Jinsi mwanamke anayejiuza alivyogeuka kuwa wife material

Ugm bin champion

JF-Expert Member
Dec 11, 2018
2,151
5,659
TAWILEEE HUMU NDANI!!...Habari za muda huu wana JF, mim s mgeni Jf bt ni kijana mkongwe , na sijawahi kupost chochote zaid ya kukoment ktk majukwaa mbalimbali JF, hususan jukwaa la siasa, great thinkers, jamii intelligence na MMU.

Sasa ktk pitapita zangu jukwaa hil kwa kipind kirefu bila kupost kitu kama wenzang mfanyavyo nkaamua nije na kastori kakusisimua ambako nimekatoa kwa rafika angu aliyepitia changamoto ktk mahusiano na kuamua kujiingiza ktk penzi la dadapoa(changudoa/kahaba), il kufupisha stori hii nitapenda nieleze kiufupi tuu ilikuwaje mpka nmeleta stori hii.

Ni stori kama nilivyosema ambayo inayomuhusu kijana wa kawaida mwenye makazi yake Mkoani Dodoma, naomba jina lake nilistiri,kulinda heshima yake na jamii inayomzunguka,

Mwanzo:-
Mnamo mwaka 2019 huyu jamaa yangu s unajua tena harakat za vijna kupambania changamoto za mapenzi,na kubadirisha badrsha wanawake ili kukidhi tamaa, basi siku moja akiwa ktk pitapita mitandaoni akiperuzi na kufanya mawindo ya totoz mpya akaona malaya mmoja kaweka pozi la kimahaba na mitego ya kila aina, kusema kwel hyu rafik anasema kuwa alidatishwa na mapozi ya huyo dem, bas aliamua kuiscrean shoot ile picha ya yule mrembo, na kuisubmeet kwa dalari wa totoz,

Naposema darali wa totoz najua ma born town tunaelewana sana, yaan wale wadada ambao nao ni miongoni mwa malaya wanaojihusisha na kufanya connection za totoz(malaya) kila sehem na kila aina ya dem unaemtaka,kila shape na rangi pia,kikubwa pesa yako tu, sasa jamaa angu akaichukua ile picha kwa mujibu wake anasema alichodatishwa na ile picha ni staili za yule dem ktk kuishughurikia koni ya mwanaume kwa kila style.
Sasa kwakuwa huyu rafiki ni mzoefu wa hizi mambo za connection na anajuana na madalali wengi, akamuibukia malaya mmoja aishie jijin Dar es salaam, na kumpa details za huyo dem il kama inawezekana kumpta jamaa ajitafunie mbususu,

Jamaa alifanikiwa kumtafuta yule dalali na kumpa details zote lkn bahat mbaya ama tuseme nzur aikuwezekana kumpata yule malaya wa kwenye picha maana kwa taharifa kutoka kwa dalal,huyo malaya alkuwa si mtanzania na ni mkazi wa nigeria huko, kwaiyo suala la kumpata asari wa jamaa likaishia hapo, ila dalali huyo kwa jina ili kumstiri nimbatize Aisha matotozi,

Aisha matotoz au waweza kumuita aisha maconnection, aliamua kumshaur jamaa kama anaukwasi sana wa kutafuna mbususu na kumpata mrembo wa kumdatisha basi kuna dada mmoja ambaye ni mpya ktk mission hizo za kuuza uchi, yaan hana muda mrefu ktk kazi,lkn ni hodari na ana heshima zake ukiachilia mbali ukahaba anaofanya, basi aisha matotoz alimwagia sifa huyo dada ambaye nae kumstir wacha nimpe jina la mariam, Masi kwakuwa jamaa alilewa na sifa za aisha makonekisheni akaamua kukubal hiyo connection mpya ya mlMarium.

Jamaa anasema kuwa aikupita muda mrefu tangu awasiliane na dalali, jioni yake akapigiwa simu kwa nmba ngeni maana mawasiliano ya dalal alikuwa nayo kitambo sana kwakuw si mgen ktk suala la kusafilisha vipochi manyoya, bas simu ilipokelewa kwa sauti nyororo, sauti tam ya kumtoa chatu pangoni, sauti ya mahaba, sauti yenye radha ya mwanadada kutoka mikoa ya Pwani na Zanzibar, basi sauti ile ilojitambulisha kwa ufasaha kuwa yey ni mgawa huduma za utamu na kapewa namba na kiongozi wao ambaye ndye yule dalal aisha matotoz.

Jamaa anasema kuwa hakuwa na muda wakuuliza sana maana kwakuitafakar tu ile saut alishadata na uku chini abdala kichwa wazi akishaanza kukamata mawimbi na kusimama kidete, bas saut ile baada ya kutoa taharifa na kukubaliwa na mteja ambaye ni huyu mshikaj wangu, wakakubaliana kama jamaa atakuwa tyr kwa huduma ya live sex kupitia wasap vedio call au kutumiwa vdeo za uchi kumuonesha mariam akijichezea nyeti zake, au huduma ya pili ni kumsafirisha mariam akachezeshwe ndomboro na abdala kichwa wazi wa huyu mshikaji wangu, jamaa kwa taarifa zake anadai kuwa shida yake aikuwa kuona nyeti bali ni kuzichezea izo nyeti na kuzipelekea moto kwel kweli, bas wakakubaliana, jamaa anasema kuwa hata ile hofu ya kutuma nauli na malipo ya mtoto haikuwa kaz maana akili zlikwsha amia chini na akili za juu zikawa likizo, bila woga wala hofu jamaa alichukuwa nmba za yule marium na kwenda kwa wakala kutuma naul na malipo nusu kabla ya huduma kufika mlangoni, kumbuka kuwa huyu jamaa angu ni kijana na mjasiliamali hapo jijin dodoma kwahiyo vijisenti kwake haikuwa tatizo sana, hivyo kusafirisha mbususu haikuwa noma sana,.

Anakwambia baada ya siku3 alipigiwa tena simu kuwa ajiandae na ugeni, ugeni ambao ungekuja kumpa raha kwa makubaliano ya kumuhudumia kwa siku3 mfululzo yaan ni mwendo wa kupika na kupakuwa ukisimama imo ukiinuka imoo, ni mwendo wa anachukuwa anaweka Waaah!!

Basi siku ya ijumaa kwa makubaliano ilikuwa ndyo zigo la Marium linatinga jijin kuja kucheza show, mida ya jion jamaa alipigiwa simu na mtoa huduma wake kuwa keshafka stend hivyo jama aje kumchukua, unaambiwa kuwa siku zote hizo jamaa akili iliyokuwa inafanya kazi n ile ya chini tu, hivyo hakuona kazi kutoa pesa mfukon na kukodi tex tokea mjini mpka maeneo yalipokua stend ya mabasi ya zaman ya dodm pale jamatini mpka maeneo ya kisasa majengo mapya,

Jamaa alipofika stend kwa kudirectiwa na mtowa huduma wake eneo la kukutana ikawa nje kidogo ya stend karibia na kimbinyiko bus station, jamaa alipofika ktk kuangaza angaza macho, simu yake ikaita kuashiria kuwa mtoa huduma yu eneo hilo, ktk kupokea na kuangaza macho jamaa anakwambia kuwa alifanikiwa kugonganisha macho na #chomboo haswaa na ktk tafuna tafuna yake ya pisi tokea aanze hakuwai wala hakufilia kuwa atakuja kupata pisi Kali kama ile alio iona mbele ya macho yake, na ktk kujiridhisha zaid akajiakikishia kwa kuuliza ''NDIO WEWE?" sauti pole na nadhifu ikamjibu ndyo mimi, bas jmaa hata akupoteza muda akampokea mgen wake na kumuingiza ktk tex ambapo ndan ya safar yao jamaa mapigo ya moyo yalkuwa juu sana, anakwambia mapigo hayakuwa juu sabbu ya woga, bal ni ile hali ya kukutana na uschotegemea, maana hata picha alzokuwa akitumiwa uko wasap zilikuwa azilingani na real appearance, kiufupi mtot marium aliwaka sana, basi maongez yalikuwa mafup ndan ya gar, ambapo walipitia maeneo ya emaus mpka black office na kuingia ktk loji ya twilight ambapo anasema alimleta huyo mtoa hudama maeneo hayo tofaut na mageton ili kulinda heshima ya kitaa si unajua tena maneno ya waswahil!!,

Bas jamaa aliagiza vyakula na vinywaji il kupoza njaa na uchovu wa safar ya mtoa huduma wake, anasema kuwa siku hiyo ilkuwa tofaut sana maana kupata mnofu ukiwa na njaa msosi unanoga..siku hiyo anadai kuwa show ilinoga kwa kupata huduma, na zilpotimia zile siku walzokubaliana jamaa kwakua alilewa na kudatishwa na uzur wa mrembo huyo,kuanzia muonekano&shape, sauti tam na jinsi mtoa huduma wake alivyojua kucheza na hisia za jamaa ikiwa ni pamj na kujua jinsi ya kumpagawish mwanaume rijali, pia upole wake ambapo mtoa huduma wa jamaa alionekana kuwa wa tofaut na wale watoa huduma wengine waliojar maslahi yao tu, pia kujawa tamaa bla kumjari mteja kama karidhika au,lkn kwa upande wa marium ilkuwa tofaut sana maana aljua kumjari mteja kwa kila namna.

Jamaa anasema kuwa alijitahid saana kumshawish mamu mtoa huduma ili abaki lkn ilkuwa ngum, japo jamaa alitaka kuongeza dau ili mtot abaki, ikawa ngumu kwa kile marium alchodai kuwa alkuja dodoma kwa makubaliano ya kutoa huduma kwa siku3 na sio zaid, aljuwa kushikilia msimaso kitendo klchomshangaza mshikaji yang, how come mtu aliyefuata pesa akatae pesa za ziada? kitendo hiki kilmpa maswali na kuamua kumdadisi huyu mtoa huduma, lkn majbu yake ikawa kaz ilyomleta imeisha na kila mtu afuate mambo yake bila kumuingilia mwnzake, kwa jmaa ilkuwa ngum kuruhus mtot mzur asepe kiurahis, ukifikilia hata yule mrembo wa kwenye picha hakufikia hata robo ya uzur wa huyu mamu mtoa huduma.

Kwakuwa jmaa alizdisha usumbufu wa udadisi kwa huyu malaya ,alipewa nyongeza ya siku1, na baada ya siku ya makubaliano kuisha, jmaa alishangaa mtot mapema sana kaamkana kujiandaa kusepa, kitu hiki kilmstua jmaa kwan walkubaliana mtoa huduma angesepa mchna na mabus ya mchna kurud dar, lkn ikawa tofaut, bas kwa udadis mwingine mamu mtoa huduma aliamua kumpa ukwel wa maisha yake ikawa hiv

Marium anasema kuwa yeye alizaliwa ktk familia zinazojiweza sna, lkn baada ya kufiwa na mzaz wake wakiume yaani baba, maisha yao yalibadrka sana yakawa ya tabu, kula kulala kwa taabu, kusoma kwa taabu, ilfika wakat Hata afya ya mama yake mzaz ambaye ndye alikuwa anamuhudumia na kumsomesha alipata ugonjwa na kulazwa hosptalin jambo lililopelekea mamu kumkosa msaidiz wa elimu yake, bas aliamua kuacha chuo alchokuwa akisoma kwa kudunduliza vijipesa, na baada ya kuacha chuo aliamua kurud nyumbn kumuuguza mama yake baada ya kutolewa hospital kwa kukosa pesa ya matibabu, lkn maisha yalpozid kuwa magumu mamu aliuza kila kitu alchokuwa akimilik ikiwepo simu yake, na baazi ya nguo zake il kujikimu kimaisha na kumsaidia mama yake kununua dawa za kupooza maumivu

Anakwambia kuwa maisha yalivyozid kukaza aliamua kujiingiza ktk makund maovu ambay yalpelekea yeye kuanza biashara ya kuuza mwil baada ya kukutana na Aisha dalali wa mbususu, anasema kuwa japo alijiingiza ktk biashara ya kujiuza lkn haikubadr yeye kuwa na msimamo, pia haikubad yeye kujishushia heshima kwa kuuza maumbile kinyume, lkn aliheshim biashara yake pia wateja wake na makubaliano pasipo kumuuzi mtu, na lengo lake lilkuwa kumsaidia mama yake kupata pesa ya matibabu, lkn kwa baat mbya mwak 2017 alipata mimba ambayo hata yeye hakujua imetoka kwa nan, na alijarbu kuficha siri kwa mama yake kwa kumdanganya kuwa anafanya kazi za ndan yaan kufua nguo, kufanya usafi na vijikaz vidog vdogo.

Sasa baada ya kupata ujauzito usiokuwa na baba, kitendo hiki kilipunguza nguvu kaz yake, kwan aliamua kupumzika kwa muda mpka alpojifungua mtot wa kiume asyejulkan wa baba yupi, na baada ya muda biashara ya ukahaba ikirudi kwa kasi ya kimbunga ili kufidia muda aliopumzika, safar hii alijikita na biashara mtandao kupitia madalari na bosi wake alikuwa ni aisha wa manyapunyapu au aisha maconnection, anakwambia kuwa walifungua magroup wasap na telegram ambayo yalijikita na kufanya matangazo ya mbususu na kutuma picha za nyuchi zao kwa wateje waliopenda tu kuziona bila kugegeda, yaan wateja wa mbali, pia kulkuwa na wateja wa video calls ambao walipiga kwa lengo la kusisimuliwa uku wakitoa order kwa mtoa huduma ajishike na kujichezea kiungo fulan, mpka pale pesa ya mteja itakapoisha, kazi hii ilidumu mpka pale Mariam alpopata connection ya kutuma uchi mkoani, kwake ilkuwa ni jambo geni kusafirisha kipochi manyoya nje ya jiji la dar, maana alijikita na wateja wa ndani tuu, anasema kuwa ilikuwa ngumu kukubali maana alijari usalama wake, lkn altolewa wasiwasi na aisha maconnection maana alimjua vzr huyu kijana mtaka huduma kwakuwa alkuwa s mteja mgeni wa kutoa order na uaminifu ktk malipo, naiyo ndyo ilkuwa shory story ya maisha ya mamu mtoa huduma.

Jamaa anasema alifazaika sana na stori hiyo hata hamu ya kuendelea kumtafuna ilikata gafla, aliingiwa na huruma ya kutaka kumsaidia mamu,.lkn mamu alkuwa mkal na kudai kuwa haitaj msaada maana alichokifuata kimetimia na kudai kuwa kama jamaa atataka utamu basi angetaftiwa mrembo mwngne aje ampe kampani kwa niaba ya mamu, basi mamu aliamka na kukusanya vyake il kuondoka, jmaa kwa uruma aliamua kumpa kiasi fulan mamu ambacho kingemsaidia kupunguza makali ya maisha uko aendako, lknn unaambiwa chaajabu shukrani ya mamu ikawa kumpa nyapu tena kama kipoozeo cha fasta il aondoke, lkn jamaa kwakua alishajua shida za bint huyu, aliamua kukataa na kumwambia kuwa ''malaya na watoa huduma za uchi wasifikili kuwa kila malipo ama shukran ya jambo zuri kwa mwanaume ni sex tu, hapana hiyo si shukran wala malipo ya mwsho kwa mwanaume, bali moyo wako wa shukran ya Neno asante tuuu, nasio kutoa mwili wake kama shukran", jamaa alielewa nn kinamkumba huyu bnt mpka kuaribika saikolojia ya kuzan kuwa wanaume wanachokitaka kwa mwanamke ni uchi tuu, bal kuna vya ziada mbali na ngono, majibu haya yalimpa moyo mamu na kuona nae kakutana na mteja wa ajabu kidog, bas waliagana baada ya jamaa kumpeleka stend mtoa huduma wake.

..Unaambiwa jamaa tangu aonje penzi la mamu, alikuwa na mawazo mengi pia alijishangaa kuanza kumpenda malaya na muuza uchi maana akuwai kupemda mwanamke wa aina hiyo zaid ya kutolea haja zake tu, lkn kwa mamu ikawa ngumu sana , kila siku mawazo yakimjia na kumkumbusha kutaka kumtafta, bas jamaa uzalendo ulimshinda na kuamua kumpigia kwanza dalali wake kama kawaida maana ndye alionekana akitia neno kwa mamu anaelewa, kulko yeye kumjia direct mamu kuwa anamuhitaj tena, jamaa almtaft dalal wake na kumwagia kila sifa nzur kumpambia dalali kwa kumletea huduma nzur na safi, kiukwel hata majibu ya dalal yalionekana kujua nn jamaa anataka maana mamu alisifika sana kwa huduma zake zlizojali muda, malipo halali, usafi, na bidii pia heshima, kitu hiki kilimpa sifa nzur mamu ktk biashara yake, hivo hata simu ya jamaa kwa aisha maconnection ilijulkna inataka nyongeza, lkn majibu ya Aisha yalimuumiza jamaa kwa kuambiwa kuwa mamu kamkimbiza mzaz wake hospital baada ya presha kupanda , hivy mamu asingeweza kutoa huduma, lbda kama angehitaj ataftiwe mrembo mwngine, majbu haya yakimkatisha tamaa jmaa, na kuamua kuaga bila kuagiza mbususu mpya,

Jamaa anasema kuwa siku zlvyozd kwenda kasi, mapigo yake ya moyo yalkuwa yakienda mbio kila alipomuwaza mamu, gafla upendo ulizd kukuwa kwa mamu bila kujar anajihusha na nn, hapo ndipo jamaa aliamua kujitoa kimaso maso na kumpigia sim mamu, lakni kwa bahati mbya smu haikuwa ikipatikana, hivy jamaa alkuwa akipata notification za nn kinaendelea kwa mamu kupitia huyu dalali wetu wa mbususu za Dar.

Jamaa anasema kuwa alijarbu kumuweka wazi dalal kuwa jamaa keshampenda mamu na yupo tyr kumsaidia kwa kile kinachomkumba mamu, majibu ya dalal yalkuwa hivi ''kama uko tyr kubeba mzigo basi huna budi kuvalia njuga na kuja huku il kumueleza wazi mrembo mamu,ikiwa ni pamoja na kumsaidia kwa kidogo alichonacho il afya ya mama yake itengamae maana mama yake ndiyo ndugu wapekee aliyebaki nae mamu mbali na mtot asiye na baba, hivy mama yake mamu alikuwa tegemeo na faraja licha ya kukutana na changamoto nying za kimaisha".

Jamaa anaema kuwa hawa malaya kiukwel walikuwa na ushaur mzur bila kujari kaz zao lkn walikuwa na utu ambao pengine hata wale wanawake tunaowaheshimu mitaan na washika dini wasingefikia kiwango cha utu walionao hawa makahaba wauza miili, basi jamaa anasema hata yeye ajui akil ilihamia wapi, tangu akutane na mamu basi akil yake imekuwa ikmfikilia sana na kumjari, hivy jamaa aliamua kufunga safar mpka jijin Dar, ambako alfikia kwa kaka yake, so akajishikiza hapo uku akisubil appointment yake na mamu.

Basi baada ya simu nying na usumbufu wake kwa dalal jamaa alifanikiwa kukutanishwa na mamu, lkn cha ajabu alshangaa msimamo wa mamu maana alijua pengine ingekuwa mserereko kumpata mamu kwa kujilengesha, kumbe mamu nje ya biashara yake alijiheshimu na kumwambia jamaa kama yupo tyr kwa huduma atafte gest atapewa utam na mwsho kila mtu asepe kivyak, lkn jamaa anasema mpka kufika hapo dar ilkuwa kudumisha mausiano ikiwa ni pamoja na kumuweka ndan mamu akiwa kama mke, majibu ya mamu kwa jamaa yalikuwa mabaya sana maana mamu alisema ''hana muda wa ndoa na wala hatarajii kuolewa kwakuwa ameshajichafua na kuharbu cv yake, hvyo haoni maana kuja kuchafua pia maisha ya mwanaume mwngne kwa kuleta picha mbaya kuwa jamaa kaowa kahaba, pia mamu aladai kuwa haamini kama jamaa kampenda labda anataka tu kumtumia na kumterekeza kama kawaida ya wanaume",

Jamaa hakukubal kurud ddoma kishamba hivyo bla mafanikio, alizid kujibana kwa nduguye hapo dar mpk akipofanikiwa kuktana tena na daral aisha maconnection il kupata mbinu ya kumnasa mrembo mamu, bas ushaur wa dalal kwa jamaa ulkuwa hivi ''kama kakubal boga basi akubali na mauwa yake ikiwa pamoja na kubeba shida za mamu", ambapo jamaa alishauriwa kwenda hospital alipolzwa mama wa mamu kisiri kama msamalia mwema ambpo angekwenda kujiandikisha huko na kuchangia chochote kitu kwa matibabu ya mama wa mamu huko, kitendo hiki kwakuwa mamu anampenda mama yake bas hata jamaa akifanya hiki ajue kuwa ameugusa moyo wa mamu, hivo ingekuwa rahisi yeye kumuingia moyoni bint mamu, jamaa aliona hapa si ndyo penyew kama nlvokueleza huyu mshikaj kwa visent si haba sana hivyo hata kujitoa kwake ikawa kitu rahis, ambapo alifanyia kaz ushaur wa aisha maconnection kwakufanya kama alvyo shauriwa kisha kuacha mawasiliano huko hospital il kama mtu ataitaji kumjua sponsor wa mama wa mamu amjue ni jamaa,

Anakwambia kuwa ilkuwa mida ya jion akiwa kajipumzisha kwa braza akicheki mechi, gafla simu yake iliita, kucheki ni namba ya mamu......moyo ukadunda kidogo, alpoipokea tu vilio vilisikika tokea kwa mamu huku lawama za mamu zikisema ''kwanii jamaa kaamua kuubeba mzigo wa mamu?",, na hapa ndpo penzi likazaliwa kati ya mshikaj wangu na mamu, tangu hapo mapenz yalitawala mpka siku jamaa anarud dodoma alisindikizwa na kundi la malaya wakiwa na zawadi lukuki kwa jamaa kwa moyo wa utu aliouonesha kwa mwanachama mwenzao wa kutoa huduma...

Ni miaka 3 sasa imepita tangu jamaa aopoe chombo huko insta, na mpka sasa wamefanikiwa kufunga ndoa ya kiserkal na kupata mtot wakike na maisha yanasonga mbele, afya ya mama mamu imerud upyaaa mjukuu asiye na baba sasa kapata baba ambaye ndy jamaa alieamua kumfanya huyu mtoto kuwa mwanae na ndoa imejawa furaha zaidi ya wale walokole na wauza sura makanisani.

NATOA ushuhuda huu kwa ruhusa ya rafiki yangu ambaye tulidumu nae ktk urafk kwa kipnd kirefu tangu sekondary mpka hiv leo napo waletea hii thread ndefu, ilyojaa visa na mikasa inayoikumba jamii zetu, huu mkasa umeugusa sana moyo wangu mpka nilpokubal kuuleta ushuhuda huu jukwaani, napenda wote mjifunze kitu kupitia uzi huu..Asanteni na pole kwa kuisoma...
d26e87013042a851b4f7e912dcb3eb7e.jpg

View attachment 1879209
 
Ukimpata ukampa hifadhi ya kudumu wanajuwa sana kuishi na mume. Kuna mmoja nipo naye lakini siku anayokuwepo mjengoni kuanzia Asubuhi mpaka anaondoka natamani aendelee kuwepo tu asiondoke ila mazingira yangu ya kazi hayaniruhusu tu kwa sasa kuwa na mtu wa kudumu. Malaya wanatamani Sana nafasi ya mkeo na wakati huo mkeo anakuchukulia poa Sana.
 
Sometimes bora malaya unayemjua kuliko usiyemjua,japokuwa probability ya kutulia ndoani inaweza kuwa ndogo.

Nakumbuka nyuma wakatu tupo msingi, kuna mdada mmoja alikuwa malaya mara nyingi mida ya mchana anashinda kwenye mabanda ya video, jioni anaelekea buguruni. Sura yake ya kawaida ila alikuwa ana bonge la shepu,kwao yupo na mama yake na mama yake kazi yake muuza maandazi, yy ndiye alikuwa anailisha familia,kwa kifupi hata yy ile biashara hakukubaliana nayo.

Basi kuna kipindi huko anapojiuza alimpata jamaa akatokea kumpenda, jamaa akabeba majukumu na akampa na mimba,ila baadaye kipindi anajifungua, ikagundulika ana HIV, ile hali haku kubaliana nayo kwani kipindi hiko bado hata madawa ya kufubaza sio kivile,halafu unyanyapaa ulikuwa mwingi.

Baada ya mda sababu hali ile hakukubaliana plus stress, alivuta. Ila alikuwa mzuri sana Black beauty,guu la maana, mipaja na ule mshepu ,alikuwa akiingia mabanda ya video anajiachia, sie tena tunakula chabo.
 
Hiyo pisi naijua alikuwa ni admin kwenye group moja hivi la Makahaba la Telegram, majina yake mawili yanaanzia na herufi M. Ameuza sana papuchi na mimi ni mmoja wa wateja wake wakubwa, hakuna mkoa ambao hajatembea Bongo hii kuuza papuchi. Sifa yake kubwa ni mtaalam sana kwa kula koni yaani ni very professional kwenye idara hiyo, huwa anatumia pipi kifua pindi anakula Koni na kuizungusha kwa madaha ulimi wake. Kwa Dar es salaam alikuwa anaishi Mburahati, ana mtoto mmoja mimi aliniambia huyo mtoto mimba alipewa na ustadhi mmoja na aliikataa ujauzito.

Mama yake mzazi anajua kazi ya mwanae na anasapot nilikuja kugundua siku nipo kifuani mama yake amepiga simu akanistopisha ku-pump akawa anaongea nae halafu akamwambia nina mteja tutaongea vizuri baadae mama. Nimemjua kama ni yeye maana simulizi yako inaendana na huyo na pia yeye alishatuaga wateja zake kuwa anaaacha hii biashara ameamua kuolewa.

Namba zake za simu, picha zake hadi video zake ninazo. Anamiliki saloon Mbutahati ambayo kwa sasa inasimamiwa na mama yake.
 
Hiyo pisi naijua alikuwa ni admin kwenye group moja hivi la Makahaba la Telegram, majina yake mawili yanaanzia na herufi M. Ameuza sana papuchi na mimi ni mmoja wa wateja wake wakubwa, hakuna mkoa ambao hajatembea Bongo hii kuuza papuchi. Sifa yake kubwa ni mtaalam sana kwa kula koni
Asee we ni mtoboa siri kama jina lako
 
TAWILEEE HUMU NDANI!!...Habari za muda huu wana JF, mim s mgeni Jf bt ni kijana mkongwe , na sijawahi kupost chochote zaid ya kukoment ktk majukwaa mbalimbali JF, hususan jukwaa la siasa, great thinkers, jamii intelligence na MMU.

Sasa ktk pitapita zangu jukwaa hil kwa kipind kirefu bila kupost kitu kama wenzang mfanyavyo nkaamua nije na kastori kakusisimua ambako nimekatoa kwa rafika angu aliyepitia changamoto ktk mahusiano na kuamua kujiingiza ktk penzi la dadapoa(changudoa/kahaba), il kufupisha stori hii nitapenda nieleze kiufupi tuu ilikuwaje mpka nmeleta stori hii.

Ni stori kama nilivyosema ambayo inayomuhusu kijana wa kawaida mwenye makazi yake Mkoani Dodoma, naomba jina lake nilistiri,kulinda heshima yake na jamii inayomzunguka,

Mwanzo:-
Mnamo mwaka 2019 huyu jamaa yangu s unajua tena harakat za vijna kupambania changamoto za mapenzi,na kubadirisha badrsha wanawake ili kukidhi tamaa, basi siku moja akiwa ktk pitapita mitandaoni akiperuzi na kufanya mawindo ya totoz mpya akaona malaya mmoja kaweka pozi la kimahaba na mitego ya kila aina, kusema kwel hyu rafik anasema kuwa alidatishwa na mapozi ya huyo dem, bas aliamua kuiscrean shoot ile picha ya yule mrembo, na kuisubmeet kwa dalari wa totoz,

Naposema darali wa totoz najua ma born town tunaelewana sana, yaan wale wadada ambao nao ni miongoni mwa malaya wanaojihusisha na kufanya connection za totoz(malaya) kila sehem na kila aina ya dem unaemtaka,kila shape na rangi pia,kikubwa pesa yako tu, sasa jamaa angu akaichukua ile picha kwa mujibu wake anasema alichodatishwa na ile picha ni staili za yule dem ktk kuishughurikia koni ya mwanaume kwa kila style.
Sasa kwakuwa huyu rafiki ni mzoefu wa hizi mambo za connection na anajuana na madalali wengi, akamuibukia malaya mmoja aishie jijin Dar es salaam, na kumpa details za huyo dem il kama inawezekana kumpta jamaa ajitafunie mbususu,

Jamaa alifanikiwa kumtafuta yule dalali na kumpa details zote lkn bahat mbaya ama tuseme nzur aikuwezekana kumpata yule malaya wa kwenye picha maana kwa taharifa kutoka kwa dalal,huyo malaya alkuwa si mtanzania na ni mkazi wa nigeria huko, kwaiyo suala la kumpata asari wa jamaa likaishia hapo, ila dalali huyo kwa jina ili kumstiri nimbatize Aisha matotozi,

Aisha matotoz au waweza kumuita aisha maconnection, aliamua kumshaur jamaa kama anaukwasi sana wa kutafuna mbususu na kumpata mrembo wa kumdatisha basi kuna dada mmoja ambaye ni mpya ktk mission hizo za kuuza uchi, yaan hana muda mrefu ktk kazi,lkn ni hodari na ana heshima zake ukiachilia mbali ukahaba anaofanya, basi aisha matotoz alimwagia sifa huyo dada ambaye nae kumstir wacha nimpe jina la mariam, Masi kwakuwa jamaa alilewa na sifa za aisha makonekisheni akaamua kukubal hiyo connection mpya ya mlMarium.

Jamaa anasema kuwa aikupita muda mrefu tangu awasiliane na dalali, jioni yake akapigiwa simu kwa nmba ngeni maana mawasiliano ya dalal alikuwa nayo kitambo sana kwakuw si mgen ktk suala la kusafilisha vipochi manyoya, bas simu ilipokelewa kwa sauti nyororo, sauti tam ya kumtoa chatu pangoni, sauti ya mahaba, sauti yenye radha ya mwanadada kutoka mikoa ya Pwani na Zanzibar, basi sauti ile ilojitambulisha kwa ufasaha kuwa yey ni mgawa huduma za utamu na kapewa namba na kiongozi wao ambaye ndye yule dalal aisha matotoz.

Jamaa anasema kuwa hakuwa na muda wakuuliza sana maana kwakuitafakar tu ile saut alishadata na uku chini abdala kichwa wazi akishaanza kukamata mawimbi na kusimama kidete, bas saut ile baada ya kutoa taharifa na kukubaliwa na mteja ambaye ni huyu mshikaj wangu, wakakubaliana kama jamaa atakuwa tyr kwa huduma ya live sex kupitia wasap vedio call au kutumiwa vdeo za uchi kumuonesha mariam akijichezea nyeti zake, au huduma ya pili ni kumsafirisha mariam akachezeshwe ndomboro na abdala kichwa wazi wa huyu mshikaji wangu, jamaa kwa taarifa zake anadai kuwa shida yake aikuwa kuona nyeti bali ni kuzichezea izo nyeti na kuzipelekea moto kwel kweli, bas wakakubaliana, jamaa anasema kuwa hata ile hofu ya kutuma nauli na malipo ya mtoto haikuwa kaz maana akili zlikwsha amia chini na akili za juu zikawa likizo, bila woga wala hofu jamaa alichukuwa nmba za yule marium na kwenda kwa wakala kutuma naul na malipo nusu kabla ya huduma kufika mlangoni, kumbuka kuwa huyu jamaa angu ni kijana na mjasiliamali hapo jijin dodoma kwahiyo vijisenti kwake haikuwa tatizo sana, hivyo kusafirisha mbususu haikuwa noma sana,.

Anakwambia baada ya siku3 alipigiwa tena simu kuwa ajiandae na ugeni, ugeni ambao ungekuja kumpa raha kwa makubaliano ya kumuhudumia kwa siku3 mfululzo yaan ni mwendo wa kupika na kupakuwa ukisimama imo ukiinuka imoo, ni mwendo wa anachukuwa anaweka Waaah!!

Basi siku ya ijumaa kwa makubaliano ilikuwa ndyo zigo la Marium linatinga jijin kuja kucheza show, mida ya jion jamaa alipigiwa simu na mtoa huduma wake kuwa keshafka stend hivyo jama aje kumchukua, unaambiwa kuwa siku zote hizo jamaa akili iliyokuwa inafanya kazi n ile ya chini tu, hivyo hakuona kazi kutoa pesa mfukon na kukodi tex tokea mjini mpka maeneo yalipokua stend ya mabasi ya zaman ya dodm pale jamatini mpka maeneo ya kisasa majengo mapya,

Jamaa alipofika stend kwa kudirectiwa na mtowa huduma wake eneo la kukutana ikawa nje kidogo ya stend karibia na kimbinyiko bus station, jamaa alipofika ktk kuangaza angaza macho, simu yake ikaita kuashiria kuwa mtoa huduma yu eneo hilo, ktk kupokea na kuangaza macho jamaa anakwambia kuwa alifanikiwa kugonganisha macho na #chomboo haswaa na ktk tafuna tafuna yake ya pisi tokea aanze hakuwai wala hakufilia kuwa atakuja kupata pisi Kali kama ile alio iona mbele ya macho yake, na ktk kujiridhisha zaid akajiakikishia kwa kuuliza ''NDIO WEWE?" sauti pole na nadhifu ikamjibu ndyo mimi, bas jmaa hata akupoteza muda akampokea mgen wake na kumuingiza ktk tex ambapo ndan ya safar yao jamaa mapigo ya moyo yalkuwa juu sana, anakwambia mapigo hayakuwa juu sabbu ya woga, bal ni ile hali ya kukutana na uschotegemea, maana hata picha alzokuwa akitumiwa uko wasap zilikuwa azilingani na real appearance, kiufupi mtot marium aliwaka sana, basi maongez yalikuwa mafup ndan ya gar, ambapo walipitia maeneo ya emaus mpka black office na kuingia ktk loji ya twilight ambapo anasema alimleta huyo mtoa hudama maeneo hayo tofaut na mageton ili kulinda heshima ya kitaa si unajua tena maneno ya waswahil!!,

Bas jamaa aliagiza vyakula na vinywaji il kupoza njaa na uchovu wa safar ya mtoa huduma wake, anasema kuwa siku hiyo ilkuwa tofaut sana maana kupata mnofu ukiwa na njaa msosi unanoga..siku hiyo anadai kuwa show ilinoga kwa kupata huduma, na zilpotimia zile siku walzokubaliana jamaa kwakua alilewa na kudatishwa na uzur wa mrembo huyo,kuanzia muonekano&shape, sauti tam na jinsi mtoa huduma wake alivyojua kucheza na hisia za jamaa ikiwa ni pamj na kujua jinsi ya kumpagawish mwanaume rijali, pia upole wake ambapo mtoa huduma wa jamaa alionekana kuwa wa tofaut na wale watoa huduma wengine waliojar maslahi yao tu, pia kujawa tamaa bla kumjari mteja kama karidhika au,lkn kwa upande wa marium ilkuwa tofaut sana maana aljua kumjari mteja kwa kila namna.

Jamaa anasema kuwa alijitahid saana kumshawish mamu mtoa huduma ili abaki lkn ilkuwa ngum, japo jamaa alitaka kuongeza dau ili mtot abaki, ikawa ngumu kwa kile marium alchodai kuwa alkuja dodoma kwa makubaliano ya kutoa huduma kwa siku3 na sio zaid, aljuwa kushikilia msimaso kitendo klchomshangaza mshikaji yang, how come mtu aliyefuata pesa akatae pesa za ziada? kitendo hiki kilmpa maswali na kuamua kumdadisi huyu mtoa huduma, lkn majbu yake ikawa kaz ilyomleta imeisha na kila mtu afuate mambo yake bila kumuingilia mwnzake, kwa jmaa ilkuwa ngum kuruhus mtot mzur asepe kiurahis, ukifikilia hata yule mrembo wa kwenye picha hakufikia hata robo ya uzur wa huyu mamu mtoa huduma.

Kwakuwa jmaa alizdisha usumbufu wa udadisi kwa huyu malaya ,alipewa nyongeza ya siku1, na baada ya siku ya makubaliano kuisha, jmaa alishangaa mtot mapema sana kaamkana kujiandaa kusepa, kitu hiki kilmstua jmaa kwan walkubaliana mtoa huduma angesepa mchna na mabus ya mchna kurud dar, lkn ikawa tofaut, bas kwa udadis mwingine mamu mtoa huduma aliamua kumpa ukwel wa maisha yake ikawa hiv

Marium anasema kuwa yeye alizaliwa ktk familia zinazojiweza sna, lkn baada ya kufiwa na mzaz wake wakiume yaani baba, maisha yao yalibadrka sana yakawa ya tabu, kula kulala kwa taabu, kusoma kwa taabu, ilfika wakat Hata afya ya mama yake mzaz ambaye ndye alikuwa anamuhudumia na kumsomesha alipata ugonjwa na kulazwa hosptalin jambo lililopelekea mamu kumkosa msaidiz wa elimu yake, bas aliamua kuacha chuo alchokuwa akisoma kwa kudunduliza vijipesa, na baada ya kuacha chuo aliamua kurud nyumbn kumuuguza mama yake baada ya kutolewa hospital kwa kukosa pesa ya matibabu, lkn maisha yalpozid kuwa magumu mamu aliuza kila kitu alchokuwa akimilik ikiwepo simu yake, na baazi ya nguo zake il kujikimu kimaisha na kumsaidia mama yake kununua dawa za kupooza maumivu

Anakwambia kuwa maisha yalivyozid kukaza aliamua kujiingiza ktk makund maovu ambay yalpelekea yeye kuanza biashara ya kuuza mwil baada ya kukutana na Aisha dalali wa mbususu, anasema kuwa japo alijiingiza ktk biashara ya kujiuza lkn haikubadr yeye kuwa na msimamo, pia haikubad yeye kujishushia heshima kwa kuuza maumbile kinyume, lkn aliheshim biashara yake pia wateja wake na makubaliano pasipo kumuuzi mtu, na lengo lake lilkuwa kumsaidia mama yake kupata pesa ya matibabu, lkn kwa baat mbya mwak 2017 alipata mimba ambayo hata yeye hakujua imetoka kwa nan, na alijarbu kuficha siri kwa mama yake kwa kumdanganya kuwa anafanya kazi za ndan yaan kufua nguo, kufanya usafi na vijikaz vidog vdogo.

Sasa baada ya kupata ujauzito usiokuwa na baba, kitendo hiki kilipunguza nguvu kaz yake, kwan aliamua kupumzika kwa muda mpka alpojifungua mtot wa kiume asyejulkan wa baba yupi, na baada ya muda biashara ya ukahaba ikirudi kwa kasi ya kimbunga ili kufidia muda aliopumzika, safar hii alijikita na biashara mtandao kupitia madalari na bosi wake alikuwa ni aisha wa manyapunyapu au aisha maconnection, anakwambia kuwa walifungua magroup wasap na telegram ambayo yalijikita na kufanya matangazo ya mbususu na kutuma picha za nyuchi zao kwa wateje waliopenda tu kuziona bila kugegeda, yaan wateja wa mbali, pia kulkuwa na wateja wa video calls ambao walipiga kwa lengo la kusisimuliwa uku wakitoa order kwa mtoa huduma ajishike na kujichezea kiungo fulan, mpka pale pesa ya mteja itakapoisha, kazi hii ilidumu mpka pale Mariam alpopata connection ya kutuma uchi mkoani, kwake ilkuwa ni jambo geni kusafirisha kipochi manyoya nje ya jiji la dar, maana alijikita na wateja wa ndani tuu, anasema kuwa ilikuwa ngumu kukubali maana alijari usalama wake, lkn altolewa wasiwasi na aisha maconnection maana alimjua vzr huyu kijana mtaka huduma kwakuwa alkuwa s mteja mgeni wa kutoa order na uaminifu ktk malipo, naiyo ndyo ilkuwa shory story ya maisha ya mamu mtoa huduma.

Jamaa anasema alifazaika sana na stori hiyo hata hamu ya kuendelea kumtafuna ilikata gafla, aliingiwa na huruma ya kutaka kumsaidia mamu,.lkn mamu alkuwa mkal na kudai kuwa haitaj msaada maana alichokifuata kimetimia na kudai kuwa kama jamaa atataka utamu basi angetaftiwa mrembo mwngne aje ampe kampani kwa niaba ya mamu, basi mamu aliamka na kukusanya vyake il kuondoka, jmaa kwa uruma aliamua kumpa kiasi fulan mamu ambacho kingemsaidia kupunguza makali ya maisha uko aendako, lknn unaambiwa chaajabu shukrani ya mamu ikawa kumpa nyapu tena kama kipoozeo cha fasta il aondoke, lkn jamaa kwakua alishajua shida za bint huyu, aliamua kukataa na kumwambia kuwa ''malaya na watoa huduma za uchi wasifikili kuwa kila malipo ama shukran ya jambo zuri kwa mwanaume ni sex tu, hapana hiyo si shukran wala malipo ya mwsho kwa mwanaume, bali moyo wako wa shukran ya Neno asante tuuu, nasio kutoa mwili wake kama shukran", jamaa alielewa nn kinamkumba huyu bnt mpka kuaribika saikolojia ya kuzan kuwa wanaume wanachokitaka kwa mwanamke ni uchi tuu, bal kuna vya ziada mbali na ngono, majibu haya yalimpa moyo mamu na kuona nae kakutana na mteja wa ajabu kidog, bas waliagana baada ya jamaa kumpeleka stend mtoa huduma wake.

..Unaambiwa jamaa tangu aonje penzi la mamu, alikuwa na mawazo mengi pia alijishangaa kuanza kumpenda malaya na muuza uchi maana akuwai kupemda mwanamke wa aina hiyo zaid ya kutolea haja zake tu, lkn kwa mamu ikawa ngumu sana , kila siku mawazo yakimjia na kumkumbusha kutaka kumtafta, bas jamaa uzalendo ulimshinda na kuamua kumpigia kwanza dalali wake kama kawaida maana ndye alionekana akitia neno kwa mamu anaelewa, kulko yeye kumjia direct mamu kuwa anamuhitaj tena, jamaa almtaft dalal wake na kumwagia kila sifa nzur kumpambia dalali kwa kumletea huduma nzur na safi, kiukwel hata majibu ya dalal yalionekana kujua nn jamaa anataka maana mamu alisifika sana kwa huduma zake zlizojali muda, malipo halali, usafi, na bidii pia heshima, kitu hiki kilimpa sifa nzur mamu ktk biashara yake, hivo hata simu ya jamaa kwa aisha maconnection ilijulkna inataka nyongeza, lkn majibu ya Aisha yalimuumiza jamaa kwa kuambiwa kuwa mamu kamkimbiza mzaz wake hospital baada ya presha kupanda , hivy mamu asingeweza kutoa huduma, lbda kama angehitaj ataftiwe mrembo mwngine, majbu haya yakimkatisha tamaa jmaa, na kuamua kuaga bila kuagiza mbususu mpya,

Jamaa anasema kuwa siku zlvyozd kwenda kasi, mapigo yake ya moyo yalkuwa yakienda mbio kila alipomuwaza mamu, gafla upendo ulizd kukuwa kwa mamu bila kujar anajihusha na nn, hapo ndipo jamaa aliamua kujitoa kimaso maso na kumpigia sim mamu, lakni kwa bahati mbya smu haikuwa ikipatikana, hivy jamaa alkuwa akipata notification za nn kinaendelea kwa mamu kupitia huyu dalali wetu wa mbususu za Dar.

Jamaa anasema kuwa alijarbu kumuweka wazi dalal kuwa jamaa keshampenda mamu na yupo tyr kumsaidia kwa kile kinachomkumba mamu, majibu ya dalal yalkuwa hivi ''kama uko tyr kubeba mzigo basi huna budi kuvalia njuga na kuja huku il kumueleza wazi mrembo mamu,ikiwa ni pamoja na kumsaidia kwa kidogo alichonacho il afya ya mama yake itengamae maana mama yake ndiyo ndugu wapekee aliyebaki nae mamu mbali na mtot asiye na baba, hivy mama yake mamu alikuwa tegemeo na faraja licha ya kukutana na changamoto nying za kimaisha".

Jamaa anaema kuwa hawa malaya kiukwel walikuwa na ushaur mzur bila kujari kaz zao lkn walikuwa na utu ambao pengine hata wale wanawake tunaowaheshimu mitaan na washika dini wasingefikia kiwango cha utu walionao hawa makahaba wauza miili, basi jamaa anasema hata yeye ajui akil ilihamia wapi, tangu akutane na mamu basi akil yake imekuwa ikmfikilia sana na kumjari, hivy jamaa aliamua kufunga safar mpka jijin Dar, ambako alfikia kwa kaka yake, so akajishikiza hapo uku akisubil appointment yake na mamu.

Basi baada ya simu nying na usumbufu wake kwa dalal jamaa alifanikiwa kukutanishwa na mamu, lkn cha ajabu alshangaa msimamo wa mamu maana alijua pengine ingekuwa mserereko kumpata mamu kwa kujilengesha, kumbe mamu nje ya biashara yake alijiheshimu na kumwambia jamaa kama yupo tyr kwa huduma atafte gest atapewa utam na mwsho kila mtu asepe kivyak, lkn jamaa anasema mpka kufika hapo dar ilkuwa kudumisha mausiano ikiwa ni pamoja na kumuweka ndan mamu akiwa kama mke, majibu ya mamu kwa jamaa yalikuwa mabaya sana maana mamu alisema ''hana muda wa ndoa na wala hatarajii kuolewa kwakuwa ameshajichafua na kuharbu cv yake, hvyo haoni maana kuja kuchafua pia maisha ya mwanaume mwngne kwa kuleta picha mbaya kuwa jamaa kaowa kahaba, pia mamu aladai kuwa haamini kama jamaa kampenda labda anataka tu kumtumia na kumterekeza kama kawaida ya wanaume",

Jamaa hakukubal kurud ddoma kishamba hivyo bla mafanikio, alizid kujibana kwa nduguye hapo dar mpk akipofanikiwa kuktana tena na daral aisha maconnection il kupata mbinu ya kumnasa mrembo mamu, bas ushaur wa dalal kwa jamaa ulkuwa hivi ''kama kakubal boga basi akubali na mauwa yake ikiwa pamoja na kubeba shida za mamu", ambapo jamaa alishauriwa kwenda hospital alipolzwa mama wa mamu kisiri kama msamalia mwema ambpo angekwenda kujiandikisha huko na kuchangia chochote kitu kwa matibabu ya mama wa mamu huko, kitendo hiki kwakuwa mamu anampenda mama yake bas hata jamaa akifanya hiki ajue kuwa ameugusa moyo wa mamu, hivo ingekuwa rahisi yeye kumuingia moyoni bint mamu, jamaa aliona hapa si ndyo penyew kama nlvokueleza huyu mshikaj kwa visent si haba sana hivyo hata kujitoa kwake ikawa kitu rahis, ambapo alifanyia kaz ushaur wa aisha maconnection kwakufanya kama alvyo shauriwa kisha kuacha mawasiliano huko hospital il kama mtu ataitaji kumjua sponsor wa mama wa mamu amjue ni jamaa,

Anakwambia kuwa ilkuwa mida ya jion akiwa kajipumzisha kwa braza akicheki mechi, gafla simu yake iliita, kucheki ni namba ya mamu......moyo ukadunda kidogo, alpoipokea tu vilio vilisikika tokea kwa mamu huku lawama za mamu zikisema ''kwanii jamaa kaamua kuubeba mzigo wa mamu?",, na hapa ndpo penzi likazaliwa kati ya mshikaj wangu na mamu, tangu hapo mapenz yalitawala mpka siku jamaa anarud dodoma alisindikizwa na kundi la malaya wakiwa na zawadi lukuki kwa jamaa kwa moyo wa utu aliouonesha kwa mwanachama mwenzao wa kutoa huduma...

Ni miaka 3 sasa imepita tangu jamaa aopoe chombo huko insta, na mpka sasa wamefanikiwa kufunga ndoa ya kiserkal na kupata mtot wakike na maisha yanasonga mbele, afya ya mama mamu imerud upyaaa mjukuu asiye na baba sasa kapata baba ambaye ndy jamaa alieamua kumfanya huyu mtoto kuwa mwanae na ndoa imejawa furaha zaidi ya wale walokole na wauza sura makanisani.

NATOA ushuhuda huu kwa ruhusa ya rafiki yangu ambaye tulidumu nae ktk urafk kwa kipnd kirefu tangu sekondary mpka hiv leo napo waletea hii thread ndefu, ilyojaa visa na mikasa inayoikumba jamii zetu, huu mkasa umeugusa sana moyo wangu mpka nilpokubal kuuleta ushuhuda huu jukwaani, napenda wote mjifunze kitu kupitia uzi huu..Asanteni na pole kwa kuisoma...
View attachment 1879207
View attachment 1879209
Kuna cha kujifunza hapa
 
Back
Top Bottom