Jinsi mawazo ya mwananchi wa kawaida yalivyopewa kipaumbele katika ujenzi wa taifa

Mwalimu wa Zamu Tz

JF-Expert Member
Jan 2, 2021
1,040
2,714
Habari wakuu

Nielekee moja kwa moja kwenye lengo la mada..Ukweli ni kwamba tuko katika kizazi ambacho ni hatari sana,kizazi ambacho kinatulazimu tuchukue TAHADHARI kabla ya HATARI..

Utakuwa shahidi kwasasa kila kona utakayokatiza sio mtaani,sio mitandaoni utakuta wanauza dawa za kuongeza Nguvu za kiume ambayo sababu kubwa ni PUNYETO...madhara ya punyeto yameongelewa sanasana sidhani kama kuna haja ya kuorodhesha...lakini Ni ukweli usiopingika kwamba punyeto inachochewa na video za ngono maarufu kama (pilau)..ambapo vijana wengi huzitoa mtandaoni kwa urahisi na mbaya zaidi zinatengeneza Uraibu (Arosto) na kudhoofisha mwili
images (2).jpeg


Kwa kufata misingi ya Negotiation niliamua kumuandikia ujumbe Waziri wa Teknolojia na Habari,MH. Faustine Ndugulile. Katika mtandao wa Instagram..Juu ya wazo la kuzuia/block Website zinazojishughulisha na kurusha/kuonesha picha na video za ngono(pornographic websites) zilipita siku kadhaa bila kujibiwa nikawa nimekata shauri juu ya jambo lile..siku moja sina habari naperuzi mtandao wa IG mara nkaona simu inapigwa(IG call) kilichonistaajabisha zaidi ni mpigaji kwani alikuwa ni waziri Faustine..aisee sikuamini nikahisi labda kakosea bila ajizi nikapokea na mazungumzo yaliendelea na nilivyopokea tu alinambia niondoe wasiwasi kwanza kwasababu ile simu amenipigia baada ya kuona ujumbe wangu na kuvutiwa na wazo la ujumhe ule.

Bahati nzuri au mbaya nafkiri ni kipaji au mapenzi tu ya kutumia Computer tangia umri mdogo...hivyo katika waraka ule niliomuandikia waziri nilimuandikia mpaka mbinu za kufanya kama vile kutumia DNS na kublock IP address za website izo.nafkiri ndio sababu zilizomvutia zaidi kwenye ujumbe ule.
IMG_20210820_013810_587.jpg


Hatukuishia apo bali tuliendelea kuwasiliana na jambo kubwa zaidi alinialika katika kikao cha mtandaoni(kupitia Zoom) ambapo aliwasilisha wazo katika wizara yake na hivyo kikao hicho kilicho-hostiwa na waziri mwenyewe kilikutanisha wataalam mbalimbali wakiwemo madaktari,I.T's,,Data analyzers na wadau wakubwa mbalimbali..Sio siri nilijihisi ni mwenye bahati na furaha sana kwani Sikuwai kuota kwamba ipo siku ntaalikwa ata na balozi wa mtaa tu chakula cha mchana achilia mbali waziri au mbunge...
IMG_20210820_013439_330.jpg


Nilijifunza mambo mengi sana..kuna dk alifunguka mambo mengi sanasana..machache ni kwamba idadi ya magonjwa yasioambukizwa kama vile Uoni hafifu,,Kunyonyoka kwa nywele...Miguu kuwaka moto...viungo kuuma(mgongo) hii yote mara nyingi ni sababu ya kujichulia sheria mkononi (kupiga punyeto) hasa kwa sisi vijana wa kiume

Mwisho kabisa hitimisho lilikua ni kuanzisha project ya kimyakimya itakayopambana na website hizo na kuanzia tarehe 16/08/2021 kazi ilikua imefika pazuri kwani waliweza kudhibiti website mbalimbali

Aidha,Pamoja na kuzuia bado kuna changamoto wapambanaji hawa wanazokutana nazo kama vile matumizi ya VPN na kwakuwa wamejidhatiti katika kupambana na hii vita basi naamini watakuja na mbinu mbadala kabisa ili kuokoa taifa na vizazi vijavyo

Pia soma


Nawasilisha
#vote
AHSANTE
 
Kazi nzuri

Porn ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili pia

Mimi mwenyewe huwa napita pita huko japo nimepunguza (addiction)

Ila nawaunga mkono kwenye hio ajenda yenu.

Mtaokoa taifa kimaadili na kiroho

Ni kazi ya kitume
 
Habari wakuu

Nielekee moja kwa moja kwenye lengo la mada..Ukweli ni kwamba tuko katika kizazi ambacho ni hatari sana,kizazi ambacho kinatulazimu tuchukue TAHADHARI kabla ya HATARI..

