Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,289
- 2,413
Mkuu hii nadharia ya uwekezaji kwenye nyumba za kupangisha sidhani kama ni sahihi kudhani ni ujenzi wa nyumba za kupangisha kama nimemwelewa mtoa mada. Hii ni Real estate business Mr. Bujibuji una nyumba zako tano tunaingia makubaliano ya usimamizi wa upangishwaji wa hizi nyumba kwa kila nyumba ikipata mteja wa kuipangisha napata commission ya 20% per year au nakulipa amount cash per year nakuwa na temporary ownership mi natafuta wapangaji wangu kwa bei nzuri zaidi nakula faida kwa makubaliano kwamba nitafanya improvement ku add value kila mwaka... una viwanja unauza mi navihodhi kwa makubaliano kuwa kila square meter nakupa 75% ya bei natakayo uza au nakupa fixed price mi najua nitauzaje. Hiki ndio nilichoelewa mimi. Sio kujengaTusidanganyane. Practice what you preach. Tuoneshe majumbani yako.
Matapeli wa majumba tumekutana nao Sana.
Soma uzi wangu huu
Jane "Mkenya" na nyumba zao 50
JANE MKENYA NA NYUMBA ZAO Mwaka 2008 nilikutanishwa na Dada Mmoja MKENYA, akiwa na shida na documents flani kwa ajili ya mradi wake. Tulikutana Steers, Mtaa wa Samora na Ohio. Document aliyonitajia ilikuwa ndo mara yangu ya kwanza kuisikia. Nikamuomba anifafanulie. Akaniambia Mumewe ni...www.jamiiforums.com