Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Za kibwegeeeeeeElim zingine bhana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Za kibwegeeeeeeElim zingine bhana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haya mambo yapo long time, wazee wana maarifa...ni hadi waamue kuyatoa.
Haujawahi kukaa mbele ya mama yako ukawa unatikisa mapaja akakukoromea?
Ndo hapo, pia inategemea umevaa nguo ya aina gan na uko wapi. Na mtu unaweza badilisha mikao ili kutafuta balance ukae vzuri
😀😀😀😀🔥🔥
Wewe Sasa ndo umeleta siasa Mkuu...jamaa kaongea mzaha wa kufarahisha tu...Ccm imeingiaje hapa mkuu? Sio kila siku ni politics tu,there is life after politics
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajipanga kwenda kutumia knowledge Mkuu, au siyoNimejifunza kitu hapa
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
SarcasimCcm imeingiaje hapa mkuu? Sio kila siku ni politics tu,there is life after politics
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya ku copy paste kwa wenzetu wenye tamaduni zao tabu sana.Yaani mkao tu una determine mtu?
Haya mambo ya ku copy paste kwa wenzetu wenye tamaduni zao tabu sana.
Wewe picha zenyewe tu miguu ya watu weupe, analeta habari kwetu Bongo!
Sent from my typewriter using Tapatalk
sijui kwanini wanaume wa dar hasa macellebs hua wanapenda kukaa mkao A!
Ujue nimecheka Mdogo wangu mana mi mwenyewe nipo sehemu nimekaa halafu najiangalia nimekaa huo mkao C.Na visigino nimegusanisha. LolWalaqhi' picha C ndiyo mkao wangu, tena huwa nahangaika kubana miguu huwa nahisi nakaa kiajabu, nitabana baada ya muda nitajikuta tu nishaachia.!
Hapa yenyewe nimekaa zangu mkao C,
Binamu acha tu. 😅😂 Mmmh nini sasa?
Hahahahaa..!Ujue nimecheka Mdogo wangu mana mi mwenyewe nipo sehemu nimekaa halafu najiangalia nimekaa huo mkao C.Na visigino nimegusanisha. Lol