Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Hapana mkuu. Hiki kisa niliamua nikishare hapa kwa nia safi. Huko telegram hata sipajui. Kwa hiyo hatuwezi kwenda sehemu nisiyoijua.
Mkuu ukielewa umepost jukwaa lipi utagundua hujakiuka chochote, ulikuwa sawa ila kuna watu hapa wanajifanya wamepotea njia wanaanza kujiona wao ndiyo wamekuita uje hapa, kumbe wamekuja wenyewe hawajaitwa na mtu. Ni kama uingie disco na uanze kuzuia muziki usipigwe.

mitano tena!
 
Mkuu kwanza nikupe hongera kwa mtiririko mzuri wa story.
Unajitahidi sana.
Kuhusu hizo explicit events (maudhui ya chumbani) wewe yaandike tu na wala huna sababu ya kumuomba mtu radhi.
Najua you made peace with your mind, kitambo, na haimaanishi kama uliyafanya huko nyuma, hata sasa unayafanya. HAPANA.
Tupo hapa kujifunza kwa mazuri na mabaya kupitia watu, hakuna mtu mkamilifu, atakayeona kutopendezwa na unachokiandika, ni vema akauacha huu uzi na kuelekea kunakomfaa yeye.
Kuna mengi sana ya kujifunza kupitia uzi wako, lakin kuna mtu hapa atakuja kuanza kukandia baadhi ya matukio, jaman we are not Gods, sisi ni binadamu, na hakuna aliekamilika, na ni vema huyo mtu akaanzishe uzi wake huko, nan kamuita aje hapa?

Mkuu endelea kushusha vitu, tuko pamoja na wewe.
Nimekuelewa mkuu. Uzi utaendelea, acha nipate utulivu kwanza.
 
Mkuu ukielewa umepost jukwaa lipi utagundua hujakiuka chochote, ulikuwa sawa ila kuna watu hapa wanajifanya wamepotea njia wanaanza kujiona wao ndiyo wamekuita uje hapa, kumbe wamekuja wenyewe hawajaitwa na mtu. Ni kama uingie disco na uanze kuzuia muziki usipigwe.

mitano tena!
Nimekuelewa mkuu ila usimlaumu mtu yeyote maana ni mimi tu ndio nimejishitukia. Hakuna aliyenifuata na kunilalamikia.
 
yan kila nikisoma hii nakumbuka penz la mtoto alikuwa anasoma loyola alikuwa msambwanda wa hatari ukipita nae ubungo kwa miguu utapata tabu sana kipindi hicho nipo mkoani nilikuwa namfuata dar naish nae kinyamwezi alikuja kulizima penz kimasihara sana iliniuma *****, siji kusahau, mtoto alikuwa mtamu sana daaah kala sana hela zangu za loans board saivi nazilipa mwenyewe....Yule angenikuta kipind hiki ningemvuruga sana..nilimla sana ila naonaga kama haikutosha...
 
Kusitisha simulizi kwa kisingizio cha kujisikia vibaya, japo hatujakutuma ila tunaweza kutafsiri kuwa umeanza majivuno na kuvimba.

Utapata laana bwa’mdogo, kujipatia mashabiki wa kaliba yangu sio kitu cha kuletea mzaha hata kidogo.

Bila kupepesa maneno, nimezunguka sana ila lengo ni kukwambia uache ujinga.
 
Binafsi nlikwazika , maana inabadilisha hata dhamira ya uzi.

Ukifika vipande kama hivyo unaweza sema tu kuwa tukafanya yetu, hapo inaeleweka, sio kuanza kueleza mambo ambayo hayakuwa na umuhim

Kumbuka kumbukumbu zitabaki milele hapa hata ukiwa tayari usharudi kwa Muumbaji Mungu mfalme.

Binafsi nimefurahishwa na kujitambua kwako, na kuwataka radhi wafwatiliaji wa uzi wako huu mzuri.
Kwani we mtoto?
 
Nimekuelewa mwana. Hapo kwenye kuniambia uboya wala usihofu maana hizo ndio zilikuwa lugha zetu huko Dizonga. Kule mnaongea kwa kutukanana na ni sehemu ya mawasiliano. Ukiwa mshamba unaweza ukawa unagombana na watu kila siku kwa kudhani wanakutukana kumbe watu ndio ongea yao. Kipindi niliporudi bongo nikawa naongea na watu kwa mtindo huo, si unajua mazoea yana tabu. Watu wakawa hawanielewi ila nilikuja kubadilika baadae baada ya kutambua sasa nipo bongo na sio Sauzi tena. Stori itaendelea usijali, acha nipate utulivu kwanza.
Km umenielewa nashukuru mwamba.

Ila usije ukatuletea swagga zako za ki ndezi eti inaendelea kesho na unajua kabisa leo wiki end macho kodo kwenye story.

Fanya Fanya fasta uendeleze story halafu, kama unajua kabisa huandiki mambo ya mapenz, eeehhhh kutanua vile, oooohhh mambo ya kudinyana bora story iishie hapa hapa tunaendelee na harakati zetu za kutongoza hela.

Hii story ni km mkanda wa X tu huwezi kuangalia mkanda wa X halafu usikutane na mambo ya X.

So, shusha mzigo km wote usipunguze maana hapa tupo mapenzini hivyo uzi ukae ki mapenz mapenz ndo utanoga.
Usilete habari zako za kisenge eti umekwazika!
 
Km umenielewa nashukuru mwamba.

Ila usije ukatuletea swagga zako za ki ndezi eti inaendelea kesho na unajua kabisa leo wiki end macho kodo kwenye story.

Fanya Fanya fasta uendeleze story halafu, kama unajua kabisa huandiki mambo ya mapenz, eeehhhh kutanua vile, oooohhh mambo ya kudinyana bora story iishie hapa hapa tunaendelee na harakati zetu za kutongoza hela.

Hii story ni km mkanda wa X tu huwezi kuangalia mkanda wa X halafu usikutane na mambo ya X.

So, shusha mzigo km wote usipunguze maana hapa tupo mapenzini hivyo uzi ukae ki mapenz mapenz ndo utanoga.
Usilete habari zako za kisenge eti umekwazika!
Stori inahusu mahusiano yake na mtoto wa kizulu.... Sasa mahusiano gani bila mapenzi?? Ingekuwa stori ya kusaka pesa ama kusoma hapo ungeeleweka....
 
Acheni kumpangia jamaa nn cha kusema na nn asiseme...km mnakwazika kaanzisheni nyuzi zenu zisizokua na mapenzi or mfanye kuskip mkasome nyuzi nyingine..hakuna mtu aliewashikilia shingo msome huu uzi...Mnasoma story ya mwana bure, hamchangii ht senti ila still mnaleta mashatri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom