trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #21
Haya nimemaliza dah kazi ipo,,bila ufafanuzi wa my love wangu ningetoka kapa
Heko Kabakabana...
Enhe..kuna chochote ulichoambulia hapo?
Haya nimemaliza dah kazi ipo,,bila ufafanuzi wa my love wangu ningetoka kapa
Kwa hiyo hata shemejio ulishawahi kumchakachua.
MP.
Niliwahi kukutana kimwili na mchumba wangu..
Mambo yalipoharibika akawa shemeji sasa.. Hakuna aliyejua kati yetu kama mimi naweza kuwa namfahamu hata mtu mmoja wa familia yao hapo kabla..
huyu kala wote itakua, haiwezekani akapose kabla hajakula.
Lazima hiyo,kwani kuna anayetaka kuuziwa mbuzi kwnye gunia.
MP.
huyu kala wote itakua, haiwezekani akapose kabla hajakula.
Vipi kuhusu kukumbushia?! .......
MP.
Lazima hiyo,kwani kuna anayetaka kuuziwa mbuzi kwnye gunia.
MP.
Msemakweli mpenzi wa Mungu , haka kaji'story nimetoka kaputi ! Nimeachwa Msamvu Round about ! Sijaelewa hii maneno.
kama ni story ya kweli basi inasikitisha na hapo hapo inafurahisha,so funny
umeona eenh?
Hadith inatufunza mengi
Mwanamke aliyealika mchumba ndiye aliyefedheheka kuliko wewe@ trachomatis
Yeah... Ndiye alikuwa na mategemeo makubwa zaidi ya mwenza..
Ogopa kuwaambia wazazi na ndugu kuwa una mchumba,halafu yatokee ya dizaini hiyo..
Unahisi kama umedhalilisha hadi ukoo wako..