Utakuwa shahidi kwasasa kila kona utakayokatiza sio mtaani,sio mitandaoni utakuta wanauza dawa za kuongeza Nguvu za kiume ambayo sababu kubwa ni PUNYETO...madhara ya punyeto yameongelewa sanasana sidhani kama kuna haja ya kuorodhesha...lakini Ni ukweli usiopingika kwamba punyeto inachochewa na video za ngono maarufu kama (pilau)..ambapo vijana wengi huzitoa mtandaoni kwa urahisi na mbaya zaidi zinatengeneza Uraibu (Arosto) na kudhoofisha mwili
View attachment 1898955

Kwa kufata misingi ya Negotiation niliamua kumuandikia ujumbe Waziri wa Teknolojia na Habari,MH. Faustine Ndugulile. Katika mtandao wa Instagram..Juu ya wazo la kuzuia/block Website zinazojishughulisha na kurusha/kuonesha picha na video za ngono(pornographic websites) zilipita siku kadhaa bila kujibiwa nikawa nimekata shauri juu ya jambo lile..siku moja sina habari naperuzi mtandao wa IG mara nkaona simu inapigwa(IG call) kilichonistaajabisha zaidi ni mpigaji kwani alikuwa ni waziri Faustine..aisee sikuamini nikahisi labda kakosea bila ajizi nikapokea na mazungumzo yaliendelea na nilivyopokea tu alinambia niondoe wasiwasi kwanza kwasababu ile simu amenipigia baada ya kuona ujumbe wangu na kuvutiwa na wazo la ujumhe ule.

Bahati nzuri au mbaya nafkiri ni kipaji au mapenzi tu ya kutumia Computer tangia umri mdogo...hivyo katika waraka ule niliomuandikia waziri nilimuandikia mpaka mbinu za kufanya kama vile kutumia DNS na kublock IP address za website izo.nafkiri ndio sababu zilizomvutia zaidi kwenye ujumbe ule.
View attachment 1898956

Hatukuishia apo bali tuliendelea kuwasiliana na jambo kubwa zaidi alinialika katika kikao cha mtandaoni(kupitia Zoom) ambapo aliwasilisha wazo katika wizara yake na hivyo kikao hicho kilicho-hostiwa na waziri mwenyewe kilikutanisha wataalam mbalimbali wakiwemo madaktari,I.T's,,Data analyzers na wadau wakubwa mbalimbali..Sio siri nilijihisi ni mwenye bahati na furaha sana kwani Sikuwai kuota kwamba ipo siku ntaalikwa ata na balozi wa mtaa tu chakula cha mchana achilia mbali waziri au mbunge...
View attachment 1898957

Nilijifunza mambo mengi sana..kuna dk alifunguka mambo mengi sanasana..machache ni kwamba idadi ya magonjwa yasioambukizwa kama vile Uoni hafifu,,Kunyonyoka kwa nywele...Miguu kuwaka moto...viungo kuuma(mgongo) hii yote mara nyingi ni sababu ya kujichulia sheria mkononi (kupiga punyeto) hasa kwa sisi vijana wa kiume

Mwisho kabisa hitimisho lilikua ni kuanzisha project ya kimyakimya itakayopambana na website hizo na kuanzia tarehe 16/08/2021 kazi ilikua imefika pazuri kwani waliweza kudhibiti website mbalimbali

Aidha,Pamoja na kuzuia bado kuna changamoto wapambanaji hawa wanazokutana nazo kama vile matumizi ya VPN na kwakuwa wamejidhatiti katika kupambana na hii vita basi naamini watakuja na mbinu mbadala kabisa ili kuokoa taifa na vizazi vijavyo

Nawasilisha
#vote
AHSANTE
Ajira lini anakupa
 
Mi nimeona nguvu za kiume nikajua huu ni uzi maalum kwa wanadarisalama
 
Habari wakuu

Nielekee moja kwa moja kwenye lengo la mada..Ukweli ni kwamba tuko katika kizazi ambacho ni hatari sana,kizazi ambacho kinatulazimu tuchukue TAHADHARI kabla ya HATARI..

Utakuwa shahidi kwasasa kila kona utakayokatiza sio mtaani,sio mitandaoni utakuta wanauza dawa za kuongeza Nguvu za kiume ambayo sababu kubwa ni PUNYETO...madhara ya punyeto yameongelewa sanasana sidhani kama kuna haja ya kuorodhesha...lakini Ni ukweli usiopingika kwamba punyeto inachochewa na video za ngono maarufu kama (pilau)..ambapo vijana wengi huzitoa mtandaoni kwa urahisi na mbaya zaidi zinatengeneza Uraibu (Arosto) na kudhoofisha mwili
View attachment 1898955

Kwa kufata misingi ya Negotiation niliamua kumuandikia ujumbe Waziri wa Teknolojia na Habari,MH. Faustine Ndugulile. Katika mtandao wa Instagram..Juu ya wazo la kuzuia/block Website zinazojishughulisha na kurusha/kuonesha picha na video za ngono(pornographic websites) zilipita siku kadhaa bila kujibiwa nikawa nimekata shauri juu ya jambo lile..siku moja sina habari naperuzi mtandao wa IG mara nkaona simu inapigwa(IG call) kilichonistaajabisha zaidi ni mpigaji kwani alikuwa ni waziri Faustine..aisee sikuamini nikahisi labda kakosea bila ajizi nikapokea na mazungumzo yaliendelea na nilivyopokea tu alinambia niondoe wasiwasi kwanza kwasababu ile simu amenipigia baada ya kuona ujumbe wangu na kuvutiwa na wazo la ujumhe ule.

