Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
labda kabla hajajibu konda msafi ni kuwa kule kwenye vyombo vya habari isingelipa kwani kina Dr Maro wasingekubali yale maneno ya kukung'uta kiuno km anaondoa siafu, au kumgongea swimming pool au kule kwenye kigodoro wakati juu watu wanakula chabo, labda atunge kitabu ambacho naye kakataa gharama ni kubwa kukiandaa,Hii story ungepeleka kipindi cha njia panda clouds ingeuza sana endapo ungekuwa umefulia kimaisha.maana wale mwisho wa siku lazima mleta stori aombe msaada,tatizo we wakishua
najua alichoomba tumuunge mkono kwenye hii NGO, km ni ya kwake Hongera zake sana kuliko angekuwa Mhasibu huko Bondeni