Jinsi mpya ya kumjaribu rais Magufuli

Travelogue_tz

JF-Expert Member
Sep 28, 2010
848
1,212
Chadema kwa mara kadhaa imeahindwa kuendesha mikutano ya wazi ya kisiasa kwa kile kinachoitwa Ni kumjaribu Mhe. Mtukufu. Nyakati fulani chama cha Upinzani kinapaswa kuwa na mikakati mingi ya kuwafikia wapiga kura aidha kwa kupitia matukio au Vikao.

Kwa sasa zipo fursa ambazo kama chadema wakizitumia wanaweza kuiamsha Serikali usingizini na hivyo kuwanufaisha wananchi walengwa. Mojawapo ni kuanzisha mkakati maalumu wa kuchangia kaya zenye njaa ili ziweze kupata chakula - - - Chadema kwa uhakika wanaweza kupata taarifa juu ya maeneo yenye baa la njaa - - kwa kufanya hivyo mtukufu atakuwa amejaribiwa kimkakati zaidi

Pili ni kuanzisha kampeni maalumu ya kusaidia Wahanga wa Tetemeko ili waweze kumudu kurejesha makazi yako---kwa njia ya Mtukufu atakuwa amejaribiwa kupitia umma - - - - Ni kweli mkakati huu unahitaji fedha - - - Ni ukweli pia kupitia watu, na mikakati fedha inaweza kupatikana.
 
Mbona yote hayo yapo kwenye pipeline....muone Dk.Kashinji tafadhali mubadlishane mawazo itasaidia.
 
Chadema kwa mara kadhaa imeahindwa kuendesha mikutano ya wazi ya kisiasa kwa kile kinachoitwa Ni kumjaribu Mhe. Mtukufu. Nyakati fulani chama cha Upinzani kinapaswa kuwa na mikakati mingi ya kuwafikia wapiga kura aidha kwa kupitia matukio au Vikao. Kwa sasa zipo fursa ambazo kama chadema wakizitumia wanaweza kuiamsha Serikali usingizini na hivyo kuwanufaisha wananchi walengwa. Mojawapo ni kuanzisha mkakati maalumu wa kuchangia kaya zenye njaa ili ziweze kupata chakula - - - Chadema kwa uhakika wanaweza kupata taarifa juu ya maeneo yenye baa la njaa - - kwa kufanya hivyo mtukufu atakuwa amejaribiwa kimkakati zaidi
Pili ni kuanzisha kampeni maalumu ya kusaidia Wahanga wa Tetemeko ili waweze kumudu kurejesha makazi yako---kwa njia ya Mtukufu atakuwa amejaribiwa kupitia umma - - - - Ni kweli mkakati huu unahitaji fedha - - - Ni ukweli pia kupitia watu, na mikakati fedha inaweza kupatikana.
msisahau kuwajengea na wale wa kahama na Kilosa.....
 
kuanzisha kampeni maalumu ya kusaidia Wahanga wa Tetemeko ili waweze kumudu kurejesha makazi yako
Huu utakuwa ni UNAFIKI wa kiwango cha juu kama kweli walikuwa na nia walikuwa wapi siku zote??????Afu isiwe KAGERA tu na kwingneko......

Afu kingne hiki CHAMA akiaminiki na WATANZANIA walio wengi wanaweza FISADI hiyo MICHANGO maana siku HIZI wanalea NA kufuga MAFISADI ya nchi hiii..........Na SI MARA YA KWANZA KWA wao KUENDESHA harambee ndani ya NCHI HII....mwisho wa siku hatujui zilipatiakana kiasi gani na zilitumikaje.......
 
Pendekezo lako umelitoa kwa chama kimoja tu wakati kuna vyama vingi vya upinzani/UKAWA.
 
Huu utakuwa ni UNAFIKI wa kiwango cha juu kama kweli walikuwa na nia walikuwa wapi siku zote????????

Afu kingne hiki CHAMA akiaminiki na WATANZANIA walio wengi wanaweza FISADI hiyo MICHANGO maana siku HIZI wanalea NA kufuga MAFISADI ya nchi hiii..........
nakile chama kingine kina zalisha mafisadi nani zaidi?
 
