Mstafeli
Senior Member
- Dec 25, 2017
- 112
- 173
Mkuu ukielewa umepost jukwaa lipi utagundua hujakiuka chochote, ulikuwa sawa ila kuna watu hapa wanajifanya wamepotea njia wanaanza kujiona wao ndiyo wamekuita uje hapa, kumbe wamekuja wenyewe hawajaitwa na mtu. Ni kama uingie disco na uanze kuzuia muziki usipigwe.Hapana mkuu. Hiki kisa niliamua nikishare hapa kwa nia safi. Huko telegram hata sipajui. Kwa hiyo hatuwezi kwenda sehemu nisiyoijua.
mitano tena!