Khumbu,Sawa mkuu, nitakutumia.
Hahahaaaaa ata mm natafuta wa kunifundishaMmmh naenda wapi Kujifunza mauno ya khumbu
Mauno huwa hayafundishwi.Hahahaaaaa ata mm natafuta wa kunifundisha
Kweli kabisa mkuu. Kwanza watu hawajui kuwa Khumbu ni fictional character, wao wanadhani ni real character. Sijui wanakwama wapi 🤣 😅 😂Tatizo la wabongo ni hili: Unaweza kuweka picha ya Khumbu humu watu wakaanza kukushambulia kwa maneno kama "Utawekaji picha ya marehemu kwenye mitandao? Unamdhalilisha marehemu, dini hairuhusu kuweka picha ya marehemu, humu humjui mtu stori tu inatosha hukutakiwa kuweka picha, na maneno mengi yanayofanana na hayo ambayo yatakufanya ujute". So mie naona tuachane na mambo ya picha. Kila mtu amchore Khumbu kichwani kwake.
It was very sad indeed.Daa like kipande unamuaga khumbu huku ukamkumbatia kwa huzuni sana. Yaan nimejaribu kuvaa viatu vyako nimeona havinitoshi kwa kweli so sad
Story ilio wahi kuninyima usingiziHongera sana kwa ku share story nzuri ya maisha yako. Binafsi nimeburudika na kujifunza mambo kadhaa.
Nimegundua wewe ni mtu mstaarabu sana, nimepitia baadhi ya comments zinatia hasira lkn umebaki kua mtulivu na kumjibu kila mtu hekima. Big up