Bahati nzuri au mbaya nafkiri ni kipaji au mapenzi tu ya kutumia Computer tangia umri mdogo...hivyo katika waraka ule niliomuandikia waziri nilimuandikia mpaka mbinu za kufanya kama vile kutumia DNS na kublock IP address za website izo.nafkiri ndio sababu zilizomvutia zaidi kwenye ujumbe ule.
View attachment 1898956

Hatukuishia apo bali tuliendelea kuwasiliana na jambo kubwa zaidi alinialika katika kikao cha mtandaoni(kupitia Zoom) ambapo aliwasilisha wazo katika wizara yake na hivyo kikao hicho kilicho-hostiwa na waziri mwenyewe kilikutanisha wataalam mbalimbali wakiwemo madaktari,I.T's,,Data analyzers na wadau wakubwa mbalimbali..Sio siri nilijihisi ni mwenye bahati na furaha sana kwani Sikuwai kuota kwamba ipo siku ntaalikwa ata na balozi wa mtaa tu chakula cha mchana achilia mbali waziri au mbunge...
View attachment 1898957

Nilijifunza mambo mengi sana..kuna dk alifunguka mambo mengi sanasana..machache ni kwamba idadi ya magonjwa yasioambukizwa kama vile Uoni hafifu,,Kunyonyoka kwa nywele...Miguu kuwaka moto...viungo kuuma(mgongo) hii yote mara nyingi ni sababu ya kujichulia sheria mkononi (kupiga punyeto) hasa kwa sisi vijana wa kiume

Mwisho kabisa hitimisho lilikua ni kuanzisha project ya kimyakimya itakayopambana na website hizo na kuanzia tarehe 16/08/2021 kazi ilikua imefika pazuri kwani waliweza kudhibiti website mbalimbali

Aidha,Pamoja na kuzuia bado kuna changamoto wapambanaji hawa wanazokutana nazo kama vile matumizi ya VPN na kwakuwa wamejidhatiti katika kupambana na hii vita basi naamini watakuja na mbinu mbadala kabisa ili kuokoa taifa na vizazi vijavyo

Nawasilisha
#vote
AHSANTE
Je unauthibitisho kuwa video za ngono ndio chanzo cha punyeto?
Je unauhakika kuwa nguvu za kiume chanzo ni punyeto?
Je unatuthibitishia kuwa baada ya miaka mitano hakutakuwa na punyeto wala tatizo la nguvu za kiume kwa kufungia xxx?
Je unauhakika kwamba video za ngono zinaenea kwa njia ya website tu?
Je kabla ya website za xxx hakukuwa ba picha za ngono, hakukuwa na magazeti ya ngono?
Je unayakumbuka nagazeti ya kiu na san na picha za magazeti yao?
Nimalize tu kwa kusema mmomonyoko wa maadli huwezi kuumaliza kirahisi rahisi unatakiwa ujipange.
 
Ni Kweli sio suluhisho..lakini itasaidia kiasi flani...kweli picha za ngono hazijaanza Leo lakini zamani zilikua ni ngum sana kupatikana na gharama pia na Kesi za nguvu za kiume zilkuwa chache tofauti na karne hii ambapo picha izo ni rahisi mno kuzipata kwani ukiwa na sim ynye bando tu unaweza kuzpata picha izo. .Kufungia sio solution lakini itasaidia kiac flani...
Tangantika
 
Je unauthibitisho kuwa video za ngono ndio chanzo cha punyeto?
Je unauhakika kuwa nguvu za kiume chanzo ni punyeto?
Je unatuthibitishia kuwa baada ya miaka mitano hakutakuwa na punyeto wala tatizo la nguvu za kiume kwa kufungia xxx?
Je unauhakika kwamba video za ngono zinaenea kwa njia ya website tu?
Je kabla ya website za xxx hakukuwa ba picha za ngono, hakukuwa na magazeti ya ngono?
Je unayakumbuka nagazeti ya kiu na san na picha za magazeti yao?
Nimalize tu kwa kusema mmomonyoko wa maadli huwezi kuumaliza kirahisi rahisi unatakiwa ujipange.
Very true,
 
Je unauthibitisho kuwa video za ngono ndio chanzo cha punyeto?
Je unauhakika kuwa nguvu za kiume chanzo ni punyeto?
Je unatuthibitishia kuwa baada ya miaka mitano hakutakuwa na punyeto wala tatizo la nguvu za kiume kwa kufungia xxx?
Je unauhakika kwamba video za ngono zinaenea kwa njia ya website tu?
Je kabla ya website za xxx hakukuwa ba picha za ngono, hakukuwa na magazeti ya ngono?
Je unayakumbuka nagazeti ya kiu na san na picha za magazeti yao?
Nimalize tu kwa kusema mmomonyoko wa maadli huwezi kuumaliza kirahisi rahisi unatakiwa ujipange.
hauwezi kumaliza tatizo hili kama watu kama wewe watabakia kua hai
 
Back
Top Bottom