Jinsi mwezi unavyosababisha ukichaa maarufu kama "mwezi mchanga" na mood swing

Humble African

JF-Expert Member
Jul 28, 2013
4,779
14,303
Kuna vitu vingi vinatokea katika maisha tunavichukulia kawaida but tukiviangalia kwa undani vina mengi ya kutushangaza sana. Kama hili hapa. Unajua mwandamo wa mwezi una nafasi kubwa ya kuaffect mood, behavior and afya ya akili zetu!?

Kuna kipindi nikiwa pwani nilisikia mtu akisema kwa dharau kwamba mwacheni huyo ni "mwezi nchanga" si kuelewa haraka haraka hadi nilipofuatilia na sio siri ilinishangaza sana.

Imetokea Mara kwa Mara mwezi ukiandama na kuwa "full moon" kuna baadhi ya watu wanakuwa wehu kabisa, mahospitali yanajaa wagonjwa, mbwa wanabweka usiku mzima na kuwa wakali sana, idadi kubwa ya watu wanapata usingizi kwa shida sana yaani mambo yanaparaganyika flani Kwenye kipindi hicho? Hapa ndipo wale watu walio much sensitive zaidi na moon wanakuwa vichaa kwa muda flani.

Utajiuliza hii inasababishwa na nini..ngoja nikusaidie hili... Hivi unajua Mwezi ndio unaosababisha kupwa na kujaa kwa maji baharini kutokana na gravitational pull yake kati ya Dunia na mwezi yaani ukiona maji yamekupwa baharini ujue iliyotoa hayo maji hapo ni uvutano wa Dunia na mwezi na ikitokea maji yamejaa tena basi ujue ni mwezi umesababisha hayo yote.

Sasa kwanini hii imuathiri na binadamu hadi awe aggressive, violent, and sleepless kwenye full moon.. Iko hivi asilimia 80% ya mwili wa binadamu ni maji na zaidi ubongo wa binadamu ndio "moistest" organ ya binadamu ndio kiungo chenye umajimaji zaidi kuliko chochote kwa mnyama yeyote Yule kwa hiyo mwezi unapokuwa full moon basi unaathiri vyote vyenye maji maji kwa kuvivuruga kuanzia baharini hadi ndani ya mwili wa binadamu especially ubongo sasa ndio hapo ubongo unapochanganyikana na sifongo na ubongo na mhusika kuwa insane and psycho na kusababisha hata mbwa nao kwa upande wao wanabweka sana usiku kucha tirelessly maana nao wanapitia the same process ya binadamu.

Mdau kituko nae kuongeza hivi; namquotes!

"Kisayansi gravitation force ya Mwezi ndio unaosababisha High na low Tides, so sehemu ulipo mwezi usawa wa Dunia basi maji yatavutwa kuelekea kwenye mwezi na tutapata high tides na sehemu ambayo haina mwezi tunapata low tides

Kichwa maji,
Ni msemo pia unatumiwa sana na watu wa pwani, yaani kichwa kisicho na akili za kutosha, lakini kiuhalisia ni Kichwa ambacho kimezidi majimaji kwenye Ubongo zaidi ya majimaji ya kawaida yanayopaswa kuwa kwenye ubongo, Sasa effect ya Mwezi kwenye maji ya Bahari au Maziwa Makubwa pia inaeffect maji yaliyozidi kwenye Ubongo (haaaa so fan) , so sio wote wanaopata shida ya mWezi mchanga bali wale vichwa maji ambao sio wengi na ni kilema cha kawaida tu"

Screenshot_2018-04-19-16-23-31.jpg
fullmoon1-2dce53eba2a1c06b7331ae9e1e906a457cfb491b-s6-c30.jpg
model-of-mind.png
 
Hii ni sana tu sikua nahisi back ground yake ni MAJI

Kwetu tulizoea sana kuwa watu wenye matatizo ya kifafa huwa yanawakuta sana wakati wa mwandamo wa mwezi na ikifikia tu anaanza kufit mnajua mwezi umeandama au uko karibu kuandama

Lkn nitajaribu pia kuendelea kuchunguza pia

Asante kwa mchango
 
Akijibu nistue maana na mimi hapo nimejiuliza sana nimekosa jibu.
Iko hivi mwezi unapoandamana na kuwa full moon unaafect vitu vyote vya maji maji kutokana na nature ya gravitational pull yake ya kuvuta vitu vyote vyenye asili ya maji akiwemo binadamu mwenye asilimia 78% ya mwili wake ambao ni maji.

