Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu. Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.
Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Jamani apumzike kwa amani
 
Siukumbuki niliupa title gani ila jaribu kupekua kwenye nyuzi zangu za mwanzo kabisa. Unahusu dillema niliyoipata baada ya kujikuta nimetumbukia kwenye mapenzi ya wasichana wawili halafu wote wakapata ujauzito. Nikawa kwenye dillema yupi nimuoe yupi nimuache. Ila nilliamua kumuoa yule wa chuo. Utafute utaupata tu.
Naukumbuka huo Uzi aisee
 
Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu. Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.
Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Mkuu!!!
Ni nini sasa hii unatufanyia? Kutufanya tuweke kambi kwenye huu uzi malipo yake ndiyo haya?kuna visa vingi hujaeleza ambavyo ulitusubirisha kama ulivyoondoka SA khumbu alilia.. Hujaeleza ilikuwaje? Naomba umalizie tu hii stori Mkuu..
 
Vunga mwana, we endelea kushusha Nondo tu. Hao wazulu na xhosa nasikia michosho sana.

One time natoka zanzibar narudi dar kwenye meli nilikaa na dada wa kizulu tukaongea sana, ila nilichogundua toka kwake ni kuwa wanajua kupenda ila kukushindilia bisu la kifua ukiwazingua ni simple sana.
Mkuu tumepoteana sana
 
Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu. Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.
Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Duhhh Yamekua hayo tena kaka?
 
Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu. Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.
Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Naona baada ya kuhakikisha watu wanao ufatilia uzi huu ni wengi umeshalewa sifa na kuamua kutufanyia hivi....
 
Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu. Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.
Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Tatizo la wabongo ukiwasifia kidogo tuu matokeo yakee ndo hayoo
BTW Uzi kauleta mwenyewe ....kaustopisha mwenyewe
 
Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu. Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.
Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Mkuu, memeber wachache wanakuyumbisha ukatishe story na wewe unakatisha, achana na wachache, eleza kwanini Khumbu alifariki na ulisema utaleta picha yake
 
Usiku ule baada ya kumaliza gemu wazo la kutaka kumwuliza kuhusu jana yake kuonekana akiwa kwenye gari maeneo ya Point likanijia. Kawaida ya Khumbu alikuwa hapendi mno kuulizwa maswali ya kumtilia mashaka au ya kuonyesha simwamini. Hivyo nilijua nikianzisha hiyo mada tutaishia kugombana. Nikaamua kupotezea.

Maisha yaliendelea na mahusiano yangu na Khumbu yaliendelea mpaka nimemaliza chuo japo hapo katikati kabla ya kumaliza chuo ulitokea ugomvi mkubwa sana uliosababisha tuachane kwa muda.

Kuna siku Khumbu aliniambia amepata kazi benki, bank teller hivyo sasa hivi hatakuwa anapatikana sana kama zamani. Alichokuwa anamaanisha ni kwamba hataweza kuwa anakuja kila nitakampomuhitaji, hivyo siku nikimuhitaji halafu akashindwa kuja inabidi nimuelewe.

Baada ya Khumbu kupata kazi tukawa tunaonana mara moja moja sana. Inaweza kupita hata wiki mbili hatujaonana, sikuona tabu sana maana nilijua kwa sasa ana majukumu ya kikazi. Maisha hayo ya kutokuonana mara kwa mara ndio yaliendelea hadi mwisho wa penzi letu.

Siku moja, ilikuwa siku ya Jumapili, Khumbu alinipigia akaniambia nisitoke nyumbani anakuja kushinda na mimi. Hapo tulikuwa hatujaonana karibia kama wiki mbili hivi, hivyo nilikuwa nimemmiss hatari. Ikumbukwe nilikuwa sina mwanamke yoyote zaidi ya Khumbu hivyo hata siku mbili tu nikiwa sijamuona nilikuwa nammiss hatari, sometimes hisia za Khumbu zikinijia nilikuwa napata mfadhaiko, nakuwa kama mgonjwa. Kwa hiyo kutokuonana na Khumbu kwa wiki mbili ilikuwa mateso sana. Kwanza nilikuwa simuamini kabisa. Nilikuwa najua hizi wiki mbili lazima kuna mtu kama sio watu wanamchakata.

Mida kama ya saa sita akanipigia simu ananiambia yupo getini nikamfungulie. Nikachukua rimoti ya geti nikaelekea getini. Kufika hapo getini nashangaa simuoni ila kuna gari mpya aina Polo Vw ipo hapo getini inataka kuingia. Ikabidi nisogee kabisa hapo getini kuangalia Khumbu yuko wapi. Kikawaida unaweza kufungua geti hata ukiwa umbali wa mita 100, kwa hiyo nilitegemea ningemuona Khumbu kasimama hapo getini hivyo ningemfungulia geti bila ya kwenda kwenye geti, yaani ningebonyeza tu rimoti nikiwa kwa mbali na mgeni wangu angeingia. Nilienda mpaka getini kumwangalia Khumbu pia kuiangalia hiyo gari iliyokuwa pale getini inasubiria kuingia. Kwa mshangao Khumbu ndio alikuwa mwenye ile gari, nilipofika getini alishusha kioo cha gari na kuchungulia ili kunipa ishara ni yeye hivyo nifungue geti aingie.
Aliingia na nikamwonyesha sehemu ya kupaki gari yake. Mmh! Khumbu alikuwa amevaa miwani ile ya kisista du rangi kama ya ugoro hivi, nywele kazibana kwa nyuma. Kavaa blouse mikono mifupi imemshepu kimwili chake vizuri hatari. Chini katupia suruali ya kadeti zile za mabaka mabaka kama za jeshi, hakika alipendeza. Nikamkaribisha ndani huku najiuliza huyu kapata wapi hili gari? Kazi yake ya ubank teller ndio kanunua na gari? Au kuna sponsa?
mzee nadhani ulikuwa unazimia na kupata mshtuko wa moyo kila kukicha
 
Una title gani, kama unaweza weka link itapendeza. Nimesearch kuna page 25 sijaona.
Utafute tu mkuu utaupata. Au omba watu wanaojua kutafuta nyuzi waupandishe hapa. Mie mwenyewe sijui jinsi ya kutag nyuzi hata nikiupata sitaweza kuupandisha hapa.
 
Summarize hata kwa maneno 100,
1. Kwanini alifariki wa ugonjwa gani?
2. Ulisema ulitaka kukamatwa na polisi
3. Picha ya Khumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom