Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Kilaba nimamua nikusaidie kwa kukutag..maana hii story umeitafuta sana..sasa kazi ni kwako kuanza page namba 1 na kuendelea...Bonge moja la story.
 
Nimeipata, naona watanzania tunajilaumu bure watu mnaroho ya upendo sana. Ona umenisaidia...nasema AsanteSana.
Hahahaha basi naomba zawadi yangu mkuu...maana toka juzi naona unaihangaikia link...Asante kushukuru

Ila ukianza kuisoma hiyo hadithi lazima uwe addicted..na plz plz bwana shem awe jirani
 
u
Tatizo la wabongo ni hili: Unaweza kuweka picha ya Khumbu humu watu wakaanza kukushambulia kwa maneno kama "Utawekaji picha ya marehemu kwenye mitandao? Unamdhalilisha marehemu, dini hairuhusu kuweka picha ya marehemu, humu humjui mtu stori tu inatosha hukutakiwa kuweka picha, na maneno mengi yanayofanana na hayo ambayo yatakufanya ujute". So mie naona tuachane na mambo ya picha. Kila mtu amchore Khumbu kichwani kwake.
kichwani uko vizuri sana mkuu. bigup
 
Stori nzuri,nimesoma episodes zote kuanzia saa kumi na moja jioni mpaka saa tano usiku wa jana nikawa nimehitimisha

Mzee Konda,,Khumbu alikupenda for real,pamoja na mambo mengine mengi, kile kitendo cha kufiwa na Bibi yake afu akakujulisha na ukaenda ukamkuta yupo na ndg,zake kinaonyesha alikuwa na hisia za kweli juu yako,alijua wewe ndo mfariji wake

Kwa namna ninavyoona ingekuwa siyo kifo kukatisha uhai wake, basi Khumbu kuna siku angetia timu kwenye ardhi ya Tz na labda angewazidi kete Dada zetu mkaanzisha familia

Ushauri,ikitokea ukapata safari ya kwenda South, tafadhali usiache kwenda kuona nyumba ya milele aliyolala shemeji yetu Khumbu

Kuhusu picha ya Khumbu,nakazia
 
Stori nzuri,nimesoma episodes zote kuanzia saa kumi na moja jioni mpaka saa tano usiku wa jana nikawa nimehitimisha

Mzee Konda,,Khumbu alikupenda for real,pamoja na mambo mengine mengi, kile kitendo cha kufiwa na Bibi yake afu akakujulisha na ukaenda ukamkuta yupo na ndg,zake kinaonyesha alikuwa na hisia za kweli juu yako,alijua wewe ndo mfariji wake

Kwa namna ninavyoona ingekuwa siyo kifo kukatisha uhai wake, basi Khumbu kuna siku angetia timu kwenye ardhi ya Tz na labda angewazidi kete Dada zetu mkaanzisha familia

Ushauri,ikitokea ukapata safari ya kwenda South, tafadhali usiache kwenda kuona nyumba ya milele aliyolala shemeji yetu Khumbu

Kuhusu picha ya Khumbu,nakazia
Mkuu coment yako imenifanya machozi yanilengelenge. I miss this woman.
 
Mkuu coment yako imenifanya machozi yanilengelenge. I miss this woman.

Mkuu pole sana! Hakika hili litabaki kuwa donda moyoni mwako maisha yako yote! Kwanza kitendo cha kumchunia ukidhani anakufanyia kusudi kumbe mwenzio anachungulia mauti, pili mapungufu yake yalisababishwa na njia tu za kuweza kuendesha maisha yake, nina uhakika asilimia nyingi km ungekua na stable life huko, hakika huyo binti asingekusaliti kamwe! Dada zetu wanapitia changamoto nyingi sana muda mwingine ni kuwasamehe tu! Nakazia panga siku uende South kwa ajili ya kuona hata kaburi lake tu!
 
Hahahaha! Hiyo picha ni ya Khumbu. Picha nimeshawawekea, ambaye haamini kama huyo sio Khumbu anitajie huyo ni nani? Kwa hiyo suala la picha tushamalizana. Bado matukio mawili tu nimalize stori. 1.Siku ya kuagana, 2. Kifo chake.
Bado hujamalizana na mimi, sijamuona Khumbu bado, naomba picha PM

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
kumbu uyo hapo sasa
Screenshot_20210509-153703~2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom