Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Demu itakuwa hayuko sawa upstairs ana stress disorder
Kama alikuwa ana kipato cha kuhudumia familia na mmewe ilikuwaje Mabeste atembeze bakuli ili kumuuguza?

Et ali-plan yeye ile event lengo ni kutuoneshe mmewe hawezi chochote! Kwa nini hakuenda kuimba yeye sasa kwenye hiyo event kama ndiye kila kitu?

Bila umaarufu wa mmewe anadhani ni nani angehamasika hata kumchangia?

Kutokutambua mchango wowote wa mmewe ni ufala haijalishi ana mapungufu kiasi gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ina maana huyu dada alimkuta Mabeste hana shughuli au? Kama alimkuta na shughuli now mambo yamekwama anamkosea sana. Naona namna mambo yakiyumba sana mwanaume akikosa kipato kuliko wanawake. Huwezi kusikia mwanaume akisema nimemuacha sababu nilikuwa namlea.

Wadada wa siku hizi pamoja na kuelimika wamekuwa tegemezi zaidi kuliko mama zetu wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Natural mwanaume kaumbwa kuwa Provider.
 
Mbona umeweka upande mmoja tu wa uyo Lisa? Ungeweka na Mabeste pia ili ijulikane mbivu na mbichi
 
Mabeste unamjua wewe?
Kuna rapper Bongo hii anaweza mfikia Mabeste? Including unju na Singasinga

Sijasema hajui Muziki. Nazungumzia kufanya kazi.

Kwani Ben Pol hajui Muziki ?

Sasa ni nini kinakufanya uache kazi inayokuingizia kipato halafu uwe full tegemezi kwa mkeo ?
 
Mwanamke akikupenda atafanya kila kitu kukusupport ili akuone umesimama katika nafasi yako kama mwanaume ila akigundua huwezi kuisimamia nafasi yako anachoka na anahisi kukosa security na hayo ndio yanakua matokeo.
Nimewasikiliza wote mabeste na Lisa. Kwa kweli mabeste aliamua kurelax mnooo na kumwachia Lisa majukumu yote ya familia.
Kaka zangu fanyeni kazi mtunze familia zenu.... Ukipata mwanamke anayeweza kukusuppprt usirelax ukamwachia majukumu yako. Wanawake hatujaumbwa hivyo huwa tunachoka na kufanya maamuzi kama ya Lisa.
Mabeste angekua anatimiza wajibu wake hata leo hii wangekua pamoja
 
Mwanamke akikupenda atafanya kila kitu kukusupport ili akuone umesimama katika nafasi yako kama mwanaume ila akigundua huwezi kuisimamia nafasi yako anachoka na anahisi kukosa security na hayo ndio yanakua matokeo.
Nimewasikiliza wote mabeste na Lisa. Kwa kweli mabeste aliamua kurelax mnooo na kumwachia Lisa majukumu yote ya familia.
Kaka zangu fanyeni kazi mtunze familia zenu.... Ukipata mwanamke anayeweza kukusuppprt usirelax ukamwachia majukumu yako. Wanawake hatujaumbwa hivyo huwa tunachoka na kufanya maamuzi kama ya Lisa.
Mabeste angekua anatimiza wajibu wake hata leo hii wangekua pamoja
Umeshawahi kuona mwanamke ambae anakuingilia katika mipango yako ya utafutaji na anakukosoa kuwa unachofanya unapoteza muda jaribu jambo jingine.....

Yaani yeye kazi yake ni kukupelekesha sababu tu ya kukosa adabu na kuwa na ujuaji uliopitiliza......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom