa kule hivyo ningerudi kihalali ingejua shida kwangu so nilipofika huku ikabi nirudishe ofisi kama mwanzo huku nikisubiri jamaa apate passport aende kule na kipindi chote hiko frem ilikua imefungwa na kodi ilikua inahesabiwa kama kawaida
Mpaka mwaka unakaribia kuisha jamaa alikua hajapata passport na mm kadri mda ulivyokua unazid kwenda nilijua jamaa mda wa kupata passport unakaribia hivo sikuwaza na kwakua sikukuu zilikua zinakaribia nika target soko la kule pia nili target ku clear makosa ya mwanzo maana soko la online hata ukiwa na bidhaa mbili unauza ila kwenye frem inahitaji uwe na mzigo mkubwa na upangilie vizuri ili mteja akipita mzigo umuite na umvutie kwa mpangilio wake

Nikaingiza 90% ya mtaji wangu wote nikiamini naenda kuuaga umasikini maana nchi niliyokua naenda ilikua ni center ya nchi nyingine za ukanda wa kusini na wengi wao walikua wankauja kuchukua mizigo hapo baada ya kila kitu kukamilika nikatuma mzigo na mm nikafika nkapanga mzigo vizuri ila safar hii ofisi ya dar niliifunga kwa mda ili jamaa akija kule nirudi kuifungua, nilivyofika ikabidi nilpe miezi niliyokua na daiwa baada ya hapo nikaanza kuuza mwaka jana mwanzon jamaa kapata passport so ikabdi mi nirud ye aje huku ila hata nilipofika huku mambo hayakua kama nilivyotarajia maana jamaa alisema hatoweza kwenda daah ilinikata sana nikiwaza 90% ya mtaji upo kule nikiwaza niende kule maana nakua naua ofisi ya huku na nikisema nibaki huku pia naua ofisi ya kule

Kila option nilyofikiria ili niweze ku maintain ofisi zote mbili ilifeli ikabid niongee na jamaa aliye nipokea mwanzo nikamuomba anitolee mzigo wote anitumie huku na nikamtumia hela ya usafirishaji ila mwisho wa siku mzigo haukutumwa na kipindi hiko corona ilikua ishaanza kuingia tz na mipaka yote ika fungwa so option ya kutuma mzigo ikashindikana na huku biashara ikaanza kudolola ikafikia stage nikawa nakosa hata hela ya pango nikiongea na jamaa kuhusu mzigo ananipiga chenga nikamwambia uza nitumie hela anadai biashara hakuna ila badae kwenye uchunguzi wangu nikaja kugundua jamaa aliuza inshort ameniingiza kwenye mataa na huo ndo ukawa mwisho wa biashara yangu

Kipindi biashara inafanya vzuri nilikua naona fursa nyingi za kibiashara nilikua nashaangaa kuona kijana anashindwa vipi kupanga mtu anakosaje hela ya vocha n.k ila saiv maisha yamebadilika ss ndo nimejua mtu anashindaje njaa na anakosaje kazi ya kufanya maana imefikia hatua kula yang tu ya shida fursa zote sizioni naishi kwa mshikaji tu nayy anakaribia kunichoka yani kila nikiwaza hatma ya maisha yangu siion

Nipo hapa wakuu kama mtu anafursa ya kazi iwe kibarua au parmanent sichagui kazi pia ninauzoefu wa mambo ya online marketing kama mtu ana bidhaa zake na anahitaji kuongeza sales naweza kufanya kazi hiyo pia, nipo dar, umri miaka 25 jinsia ya kiume na nipo tayar kwenda kufanya kazi mkoa wowote ule
tatizo ni hizo X,Y,Z.Ugeziondoa hizo usingefilisika kama kicwa cha andiko lako kinavosema
 
sure mkuu kingine cha kuongezea ni bora kufanya kazi na mtu kwa malipo kuliko ile tufanye tukitoboa tunatoboa wote ni ngum sana kumpata mtu atakae ona maono yako na kuyaishi ili muweze kufika inapotakiwa la sivyo unaweza kupiga hesab ya watu wawili na mkapanga vizuri kumbe mwenzako amejishikiza tu kwako kwa mda ana hesabu zake kichwani
Unaweza funguka zaidi ilikuaje jamaa yako alisema hawezi enda tena hiyo nchi licha ya kumhangaikia sana?
 