Kwanini ubongo utikiswe zaidi? Nimeeleza ubongo ndio "moistest" organ ya binadamu ndio sehemu yenye umajimaji mwingi kuliko kiungo chochote cha binadamu hivyo kinazongwa na Maji mengi ya mwilini yanayovutwa na gravitational pull kutoka sehemu mbalimbali kwenda kichwani.. Hence wehu, aggression, violent, sleepless night e.t.c

Mpaka hapa vipi?
 
Kuna vitu vingi vinatokea katika maisha tunavichukulia kawaida but tukiviangalia kwa undani vina mengi ya kutushangaza sana. Kama hili hapa. Unajua mwandamo wa mwezi una nafasi kubwa ya kuaffect mood, behavior and afya ya akili zetu!?

Kuna kipindi nikiwa pwani nilisikia mtu akisema kwa dharau kwamba mwacheni huyo ni "mwezi nchanga" si kuelewa haraka haraka hadi nilipofuatilia na sio siri ilinishangaza sana.

Imetokea Mara kwa Mara mwezi ukiandama na kuwa "full moon" kuna baadhi ya watu wanakuwa wehu kabisa, mahospitali yanajaa wagonjwa, mbwa wanabweka usiku mzima na kuwa wakali sana, idadi kubwa ya watu wanapata usingizi kwa shida sana yaani mambo yanaparaganyika flani Kwenye kipindi hicho? Hapa ndipo wale watu walio much sensitive zaidi na moon wanakuwa vichaa kwa muda flani.

Utajiuliza hii inasababishwa na nini..ngoja nikusaidie hili... Hivi unajua Mwezi ndio unaosababisha kupwa na kujaa kwa maji baharini kutokana na gravitational pull yake kati ya Dunia na mwezi yaani ukiona maji yamekupwa baharini ujue iliyotoa hayo maji hapo ni uvutano wa Dunia na mwezi na ikitokea maji yamejaa tena basi ujue ni mwezi umesababisha hayo yote.

Sasa kwanini hii imuathiri na binadamu hadi awe aggressive, violent, and sleepless kwenye full moon.. Iko hivi asilimia 80% ya mwili wa binadamu ni maji na zaidi ubongo wa binadamu ndio "moistest" organ ya binadamu ndio kiungo chenye umajimaji zaidi kuliko chochote kwa mnyama yeyote Yule kwa hiyo mwezi unapokuwa full moon basi unaathiri vyote vyenye maji maji kwa kuvivuruga kuanzia baharini hadi ndani ya mwili wa binadamu especially ubongo sasa ndio hapo ubongo unapochanganyikana na sifongo na ubongo na mhusika kuwa insane and psycho na kusababisha hata mbwa nao kwa upande wao wanabweka sana usiku kucha tirelessly maana nao wanapitia the same process ya binadamu.

Je wewe ulishawai kuexperience hii kitu kwa mtu? Au kwako?

View attachment 750091View attachment 750092View attachment 750093
This is from Spiritual Science...!

Sasa kama full moon ndio ina madhara zaidi mbona zikiamkaga kwa vichaa wanaita mwezi mchanga?
 
Kuna vitu vingi vinatokea katika maisha tunavichukulia kawaida but tukiviangalia kwa undani vina mengi ya kutushangaza sana. Kama hili hapa. Unajua mwandamo wa mwezi una nafasi kubwa ya kuaffect mood, behavior and afya ya akili zetu!?

Kuna kipindi nikiwa pwani nilisikia mtu akisema kwa dharau kwamba mwacheni huyo ni "mwezi nchanga" si kuelewa haraka haraka hadi nilipofuatilia na sio siri ilinishangaza sana.

Imetokea Mara kwa Mara mwezi ukiandama na kuwa "full moon" kuna baadhi ya watu wanakuwa wehu kabisa, mahospitali yanajaa wagonjwa, mbwa wanabweka usiku mzima na kuwa wakali sana, idadi kubwa ya watu wanapata usingizi kwa shida sana yaani mambo yanaparaganyika flani Kwenye kipindi hicho? Hapa ndipo wale watu walio much sensitive zaidi na moon wanakuwa vichaa kwa muda flani.

Utajiuliza hii inasababishwa na nini..ngoja nikusaidie hili... Hivi unajua Mwezi ndio unaosababisha kupwa na kujaa kwa maji baharini kutokana na gravitational pull yake kati ya Dunia na mwezi yaani ukiona maji yamekupwa baharini ujue iliyotoa hayo maji hapo ni uvutano wa Dunia na mwezi na ikitokea maji yamejaa tena basi ujue ni mwezi umesababisha hayo yote.

Sasa kwanini hii imuathiri na binadamu hadi awe aggressive, violent, and sleepless kwenye full moon.. Iko hivi asilimia 80% ya mwili wa binadamu ni maji na zaidi ubongo wa binadamu ndio "moistest" organ ya binadamu ndio kiungo chenye umajimaji zaidi kuliko chochote kwa mnyama yeyote Yule kwa hiyo mwezi unapokuwa full moon basi unaathiri vyote vyenye maji maji kwa kuvivuruga kuanzia baharini hadi ndani ya mwili wa binadamu especially ubongo sasa ndio hapo ubongo unapochanganyikana na sifongo na ubongo na mhusika kuwa insane and psycho na kusababisha hata mbwa nao kwa upande wao wanabweka sana usiku kucha tirelessly maana nao wanapitia the same process ya binadamu.

Je wewe ulishawai kuexperience hii kitu kwa mtu? Au kwako?

View attachment 750091View attachment 750092View attachment 750093
Kwanini wanawehuka baadhi ya wanadamu na sio wote? Kati ya mwezi na dunia kipi kinamvuta mwenzake? Kwanini hiyo gravitation pull inatokea wakati wa full moon na si vinginevyo? Naomba fafanuo kiundani huo mvutano baina ya bahari na mwezi unakuaje/wanamna gani mpaka inatokea maji kupwa na kujaa?

Nitarudi tena ngoja niongee na shemeji yenu kwanza.
 
Iko hivi mwezi unapoandamana na kuwa full moon unaafect vitu vyote vya maji maji kutokana na nature ya gravitational pull yake ya kuvuta vitu vyote vyenye asili ya maji akiwemo binadamu mwenye asilimia 78% ya mwili wake ambao ni maji.

Kwanini ubongo utikiswe zaidi? Nimeeleza ubongo ndio "moistest" organ ya binadamu ndio sehemu yenye umajimaji mwingi kuliko kiungo chochote cha binadamu hivyo kinazongwa na Maji mengi ya mwilini yanayovutwa na gravitational pull kutoka sehemu mbalimbali kwenda kichwani.. Hence wehu, aggression, violent, sleepless night e.t.c

Mpaka hapa vipi?
Doubt yetu ni kwamba kwanini binadamu wote tusiathirike na hiyo hali(mwezi mchanga) , why inawapata wachache wakati maumbile yetu yapo sawa?
 
Mkuu, hivi unajua maana ya full moon? Naona kama unaaminisha kitu ambacho siyo sawa!! Full moon maana yake mwezi unaonekana mzima, wakati kuandama kwa mwezi huwa ni pale mwezi unaonekana kipande kidogo sana na hapo wenye vichaa wengi hupandwa na vichaa au vifafa vyao!!

Theory yako sidhani kama ni ya kuamini sana, kupwa na kujaa kwa bahari hutokea kila siku, hakusubiri mwezi uandamane, lakini kuwehuka kwa watu huendana na mwandamo
 
Back
Top Bottom