CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Amini usiamini hiki ni kile kipindi ambacho makanjanja ya redio/tv na magazeti huwa yanawawapa raha za kufa mtu wana jangwani, raha huongezeka pia pale MITAMBO YA MAGOLI inaposhuka airport na kupokelewa kwa mbwembwe na misafara ya magari hadi mitaa ya twiga na jangwani
Kuna hali ya furaha sana baada ya makanjanja kadhaaa kudai Yussuph manji amevunja mkataba wa konde boy toka simba unaoisha 2024 na hiyo ni baada ya hapo siku za nyuma yanga kufanikiwa "kuwavuta jangwani wachezaji kama ,manula,chama,mkude,kapombe,zimbwe"
Kipindi hiki ama kwa hakika mwana yanga yoyote anatakiwa akitumie vizuri kwani ifikapo september kunakuwa na transition kidogo ni kipindi cha lawama,kuwaita wachezaji maduka,kufukuza makocha na kumtupia lawama Wallace karia kwa kusababisha MITAMBO YA MAGOLI ishindwe kufunga
Ikumbukwe pia TFF na Wallace karia watakuwa responsible kwa team hiyo ya yanga kufanya vibaya katika round ya awali michezo ya Caf mwezi wa 9 mwaka huu
Kuna hali ya furaha sana baada ya makanjanja kadhaaa kudai Yussuph manji amevunja mkataba wa konde boy toka simba unaoisha 2024 na hiyo ni baada ya hapo siku za nyuma yanga kufanikiwa "kuwavuta jangwani wachezaji kama ,manula,chama,mkude,kapombe,zimbwe"
Kipindi hiki ama kwa hakika mwana yanga yoyote anatakiwa akitumie vizuri kwani ifikapo september kunakuwa na transition kidogo ni kipindi cha lawama,kuwaita wachezaji maduka,kufukuza makocha na kumtupia lawama Wallace karia kwa kusababisha MITAMBO YA MAGOLI ishindwe kufunga
Ikumbukwe pia TFF na Wallace karia watakuwa responsible kwa team hiyo ya yanga kufanya vibaya katika round ya awali michezo ya Caf mwezi wa 9 mwaka huu