Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,442
- 25,584
Mkuu hivyo vipimo sio 100% correct... Kwa taarifa yako mtu akiwa katika matumizi ya ARV Viral load inakuwa chini sna...hivyo ukitumia hicho kipimo lazima isome Negative tuu.... Hapo ndipo kunapokuwa kilio na kusaga menoSiwaaminishi kuwa kumpima mtu HIV nakumpata yuko salama kuwa ni tiketi yakutotumia kinga "condom" *hapana*