Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,600
- 4,073
Nilivyosoma kichwa cha habari nikajua ni wale tuliojikatia tamaa ya maisha
Ila nilivyosoma ID ya mtoa mada nikajikuta nacheka kwanza.
Kiduku Lilo;
Mi naomba tuletewe wale ma- designer wako mkuu manake hawa akina fundi Juma watatuharibia halafu tukakosa picha hivi hivi.
Pili hapo kwenye lugha ya malkia ebu legeza kidogo basi ili na sisi ambao english is few tupatepo kanafasi, najua huduma nyingi zitakuwa self service na kama itatulazimu basi tutatumia ishara。◕‿◕。
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nilivyosoma ID ya mtoa mada nikajikuta nacheka kwanza.
Kiduku Lilo;
Mi naomba tuletewe wale ma- designer wako mkuu manake hawa akina fundi Juma watatuharibia halafu tukakosa picha hivi hivi.
Pili hapo kwenye lugha ya malkia ebu legeza kidogo basi ili na sisi ambao english is few tupatepo kanafasi, najua huduma nyingi zitakuwa self service na kama itatulazimu basi tutatumia ishara。◕‿◕。
Sent using Jamii Forums mobile app