Mbinu zote hizo zitapigwa stop na sirikali, we hukumbuki juzi juzi tu hapa lwakatare alipigwa stop kukusanya na kuhamasisha uchangiaji wa waathirika jimboni kwake na ikatoka order kwamba yeyoye anayetaka kutoa msaada kusaidia wahanga wa tetemeko apitishe serikalini....
 
Chadema kwa mara kadhaa imeahindwa kuendesha mikutano ya wazi ya kisiasa kwa kile kinachoitwa Ni kumjaribu Mhe. Mtukufu. Nyakati fulani chama cha Upinzani kinapaswa kuwa na mikakati mingi ya kuwafikia wapiga kura aidha kwa kupitia matukio au Vikao. Kwa sasa zipo fursa ambazo kama chadema wakizitumia wanaweza kuiamsha Serikali usingizini na hivyo kuwanufaisha wananchi walengwa. Mojawapo ni kuanzisha mkakati maalumu wa kuchangia kaya zenye njaa ili ziweze kupata chakula - - - Chadema kwa uhakika wanaweza kupata taarifa juu ya maeneo yenye baa la njaa - - kwa kufanya hivyo mtukufu atakuwa amejaribiwa kimkakati zaidi
Pili ni kuanzisha kampeni maalumu ya kusaidia Wahanga wa Tetemeko ili waweze kumudu kurejesha makazi yako---kwa njia ya Mtukufu atakuwa amejaribiwa kupitia umma - - - - Ni kweli mkakati huu unahitaji fedha - - - Ni ukweli pia kupitia watu, na mikakati fedha inaweza kupatikana.
Ndugu Dr Godbless, hayo unayoyawaza kwa chadema ni sawa na kuwaza kupata embe kutoka kwenye mnazi. Kumbuka ahadi walizotoa kwa familia ya marehemu Mawazo. Uliza uliza utekelezaji wake. Chadema niwataalamu wa kutoa matumaini hewa kwa wananchi, ila kwenye utekelezaji wanaingia mitini.
 
Mbinu zote hizo zitapigwa stop na sirikali, we hukumbuki juzi juzi tu hapa lwakatare alipigwa stop kukusanya na kuhamasisha uchangiaji wa waathirika jimboni kwake na ikatoka order kwamba yeyoye anayetaka kutoa msaada kusaidia wahanga wa tetemeko apitishe serikalini....
Mbinu zote hizo zitapigwa stop na sirikali, we hukumbuki juzi juzi tu hapa lwakatare alipigwa stop kukusanya na kuhamasisha uchangiaji wa waathirika jimboni kwake na ikatoka order kwamba yeyoye anayetaka kutoa msaada kusaidia wahanga wa tetemeko apitishe serikalini....
si ameshakataza michango kupitia serikalini,na pia kavunja kamati ya maafa
 
Chadema kwa mara kadhaa imeahindwa kuendesha mikutano ya wazi ya kisiasa kwa kile kinachoitwa Ni kumjaribu Mhe. Mtukufu. Nyakati fulani chama cha Upinzani kinapaswa kuwa na mikakati mingi ya kuwafikia wapiga kura aidha kwa kupitia matukio au Vikao.

Kwa sasa zipo fursa ambazo kama chadema wakizitumia wanaweza kuiamsha Serikali usingizini na hivyo kuwanufaisha wananchi walengwa. Mojawapo ni kuanzisha mkakati maalumu wa kuchangia kaya zenye njaa ili ziweze kupata chakula - - - Chadema kwa uhakika wanaweza kupata taarifa juu ya maeneo yenye baa la njaa - - kwa kufanya hivyo mtukufu atakuwa amejaribiwa kimkakati zaidi

Pili ni kuanzisha kampeni maalumu ya kusaidia Wahanga wa Tetemeko ili waweze kumudu kurejesha makazi yako---kwa njia ya Mtukufu atakuwa amejaribiwa kupitia umma - - - - Ni kweli mkakati huu unahitaji fedha - - - Ni ukweli pia kupitia watu, na mikakati fedha inaweza kupatikana.
Ofisi ya chadema imewashinda for 25 years,

Miaka 25 chama kimepanga kwenye pango la mtei.

Haya ya kujengea nyumba wahanga mtaliweza??
 
Back
Top Bottom