TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Wakuu, asalaam aleykum
Wikendi nilikwenda kwenye shughuli moja safi sana.... sasa katika shughuli kuna jamaa wageni wa sherehe walisimama kujitambulisha... they looked very beautiful together na kweli walipendeza na walionekana wenye furaha sana
Kama kawaida kamawazo kakanijia kwani huyo baba ni full kicheche wakati mkewe ni mtulivu na mcha mungu. Nikaanza kuvusha huku nikiona jinsi mama alivyomfanya jamaa aonekane gentleman pale mbele za watu tofauti kabisa na jinsi alivyo... he really looked better
sasa nauliza, je hivi kuna namna ambayo sisi wanaume kama ni vicheche tunapoonekana na wake zetu wao kuonekana vicheche pia au zaidi sisi husaidia kutoa taswira ya innocence kwa hawa mamsapu?
Wikendi nilikwenda kwenye shughuli moja safi sana.... sasa katika shughuli kuna jamaa wageni wa sherehe walisimama kujitambulisha... they looked very beautiful together na kweli walipendeza na walionekana wenye furaha sana
Kama kawaida kamawazo kakanijia kwani huyo baba ni full kicheche wakati mkewe ni mtulivu na mcha mungu. Nikaanza kuvusha huku nikiona jinsi mama alivyomfanya jamaa aonekane gentleman pale mbele za watu tofauti kabisa na jinsi alivyo... he really looked better
sasa nauliza, je hivi kuna namna ambayo sisi wanaume kama ni vicheche tunapoonekana na wake zetu wao kuonekana vicheche pia au zaidi sisi husaidia kutoa taswira ya innocence kwa hawa mamsapu?