Nashukuru mkuu kwa kufatilia nyuzi zangu za nyuma, binafs biashara bado sijaichoka kwakua sijatimiza hata 10% ya nilichoona biashara inaweza kunifikisha,ukiachana na hyo bidhaa kwenye hiyo sector nzima unaweza kutengeneza bidhaa zaidi ya 5 na ukiachana na faida ya hela pia unatoa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania na kurahisisha maisha ya watu maana hakuna binadamu anayeweza kuzikwepa hizo bidhaa
Nakuomba pm unielezee mchanganuo wa biashara namatokeo yanaonekana baada ya mda gani, namtaji wakuanzia unatakiwa shingap
 
Wahenga walisema mbuzi wa masikini hazai hata akizaa ana zaa dume, ni msemo wa mda mrefu ila naamin unaishi,

Mwaka 2016 nilifanikiwa kumaliza kidato cha 6 ila matokeo yalivyotoka sikufanikiwa kuwa na pass mark za kunifanya niendelee mbele katika kipindi hiko nilihisi kuchanganyikiwa kwasababu nyumban mimi ndo mkubwa na wazazi walikua wameweka mategemeo makubwa kwangu na kwakua nyumbani hata msosi msosi ulikua wa kuunga unga hivyo sikua na option ya kuendele atena mbele kuhusu maswala ya elimu

Kipindi bado niko shule nilipokua nikirud likizo kuna rafiki angu alikua chuo kuna bidhaa X alikua nauza so baada ya yeye kuona sina ishu ya kufanya na kipindi hiko alikua yuko mwaka wa 3 aliniambia nikimbize ile biashara yeye kwa kipindi hiko alikua na mambo mengi ya kufanya akiwa chuon hivyo asingeweza kuwafikia wateja kwa urahisi

Japo haikua rahis ila nilikimbiza ile biashara kiasi cha kwamba ilikua kwa haraka na pale nyumbani mchango wangu ukawa unaonekana kwa 70% badae nikaja kupata wazo badala ya kwenda kununua hizo bidhaa X kwann nisi fanye production mwenyewe nikajaribu kufanya utafiti wa vifaa na kuanz kununua mdogo mdogo basic tools zote

Wateja wangu kwa 97% nilikua nawapata online kipindi nawatafuta wateja nilipata kufahamiina na jamaa mmoja yeye alikua anatoka mkoa Y ambapo aliniambia yeye anaweza kuzitengeneza hizo bidhaa hivyo wakati nafikiria kuzalisha mwenyewe nilijua kuna mtu ntaungana nae mwisho wa siku alifanikiwa kuja dar dar tukafanya kazi pamoja

Kazi ya uzalishaji haikua rahis kama nilivyotarajia maana ilikua na changamoto nyingi na inabidi uwe smart sana kuwez kui manage upande wa production kuja usimamizi wa kazi mpaka unapokuja kuuza na mwisho wa siku uione faida yako baada ya kutoa matumizi yote,mtaji na kuweka faida pembeni nashukuru niliweza kumudu vizuri kwa muda wa miaka 2 biashara ikawa imekua kubwa pia nilikua nmeshaanza kupata wateja nje ya nchi kama INDIA,BRAZILI,USA,OMAN NK kwa nchi za Africa nchi zote za SOUTHEN AFRICA(SA,BOTSWANA,NAMIBIA,ZIMBABWE,ZAMBIA) nan chi nyingine z hapa jirani

Mikosi ilipoanza

W
akati biashara ipo kwenye peak nilipata mteja mmoja aliyekua nchi Z alikua ni m tz ila makazi yake pamoja na biashara yake yalikua huko tulianza biashara vizuri na alikua mteja wangu wa nguvu sana kabla ya kuwa ananunua kwangu alikau anatoa Kenya hizo bidhaa ila alipoanza kwangu wateja wake walizipenda sana so speed ya jamaa kuagiza mzigo kwangu ilikua kubwa mpaka nikaamin huko kuna fursa kubwa ya kutoboa zaid kwa biashara yangu ikabid nionge na jamaa akakubali kua atanipokea

Kabla sijatoka huku kulikua na jamaa angu ambae alikua nilikua nafanya nae kazi nikampanga yeye abaki mm nikifika kule nitacheki mazingira yakiwa mazuri mimi nirudi yeye aende ili tuwe tunakimbiza huku na kule jamaa alikubali ila kwakua hakuna anayejua kesho kumbe nilikua najichimbia shimo kubwa mbelke yangu

