Ni vema tukajifunza kuwa wasikilizaji zaidi kuliko kutoa kasoro mara kwa mara kwa msimuliaji,ndio maana tumepewa masikio mawili(ili tuweze kusikiliza zaidi!) kuliko kuongea(tunao mdomo mmoja tu!).Sasa hizi tabia mbovu za baadhi yetu wasikilizaji zinamkatisha tamaa msimuliaji na matokeo yake ndo haya kuwa story inachukua muda mrefu,ikitokea unaingilia kati basi iwe ni kumtia moyo msimuliaji ili aendelee na sio vinginevyo.