KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
This is the bad newz kwa pasco lowassa na genge lake baada ya mbeleko ya mwisho ambayo waliitegemea zaidi kumbeba nayo inaonekana si salama sana,mbeleko ya kwanza kuwakatisha tamaa amabyo nayo waliitegemea sana ilikua ni nec ya ccm,lakini kitendo cha nec kupitisha mambo ambayo lowassa na watu wake hawakuyapenda kiliwanyima raha sana na kuamua kuelekeza nguvu kanisani