Jinsi Mbowe Anavyoshambuliwa na Bado Imara

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,761
71,144
Haya yametokea Kati ya 2016 - 2017

1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA

2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA

3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA

4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA

5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA

6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA

Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!

Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?
 
Badala yake laana za aibu, kudhalilika na kuchemka kiuongozi zinawaendea hao hao wenyewe wanaojiona wao ni Myungu mtu ... matokeo yake imebaki kuendesha nchi kwa kiki na sanaa ... kila ukuchao ni vituko huku nchi inadidimia ... utaniambia safari hii budget ikikamilika kwa asilimia 25% ntantembea uchi mwezi mzima ...
 
Haya yametokea Kati ya 2016 - 2017

1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA

2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA

3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA

4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA

5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA

6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA

Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!

Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?


Umesahau na yeye mwenyewe kujirekodi akiongea na kumtongoza Wema ili apate ujiko toka kwa jamii kuwa anajuwa kutongoza machangu wa Bongo movie...HOLAAAAA
 
Unajuu mkuu anajua nguvu ya chadema ni mbowe,ati kwasababu aliwabatiza kwa maji 2015,sasa muondoeni mbowe aje atakaewabatiza kwa moto,watz tumeyachoka ma ccm hata mfanyaje hakuna jipya kwenu.mkulu anataka tukubali mawazo yake ata kama ni ya kijinga,basi akate kichwa atuvishe ili tutumie ubongo wake.

namuonya visasi vyake kuna siku siku akiwa hai atasaga meno.tunaechukizwa na utawala unyanyasaji ni wengi.kumbuka kikwete pamoja na kumbeza lkn alikua rafiki wa makundi yote na uchaguzi ulikua tiamajitiamaji,je sasa uje na ccm ya kinagambo na bashite ambae ata kushinda serikari ya mtaa ataweza
 
Mwalimu nyerere alitufundisha kua marafiki watanzania wote,akatufundisha Lugha moja kuelewana kama wanandugu.Lakini magufuli ana asili ya kirwanda asili ya udicteta,asili ya visasi asili ya chuki,kwenye utawala wake watanzania hatutabaki salama.Watu wameshaanza kuiga udicteta wake akina ndugai wanaumuka mithili ya magadi,watu wanaofu wanajitaidi kumfuraisha mkuuwao kwa kufanya mambo kama haya je chuki itaisha kweli?
 
Mkuu wa wilaya ya Hai aking'oa miundombinu ya Kilimo cha mbogamboga kinachomilikiwa na Mbunge wa Hai Mh. Mbowe.

Huwezi kuondoa umasikini kwa kumchukia tajiri.
FB_IMG_1497473279367.jpg
 
Hii nchi toka tupate uhuru wananchi tulikuwa tunapendana na kusaidiana na pale kwenye matatizo tulikuwa tunasaidiana na kuacha tofauti zetu ! Hata walipokuwa marais waliopita hali ilikuwa hivi hivi ya kupendana na kuvumiliana !

Tofauti zetu zilikuwa kipindi cha kampeni na bungeni baada ya hapo undugu na urafiki unarudi pale pale ,tunazikana , tunashiriki sherehe pamoja sio ccm wala upinzani LAKINI SASA HIVI TUMELISHWA CHUKI ZA KINYARWANDA TUNACHUKIANA WENYEWE KWA WENYEWE !

WATANZANIA WENZANGU HUWEZI KUMUHEAHIMU BABA ANAEWACHONGANISHA WATOTO WAKE WAPIGANE NA YEYE AKIKAA PEMBENI AKISHANGILIA KUNA SIKU TUTAKUJA KUJIONA NI WAJINGA SANA WAKATI MZAZI KARUDI KWAO RWANDA AU BURUNDI !

Tuamke watanzania wenzangu huko tunapoenda sio pazuri tusikubali kutumika na mzazi mmoja ambae hatujui kama ni baba yetu mzazi au baba wa kambo maana mama yetu bado kafumbwa mdomo asiseme baba yetu halisi ni nani !
 
Hii nchi toka tupate uhuru wananchi tulikuwa tunapendana na kusaidiana na pale kwenye matatizo tulikuwa tunasaidiana na kuacha tofauti zetu ! Hata walipokuwa marais waliopita hali ilikuwa hivi hivi ya kupendana na kuvumiliana ! Tofauti zetu zilikuwa kipindi cha kampeni na bungeni baada ya hapo undugu na urafiki unarudi pale pale ,tunazikana , tunashiriki sherehe pamoja sio ccm wala upinzani LAKINI SASA HIVI TUMELISHWA CHUKI ZA KINYARWANDA TUNACHUKIANA WENYEWE KWA WENYEWE ! WATANZANIA WENZANGU HUWEZI KUMUHEAHIMU BABA ANAEWACHONGANISHA WATOTO WAKE WAPIGANE NA YEYE AKIKAA PEMBENI AKISHANGILIA KUNA SIKU TUTAKUJA KUJIONA NI WAJINGA SANA WAKATI MZAZI KARUDI KWAO RWANDA AU BURUNDI ! Tuamke watanzania wenzangu huko tunapoenda sio pazuri tusikubali kutumika na mzazi mmoja ambae hatujui kama ni baba yetu mzazi au baba wa kambo maana mama yetu bado kafumbwa mdomo asiseme baba yetu halisi ni nani !
Chuki zilizomuondoa Zitto Chadema nani alizipandikiza?
 
Chuki zilizomuondoa Zitto Chadema nani alizipandikiza?

Hivi kuondolewa kwenye chama ni chuki au kanuni?

Tumia hekima, watu wanajiuliza mbona awamu ya NNE na tatu ilikuwa jambo la kawaida mke na mume kuwa vyama tofauti na maisha yanasonga lakini sasa ni tofauti na hatari?

Tulimsikia mkulu akimwambia Bulembo amkanye mwanae asiendelee kutoa uroda kwa lijamaa moja mjengoni la upinzani eti atatoa siri jee chuki hizi Sizonje (Mzee wa muniombee) anajenga nchi au anajenga Rwanda mpya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom