Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Hawa wote wawili ni wapumbavu. Hizi interviews zote zimerekodiwa na zitadumu milele. Watoto wao wataandamwa na maneno na matendo ya wazazi wao, na watakuja kuangalia na kusikia upumbavu wao milele.
Jamii haijawasaidia inabidi watumie mitandao kuonyesha maumivu yao. Zamani mambo kama haya watoto wanaitwa wanakanywa na kuelekezwa na wakubwa. Siku hizi wazazi wanaishi tu wapo wapo wanaacha vijana na matatizo yao badala ya kuwapa sapoti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamii haijawasaidia inabidi watumie mitandao kuonyesha maumivu yao. Zamani mambo kama haya watoto wanaitwa wanakanywa na kuelekezwa na wakubwa. Siku hizi wazazi wanaishi tu wapo wapo wanaacha vijana na matatizo yao badala ya kuwapa sapoti.

Sent using Jamii Forums mobile app
They did what they felt they had to do but, at a very high cost: their children's future psycho-social well-being. That's very selfish and immature of both of them as parents. Huyo mwanamke going on and on in detail about their private life: tribulations, ups and downs, shenanigans and whatnot, many times unsolicited by the Interviewer, it's all so unbelievable and sickening to listen to.
 
Labda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua
Hapo kwenye maada anasema alihudumia familia miezi 2 , sasa kipindi cha maisha yao yote nani alikua analipa bills?
Ndoa zinachangamoto hiyo iko wazi lakini wanawake wengi wako hivyo...
Hata kipindi nakua mzee wangu anaweza kutuma hela kwa bi Mkubwa ili akupatie, basi akikupatia anaanza kusema mi nawasomesha kwa pesa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa sio wanawake wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini hakukusanya mwenyewe kama Mabeste sio aliyechangisha? Wanawake wote washenzi huwa wanatafuta sababu ili kukuacha, ukimsikiliza anataja hadi visa vya kabla ya kuoana ila ahalalishe kummwaga jamaa, Karma itamtafuna tu
Kitu kilichomuumiza ni Mabeste kuanza kuongea kwamba sababu ya wao kuachana ni pesa. Kaongea kwenye media.

Mama wa watu imebidi atoke hewani akaelezea jinsi alivyomlea jamaa toka mwanzo mpaka wanaachana, hadi mahari alijilipia.

Ugonjwa aliokuwa anaumwa inasemekana kwamba chanzo ni familia ya Mabeste, maana mara zote Mabeste alikuwa akiwatuhumu nyumbani kwao na haelewani na wazazi wake kabla hata hajakutana na Lisa.

Idea ya kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ni ya Lisa, na hata kuendesha accounts za Mabeste yeye ndiye alikuwa anafanya hivyo, ile concert yeye ndiye aliyeplan na kuanza kufatilia kila kitu.

Ukiweza kupata muda wa kumsikia utaelewa, na bahati mbaya kwa Mabeste, Lisa alifikia sehemu akaanza kurekodi kila walichokuwa wanazozana au kujadili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alikuwa ana kipato cha kuhudumia familia na mmewe ilikuwaje Mabeste atembeze bakuli ili kumuuguza?

Et ali-plan yeye ile event lengo ni kutuoneshe mmewe hawezi chochote! Kwa nini hakuenda kuimba yeye sasa kwenye hiyo event kama ndiye kila kitu?

Bila umaarufu wa mmewe anadhani ni nani angehamasika hata kumchangia?

Au na huo umaarufu kampa yeye?

Kutokutambua mchango wowote wa mmewe ni ufala haijalishi ana mapungufu kiasi gani.
 
Mabeste alikuwa Marioo.

Kazi hafanyi, muziki hafanyi. Yuko Busy na media tu na neno 'Nakupeoda, Nakupenda'

Does the word Nakupenda pay bills ?

Hivi Mabeste huwa ni mchagga ?

Miaka ya karibuni vijana wa kichagga wamekuwa ma-marioo wa kutosha.

Wengine wanaolewa Ulaya wengine Bongo !

Daaah
Sasa unavuka mpaka...acha kututusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kwangu mimi suala la kuoa hapa naona tu hiz mambo zilivyo pasua kichwa
 
Eatv walionesha live kupitia planet bongo. Mpaka home..
Huyu Dada alikuwa kalala tu hata kuongea hawezi dulla anampa pole hata kuitika kwa kichwa alishindwa achilia mbali kuongea..!

Sasa hivi eti anasema yeye ndo alipanga event, matamasha ya kuchangisha pesa mpaka akapona..! Duh
Labda yalikuwa maigizo ili watu waguswe ila demu alikuwa fit hadi kuandaa events.

Bongo Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom