Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,793
Ilikuwa ni Miaka 970 BC...
Ndipo Queen of Sheba aliposikia Habari za kidume Kimoja Kutoka Israel...
Sio Mwingine ni..."King Solomon"
Malkia wa Sheba Kutoka Katika Ufalme wa "Axum" huko Ethiopia..
Alisikia Sifa za Mfalme wa Israel Kwamba...Ana Busara, Maarifa na HEKIMA isiyo na Mfano...Lakini...
Kilichomvutia Zaidi Malki wa Sheba ni Pale aliposikia Kwamba...
Mwamba ana...Wake 700 na Masuria (Concubines) 300
Yaani Jamaa alikuwa ana Wanawake 1,000
Na Wote alikuwa anawaridhisha Pila Kupaka Hata punje ya mkongo...
Malkia wa Sheba akawa interested sana...
Kwanini?...
Kwasababu Hii Ipo Almost Kwa Kila Mwanamke...Yani Psychologically wanawake Wanapenda sana "COMPETITION"
Pia wanakuwa Interested na Wanaume waliozungukwa na wanawake Wengi
Kwanini?...
Kwasababu ya Kitu kinachoitwa...
"Fame BRAIN au Pre-selection"
Fame BRAIN au Pre-selection Law inasema The More Attention you get from Other Women...the more she will WANT you"
Yaani...
"Your Attraction increases in Proportion to the Eagerness of other Women"
(Soma Tena Hiyo)
Anyway turudi Kwenye story au sio?...
Baada ya Queen of Sheba Kusikia Habari Hizi za King Solomon akachanganyikiwa...
Huku Kichwani akiwa na Maswali kibao Kuhusu Kidume Cha mbegu King Solomon...
Wakati Huo kumbuka pia Queen of Sheba alikuwa hashikiki...yaani ni Kisu hasa sio Kawaida
Unaambiwa Queen of Sheba alikuwa Mrembo Kumzidi Cleopatra wa Misiri..ambaye ni the Greatest seducer of All time...
Kwahiyo...
Queen of Sheba akaanza kujiandaa Ili akamuone Cassanova wa Kipindi hicho..."King Solomon"
Ilimchukua Miaka 3 Queen of Sheba Kujiandaa Pamoja na kuandaa Zawadi Za kumpelekea King Solomon huko Israel...
Ikiwemo Mazuria yaliofumwa Kwa Nyuzi za Dhahabu nk...
Kabla ya Kufunga safari...Queen of Sheba akatuma ujumbe Kwa King Solomon Kwamba...
"Anahitaji Kwenda Kumuona"
Baada ya Mzee baba Kusikia Pisi ya Dunia Inajileta yenyewe akachanganyikiwa Kwasababu alishasikiaga pia Habari za Malkia wa Sheba...
King Solomon Bila kuwaza mara Mbili Akakubali...(Kitaani tunasema akatuma nauli )
Queen akaanza safari Kutoka Ethiopia Kwenye Israel...
Na safari yakeIlichukua Takribani Miaka 7
Queen of Sheba baada ya kuona amekaribia...
Akatuma wawakilishi wake Ambao wanaheshimika mno...
Lakini...
Hawa wawakilishi wake hawakwenda Mikono mitupu...
Walibeba Zuria Kubwa Laini Lilolifumwa Kwa Nyuzi za DhahabuWalipofika Kwa Mfalme wakwamwambia...
"Mfalme tumekuletea Hii Zawadi ya Zuria Kutoka Kwa Malkia wa Sheba"
Lakini...
Zuria hili linaambatana na Maelezo Muhimu Kutoka Kwa Malkia Mwenyewe..
Maelezo Gani hayo?...Mfalme akauliza...
Wakajibu Queen amesema Hili Zuria ukalifungulie Chumbani kwako Ukiwa peka Yako"
Mfalme Solomon akashangaa...
Kwasababu Hawajawahi kupangiwa Cha Kufanya na mke wake yeyote yule...
Ila Mwishoni Akasema Sawa...
Akawaamuru Watumishi wake walibebe Taratibu lileZuria Mpaka Chumbani kwake...
King Solomon baada ya Kuingia Chumbani na Kubaki Pekee yake...akawa anafungua Lile Zuria Taratibu kama Jinsi alivyoambiwa...
Mara ghafla...
Akamuona Mwanamke aliyeumbwa akaumbika anatoka Ndani ya Zuria...
Mtoto kiuno nyigu Nyuma"Hello My King...it's me Queen of Sheba"
Mfalme akalegea Mwili Mzima Mpaka unyayo...
Unaambiwa...
King Solomon alikaa Ndani na Queen of Sheba Kwa Siku 365
Bila kujamiana na Mke wake wale Suria wake yeyote...
Na Wala hakutamani MwanamkeMwingine yeyote Zaidi ya Queen of Sheba...
Ina Maana Queen of Sheba alimfanya King Solomon awasahau wanawake zake Wengine 1,000
Na King Solomon alipoulizwa...
Kwa Maneno yake Mwenyewe alikiri na Kusema..."NdaniAwasahau wake zake 700 na Masuria 300
Kwasababu Hizi Siku 365 Kwangu zimeonekana kama ni Siku 7 Tu
Queen of Sheba alitumia Mbinu Gani Mpaka Kumfanya King Solomon
AwasahauNi Hatari kiasi Kwamba Mwanamke yeyote akizijua anakuwa na Uwezo wa Kuvunja Ndoa za Watu Ndani ya Week Moja Tu...Kitu Ambacho Sitaki kukiona
Ila...
.
Ukizitumia Mbinu hizo Kwa Mme wako basi atasahau michepuko yake yote
Baadhi ni Mchanganyiko wa wake zake 700 na Masuria 300?...
Vitu Vyote Hivi Viliandikwa na King Solomon na kuwekwa Katika Kitabu Cha Siri Kinachoitwa...
"The Confession of King Solomon"
Kilikuwa BANNED na sidhani kama Utakipata kirahisi online
Siri alizoweka Humo Vyakula Ambavyo vingine Vipo Hata Ndani ya Friji Yako nyumbani Kwako
Credit: Amos Nyanda Twitter
Ndipo Queen of Sheba aliposikia Habari za kidume Kimoja Kutoka Israel...
Sio Mwingine ni..."King Solomon"
Malkia wa Sheba Kutoka Katika Ufalme wa "Axum" huko Ethiopia..
Alisikia Sifa za Mfalme wa Israel Kwamba...Ana Busara, Maarifa na HEKIMA isiyo na Mfano...Lakini...
Kilichomvutia Zaidi Malki wa Sheba ni Pale aliposikia Kwamba...
Mwamba ana...Wake 700 na Masuria (Concubines) 300
Yaani Jamaa alikuwa ana Wanawake 1,000
Na Wote alikuwa anawaridhisha Pila Kupaka Hata punje ya mkongo...
Malkia wa Sheba akawa interested sana...
Kwanini?...
Kwasababu Hii Ipo Almost Kwa Kila Mwanamke...Yani Psychologically wanawake Wanapenda sana "COMPETITION"
Pia wanakuwa Interested na Wanaume waliozungukwa na wanawake Wengi
Kwanini?...
Kwasababu ya Kitu kinachoitwa...
"Fame BRAIN au Pre-selection"
Fame BRAIN au Pre-selection Law inasema The More Attention you get from Other Women...the more she will WANT you"
Yaani...
"Your Attraction increases in Proportion to the Eagerness of other Women"
(Soma Tena Hiyo)
Anyway turudi Kwenye story au sio?...
Baada ya Queen of Sheba Kusikia Habari Hizi za King Solomon akachanganyikiwa...
Huku Kichwani akiwa na Maswali kibao Kuhusu Kidume Cha mbegu King Solomon...
Wakati Huo kumbuka pia Queen of Sheba alikuwa hashikiki...yaani ni Kisu hasa sio Kawaida
Unaambiwa Queen of Sheba alikuwa Mrembo Kumzidi Cleopatra wa Misiri..ambaye ni the Greatest seducer of All time...
Kwahiyo...
Queen of Sheba akaanza kujiandaa Ili akamuone Cassanova wa Kipindi hicho..."King Solomon"
Ilimchukua Miaka 3 Queen of Sheba Kujiandaa Pamoja na kuandaa Zawadi Za kumpelekea King Solomon huko Israel...
Ikiwemo Mazuria yaliofumwa Kwa Nyuzi za Dhahabu nk...
Kabla ya Kufunga safari...Queen of Sheba akatuma ujumbe Kwa King Solomon Kwamba...
"Anahitaji Kwenda Kumuona"
Baada ya Mzee baba Kusikia Pisi ya Dunia Inajileta yenyewe akachanganyikiwa Kwasababu alishasikiaga pia Habari za Malkia wa Sheba...
King Solomon Bila kuwaza mara Mbili Akakubali...(Kitaani tunasema akatuma nauli )
Queen akaanza safari Kutoka Ethiopia Kwenye Israel...
Na safari yakeIlichukua Takribani Miaka 7
Queen of Sheba baada ya kuona amekaribia...
Akatuma wawakilishi wake Ambao wanaheshimika mno...
Lakini...
Hawa wawakilishi wake hawakwenda Mikono mitupu...
Walibeba Zuria Kubwa Laini Lilolifumwa Kwa Nyuzi za DhahabuWalipofika Kwa Mfalme wakwamwambia...
"Mfalme tumekuletea Hii Zawadi ya Zuria Kutoka Kwa Malkia wa Sheba"
Lakini...
Zuria hili linaambatana na Maelezo Muhimu Kutoka Kwa Malkia Mwenyewe..
Maelezo Gani hayo?...Mfalme akauliza...
Wakajibu Queen amesema Hili Zuria ukalifungulie Chumbani kwako Ukiwa peka Yako"
Mfalme Solomon akashangaa...
Kwasababu Hawajawahi kupangiwa Cha Kufanya na mke wake yeyote yule...
Ila Mwishoni Akasema Sawa...
Akawaamuru Watumishi wake walibebe Taratibu lileZuria Mpaka Chumbani kwake...
King Solomon baada ya Kuingia Chumbani na Kubaki Pekee yake...akawa anafungua Lile Zuria Taratibu kama Jinsi alivyoambiwa...
Mara ghafla...
Akamuona Mwanamke aliyeumbwa akaumbika anatoka Ndani ya Zuria...
Mtoto kiuno nyigu Nyuma"Hello My King...it's me Queen of Sheba"
Mfalme akalegea Mwili Mzima Mpaka unyayo...
Unaambiwa...
King Solomon alikaa Ndani na Queen of Sheba Kwa Siku 365
Bila kujamiana na Mke wake wale Suria wake yeyote...
Na Wala hakutamani MwanamkeMwingine yeyote Zaidi ya Queen of Sheba...
Ina Maana Queen of Sheba alimfanya King Solomon awasahau wanawake zake Wengine 1,000
Na King Solomon alipoulizwa...
Kwa Maneno yake Mwenyewe alikiri na Kusema..."NdaniAwasahau wake zake 700 na Masuria 300
Kwasababu Hizi Siku 365 Kwangu zimeonekana kama ni Siku 7 Tu
Queen of Sheba alitumia Mbinu Gani Mpaka Kumfanya King Solomon
AwasahauNi Hatari kiasi Kwamba Mwanamke yeyote akizijua anakuwa na Uwezo wa Kuvunja Ndoa za Watu Ndani ya Week Moja Tu...Kitu Ambacho Sitaki kukiona
Ila...
.
Ukizitumia Mbinu hizo Kwa Mme wako basi atasahau michepuko yake yote
Baadhi ni Mchanganyiko wa wake zake 700 na Masuria 300?...
Vitu Vyote Hivi Viliandikwa na King Solomon na kuwekwa Katika Kitabu Cha Siri Kinachoitwa...
"The Confession of King Solomon"
Kilikuwa BANNED na sidhani kama Utakipata kirahisi online
Siri alizoweka Humo Vyakula Ambavyo vingine Vipo Hata Ndani ya Friji Yako nyumbani Kwako
Credit: Amos Nyanda Twitter