eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,651
- 13,793
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo inategemea na huyu mhusika wa Peace corps alikuwa ana status ipi wakati janga likitokea. Kama gari aliyoendesha ilikuwa na namba za CD, hamna jinsi, wao adhabu kubwa ni kuondolewa nchini tu.
Lkn kwani ulikuwa muda wa kazi??