Safar ikaanza ya kwenda kule miaka miwili iliyopita nikafika salama na nikapokelewa vizuri nilienda na bidhaa kidogo ili kuangalia mazingira yapoje, baada ya kufika nikaona kwa nature ya biashara ilivyo ili kujitofautisha na wengine siwezi kuuzia chini maana ntapunguza value ya bidhaa pia nikacheki nikaona kuna uwezekano wa kupata fremu bei ilikua 200USD kwa mwezi almost 460000 ya kitanzania na sio kubwa sana kulinganisha na huku kwetu za street ambapo huku unapata kwa 70K ambayo haipo center ila kwa kule ya ukubwa huo utapata kwa 500USD kwa mwezi na kwa nature ya biashara yangu kutoa 200USD sikuwaza maana nilijua nikiuza bidhaa 20 tu nmepata hela ya kodi na hizo naweza uza hatakwa mtu mmoja

Changamoto ilianza kuja baada ya jamaa niliyemuacha huku alikua anashindwa ku manage vzuri pia tulianza process ya kumtafutia passport huku ila mchakato ulikua mrefu sana hivyo mpaka mda wa mm kurud huku baada ya miez mi 3 ya kukaa kule ilikua bado hajapata, nilifanikiwa kurudi japo kwa njia za panya maana nilizidisha siku za kukaa kule hivyo ningerudi kihalali ingejua shida kwangu so nilipofika huku ikabi nirudishe ofisi kama mwanzo huku nikisubiri jamaa apate passport aende kule na kipindi chote hiko frem ilikua imefungwa na kodi ilikua inahesabiwa kama kawaida
Mpaka mwaka unakaribia kuisha jamaa alikua hajapata passport na mm kadri mda ulivyokua unazid kwenda nilijua jamaa mda wa kupata passport unakaribia hivo sikuwaza na kwakua sikukuu zilikua zinakaribia nika target soko la kule pia nili target ku clear makosa ya mwanzo maana soko la online hata ukiwa na bidhaa mbili unauza ila kwenye frem inahitaji uwe na mzigo mkubwa na upangilie vizuri ili mteja akipita mzigo umuite na umvutie kwa mpangilio wake

Nikaingiza 90% ya mtaji wangu wote nikiamini naenda kuuaga umasikini maana nchi niliyokua naenda ilikua ni center ya nchi nyingine za ukanda wa kusini na wengi wao walikua wankauja kuchukua mizigo hapo baada ya kila kitu kukamilika nikatuma mzigo na mm nikafika nkapanga mzigo vizuri ila safar hii ofisi ya dar niliifunga kwa mda ili jamaa akija kule nirudi kuifungua, nilivyofika ikabidi nilpe miezi niliyokua na daiwa baada ya hapo nikaanza kuuza mwaka jana mwanzon jamaa kapata passport so ikabdi mi nirud ye aje huku ila hata nilipofika huku mambo hayakua kama nilivyotarajia maana jamaa alisema hatoweza kwenda daah ilinikata sana nikiwaza 90% ya mtaji upo kule nikiwaza niende kule maana nakua naua ofisi ya huku na nikisema nibaki huku pia naua ofisi ya kule

Kila option nilyofikiria ili niweze ku maintain ofisi zote mbili ilifeli ikabid niongee na jamaa aliye nipokea mwanzo nikamuomba anitolee mzigo wote anitumie huku na nikamtumia hela ya usafirishaji ila mwisho wa siku mzigo haukutumwa na kipindi hiko corona ilikua ishaanza kuingia tz na mipaka yote ika fungwa so option ya kutuma mzigo ikashindikana na huku biashara ikaanza kudolola ikafikia stage nikawa nakosa hata hela ya pango nikiongea na jamaa kuhusu mzigo ananipiga chenga nikamwambia uza nitumie hela anadai biashara hakuna ila badae kwenye uchunguzi wangu nikaja kugundua jamaa aliuza inshort ameniingiza kwenye mataa na huo ndo ukawa mwisho wa biashara yangu

Kipindi biashara inafanya vzuri nilikua naona fursa nyingi za kibiashara nilikua nashaangaa kuona kijana anashindwa vipi kupanga mtu anakosaje hela ya vocha n.k ila saiv maisha yamebadilika ss ndo nimejua mtu anashindaje njaa na anakosaje kazi ya kufanya maana imefikia hatua kula yang tu ya shida fursa zote sizioni naishi kwa mshikaji tu nayy anakaribia kunichoka yani kila nikiwaza hatma ya maisha yangu siion

Nipo hapa wakuu kama mtu anafursa ya kazi iwe kibarua au parmanent sichagui kazi pia ninauzoefu wa mambo ya online marketing kama mtu ana bidhaa zake na anahitaji kuongeza sales naweza kufanya kazi hiyo pia, nipo dar, umri miaka 25 jinsia ya kiume na nipo tayar kwenda kufanya kazi mkoa wowote ule
tatizo ni hizo X,Y,Z.Ugeziondoa hizo usingefilisika kama kicwa cha andiko lako kinavosema
ukipitia nyuzi zangu za nyuma 2017 mpaka 19 hizo X Y Z zipo kama utaweza kuunganisha dots
Mkuu,Nakuelewa.Ila kwa lengo la andiko lako uneweka tu hizo dots.Huenda ungepata ushauri BORA kabisa.Mfano.Kuna mtu anaweza kuwa anataka kuinvest na anataka kufanya kazi na wewe ila ukiwekeaa dots anaweka ? na!.

Ila all in bado hujafikia wakati wa kufilisika bali uko katika safari ya kutajirika na hapo uko mapumzikoni.Cha kufanya ni kujiandaa kwa hatua ya Pili.Ukiwaza kuwa umefilisika wakati bado hujatajirika una hatari sana ya kuchelewa kutajirika.

Lazima uelewa maana ya kutajirika.Fukara huwa hafilisiki.Wewe ulikuwa katika safari ya utafutaji ukakutana na changamoto ambazo najua zimekufundisha mengi ambayo ukiamua unaweza kuibuka tena with new strength.Nakutakia kila la heri ila Ondoa XYZ utakuja kunishukuru.
 
Unaweza funguka zaidi ilikuaje jamaa yako alisema hawezi enda tena hiyo nchi licha ya kumhangaikia sana?
Jamaa alinitia mashaka kidogo baada ya kuona mchakatoa wa passport kubwa ni mrefu nikamwambia achukue ndogo kwakua hiyo kubwa imesubili kutoka tu wakati yy akisafir mpaka kurudi tena ile itakua imeshatoka tutakua tume save mda ila yeye alinijibu hayo hayakua makubaliano yetu so sikutaka kulazimisha sana baada ya yy kunifahamisha ameshapata tayari nikamwambia unakuja lini nikutumie hela akasema ntakupa taarifa ndo kipind cha vugu vugu za line kufungwa

Baada ya wiki mbili niliamua kurudi ili line zangu zisifungwe wakat nipo njian akanitumia msg kua yupo tayar kwa safari nikamwambia siku inayofata ntakua Dar njoo napokaa alikuja nikampa line za kule hela ya nauli na kujikimu na nikamuunganisha atapofikia so akasema baada ya siku moja ata safiri ila ilipita wiki na nusu kuna siku nilimpigia ndo kaniambia ndugu zake wamemwambia abaki kwanza na wakat tunafatilia process zote ndugu zake walikua wanajua ila nikamwambia anitumie hela nilizompa na anirudishie line alifanya hivyo ikawa mwisho wetu ila ukiunganisha dots tu utagundua kitu
 
tatizo ni hizo X,Y,Z.Ugeziondoa hizo usingefilisika kama kicwa cha andiko lako kinavosema

Mkuu,Nakuelewa.Ila kwa lengo la andiko lako uneweka tu hizo dots.Huenda ungepata ushauri BORA kabisa.Mfano.Kuna mtu anaweza kuwa anataka kuinvest na anataka kufanya kazi na wewe ila ukiwekeaa dots anaweka ? na! .Ila all in bado hujafikia wakati wa kufilisika bali uko katika safari ya kutajirika na hapo uko mapumzikoni.Cha kufanya ni kujiandaa kwa hatua ya Pili.Ukiwaza kuwa umefilisika wakati bado hujatajirika una hatari sana ya kuchelewa kutajirika.Lazima uelewa maana ya kutajirika.Fukara huwa hafilisiki.Wewe ulikuwa katika safari ya utafutaji ukakutana na changamoto ambazo najua zimekufundisha mengi ambayo ukiamua unaweza kuibuka tena with new strength.Nakutakia kila la heri ila Ondoa XYZ utakuja kunishukuru.
Sawa boss nimekuelewa na shukran sana kwa ushauli
 
Jamaa alinitia mashaka kidogo baada ya kuona mchakatoa wa passport kubwa ni mrefu nikamwambia achukue ndogo kwakua hiyo kubwa imesubili kutoka tu wakati yy akisafir mpaka kurudi tena ile itakua imeshatoka tutakua tume save mda ila yeye alinijibu hayo hayakua makubaliano yetu so sikutaka kulazimisha sana baada ya yy kunifahamisha ameshapata tayari nikamwambia unakuja lini nikutumie hela akasema ntakupa taarifa ndo kipind cha vugu vugu za line kufungwa baada ya wiki mbili niliamua kurudi ili line zangu zisifungwe wakat nipo njian akanitumia msg kua yupo tayar kwa safari nikamwambia siku inayofata ntakua dar njoo napokaa alikuja nikampa line za kule hela ya nauli na kujikimu na nikamuunganisha atapofikia so akasema baada ya siku moja ata safiri ila ilipita wiki na nusu kuna siku nilimpigia ndo kaniambia ndugu zake wamemwambia abaki kwanza na wakat tunafatilia process zote ndugu zake walikua wanajua ila nikamwambia anitumie hela nilizompa na anirudishie line alifanya hivyo ikawa mwisho wetu ila ukiunganisha dots tu utagundua kitu
Mkuu achana na habari za dots.Wewe ni mpambanaji ila kuna kitu unakikwepa na ndio sababu kubwa ya kujikuta katika dilemma za kibiashara.Mark my words.You can be the next rich mana ukiachana na hizo dots.I can see it in your writing style
 
Jamaa alinitia mashaka kidogo baada ya kuona mchakatoa wa passport kubwa ni mrefu nikamwambia achukue ndogo kwakua hiyo kubwa imesubili kutoka tu wakati yy akisafir mpaka kurudi tena ile itakua imeshatoka tutakua tume save mda ila yeye alinijibu hayo hayakua makubaliano yetu so sikutaka kulazimisha sana baada ya yy kunifahamisha ameshapata tayari nikamwambia unakuja lini nikutumie hela akasema ntakupa taarifa ndo kipind cha vugu vugu za line kufungwa baada ya wiki mbili niliamua kurudi ili line zangu zisifungwe wakat nipo njian akanitumia msg kua yupo tayar kwa safari nikamwambia siku inayofata ntakua dar njoo napokaa alikuja nikampa line za kule hela ya nauli na kujikimu na nikamuunganisha atapofikia so akasema baada ya siku moja ata safiri ila ilipita wiki na nusu kuna siku nilimpigia ndo kaniambia ndugu zake wamemwambia abaki kwanza na wakat tunafatilia process zote ndugu zake walikua wanajua ila nikamwambia anitumie hela nilizompa na anirudishie line alifanya hivyo ikawa mwisho wetu ila ukiunganisha dots tu utagundua kitu
Huyo jamaa yako pimbi sana ipo siku atagundua jinsi ndugu wasivyonamaana ktk kuamua maisha ya mtu na atajilaumu sana. By the way hongera kwa kuona fursa nje ya mipaka kitu adim sana hii kwa sisi vijana. Na uamini kwamba bado haujafeli ila umeanguka kwa sababu maalum kujenga misuli mipya na kuepushwa na mabaya zaidi yalokua mbele yako. Naamini utapata mwanzo mpya kupitia forum hii yenye watu wengi wanaoiona spirit yako ya upambanaji.
 
Mkuu achana na habari za dots.Wewe ni mpambanaji ila kuna kitu unakikwepa na ndio sababu kubwa ya kujikuta katika dilemma za kibiashara.Mark my words.You can be the next rich mana ukiachana na hizo dots.I can see it in your writing style
Shukran mkuu ila ningependa unifahamishe zaidi ulichoona nakikwepa huenda nikirekebisha ntafika mbali sana,ntashukuru kwa hilo
 
Huyo jamaa yako pimbi sana ipo siku atagundua jinsi ndugu wasivyonamaana ktk kuamua maisha ya mtu na atajilaumu sana. By the way hongera kwa kuona fursa nje ya mipaka kitu adim sana hii kwa sisi vijana. Na uamini kwamba bado haujafeli ila umeanguka kwa sababu maalum kujenga misuli mipya na kuepushwa na mabaya zaidi yalokua mbele yako. Naamini utapata mwanzo mpya kupitia forum hii yenye watu wengi wanaoiona spirit yako ya upambanaji.
Shukran sana mkuu binafs jamii forum naiheshim sana humu napataga nondo nyingi sana hata wazo langu la kutoka nje ya tz nilipata huku pia nikalifanyia kazi
 
Mkuu ina maana u.lmeshindwa kabisa kuwaambia watu kuwa ulikuwa unazalisha viatu vya ngozi? Kinachokufanya ufiche ni kitu gani?? Tegeta kwa ndevu umehama?
 
Back
Top Bottom